
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman (katikati), Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Fakih Jundu (wa Tatu kulia), Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Tabora, Mhe. Simon Lukelelwa ( wa pili kushoto), Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. George Masaju (wa kwanza kulia), Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Hussein Kattanga ( wa kwanza kulia), Msajili Mkuu wa Mahakama, Mhe. Ignas Kitusi, wakiwa katika picha ya pamoja na Wahe. Majaji Wafawidhi wa Mahakama Kuu katika Mikoa mbalimbali pamoja na Divisheni zake katika Mkutano wa kiutendaji unaofanyika Mjini Bagamoyo wenye lengo la kuboresha huduma ya utoaji haki nchi

Viongozi wa Mahakama pamoja na Serikali wakiwa katika picha ya pamoja na Wasajili wa Mahakama na Maafisa wengine wa Mahakama waliohudhuria katika Mkutano huo ambao unatarajia kumalizika kesho ambapo utatoka na Mikakati na mapendekezo mbalimbali yenye lengo la kuboresha huduma ya utoaji haki nchini.

Viongozi wa Mahakama na Viongozi wengine wa Serikali wakiwa katika picha ya pamoja na Watendaji wa Mahakama wanaoiwakilisha Mahakama katika Mikoa mbalimbali nchin

Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Hussein Kattanga (kulia), akisalimiana na Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. George Masaju katika Mkutano huo unaofanyika Mjini Bagamoyo wenye lengo la kuboresha huduma ya utoaji haki nchini. (Picha na Mary Gwera, Mahakama ya Tanzania).