Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

MKURUGENZI MTENDAJI WA VODACOM TANZANIA, RENE MEZA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA JIJINI DAR

$
0
0
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya VODACOM Tanzania,Rene Meza akimkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Simu za mikononi ya Airtel Tanzania,Sunil Colaso kwenye hafla ya siku ya kuzaliwa kwake iliofanyika ndani ya viwanja vya ubalozi wa Ufaransa jijini Dar mwishoni mwa wiki.
 Marafiki wa Rene Meza wakiwa katika picha ya pozi.
 Rene na marafiki mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja.
.NA JIACHIE BLOG
 Keki ya birthday
 Pichani Shoto ni Mtendaji wa kampuni ya Simu za mikononi ya Airtel Tanzania,Sunil Colaso akiwa sambamba na Mke wake (kulia),kati ni Mke wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya VODACOM Tanzania,Rene Meza wakiwa katika picha ya pamoja kwenye hafla hiyo iliyofanyika ndani ya viwanja vya ubalozi wa Ufaransa jijini Dar mwishoni mwa wiki.
 Wadau Mbalimbali wakipata vinywaji huku wakibadilishana mawazo ya hapa na pale.

  Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya VODACOM Tanzania,Rene Meza akiwa amepozi na Mkewe.
  Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya VODACOM Tanzania,Rene Meza akiwakaribishana na kuwashukuru Ndugu jamaa na marafiki mbalimbali waliofika kwenye hafla yake kuzaliwa iliyofanyika ndani ya viwanja vya Ubalozi wa Ufaransa,jijini Dar mwishoni mwa wiki..
 Wakiwa katika picha ya pamoja
 Wadau wakila na kunywa
 Mmoja wa wadau wakubwa wa Rene Meza,Saleh akiwa amepozi na Mkewe.
 Rene na akiwa na rafiki yake Saleh wakiwa na sura za furaha
 Wakimwimbia wimbo Rene.
 Burudani ilitolewa pia 
 wakifurahia
 kwa pamoja wakifurahia kwenye hafla hiyo
 Rene akikamua ngoma huku,ndugu jamaa na marafiki (hawapo pichani) waalikwa wakiburudika. 
 Rene akiwa katika picha ya pamoja na wadau
Wageni waalikwa  Wakiendelea kupata vinywaji.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

Trending Articles