Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YA UTURUKI YAIBUKA NA USHINDI KIDUCHU DHIDI YA ASHANTI UNITED

Mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu (kushoto) akiruka kuwania mpira na kipa wa Ashanti United, Daudi Mwasongwe, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliomalizika hivi punde kwenye Uwanja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBEYA CITY NA AZAM FC ZAENDELEA KUIFUKUZIA YANGA KILELENI BAADA YA KUSHINDA...

TIMU ya Azam FC na Mbeya City zimeendelea kuifukuzia Yanga kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya zote kuibuka na ushindi wa bao 1-0.Azam iliifunga Mtibwa Sugar uwanja wa Chamazi nje...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZAIDI JUAN MATA ALIVYOWASILI MANCHESTER

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAYERN MUNICH YAIFUNGA BORUSSIA MONCHENGLADBACH 2-0

Mabingwa Watetezi, Bayern Munich, ambao pia ndio Vinara wa ligi hiyo leo wametembeza kichapo cha bao 2-0 kwa timu ya Borussia Monchengladbach. Timu hizo Borussia Monchengladbach na Bayern Munich ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Michael Essien atimkia AC Millan

Kiungo Mghana wa Chelsea Michael Essien, amemwaga wino kukipiga na klabu ya AC Millan ya Serea A.Akiondoka kwa uhamisho wa bure, amekuwa mchezaji wa kwanza kusainiwa na kocha mpya wa AC Millan Clarence...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA YA KIJANA ALIYEPIGWA RISASI WAKATI AKIJARIBU KUIBA

Tukio la kustaajabisha limetokea hapo jana mchana nchini Brazil,ambapo vijana wawili walijikuta hatiani baada ya mmoja wao kupigwa risasi wakati wakijaribu kuiba katika kituo cha gesi. Vijana hao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cristiano Ronaldo alipoionyesha tuzo ya Ballon d’Or mbele ya mashabiki zaidi...

  Mchana wa leo katika dimba la Santiago Bernabeu mwanasoka bora wa dunia, Cristiano Ronaldo aliionyesha kwa mara ya kwanza tuzo yake ya Ballon D’or kwa mashabiki zaidi ya 80,000 waliojazana katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDEGE ILIYOMBEBA WAZIRI WA HABARI ZANZIBAR YAANGUKA PEMBA

Abiria 17 akiwemo waziri wa katiba na sheria Zanzibar Mhe. Abubakari khamis bakar, na marubani wawili, wamesalimika kifo baada ya ndege ya shirika la ndege la ‘Zanz air’ kufeli breki, muda mfupi wakati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OPARESHENI PAMOJA YA CHADEMA ILIVYOKUWA KIGOMA

Viongozi wa Chadema walipokuwa Kigoma kwenye Operersheni Pamoja Daima Wakazi wa Kigoma waliojitokeza kwenye mkutano wa Operesheni Pamoja Daima.CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepasua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUAN MATA AFAULU VIPIMO NA AJIUNGA RASMI NA MANCHESTER UNITED

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA VIONGOZI WA CHADEMA MKOANI MBEYA

Baadhi ya wananchi wa mji wa Mbeya wakiwa wabeba mabango yenye ujumbe mbalimbali, wakati wa mkutano wa hadhara wa Operesheni M4C Pamoja Daima wa Chadema, uliofanyika kwenye Uwanja wa Lwanda Nzovwe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWIGULU CHEMBA AWASHA MOTO KITETO KAMPENI ZA UDIWANI,AWALIPUA WAPINZANI

Naibu katibu Mkuu wa CCM-Bara Mh:Mwigulu Nchemba akiwasili eneo la Mkutano wa hadhara Kata ya PARTIMBO kitongoji cha NALANG,TOMON Wilaya ya Kiteto hii leo tar.25.01.2014 kwaajili ya Ufunguzi wa Kampeni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAADHIMISHO YAPITA KWA KISHINDO MISRI

Waandamanaji kadha wameuwawa katika mapambano yaliyotokea mjini Cairo na miji mengine ya Misri, wakati maandamano ya pande zinazopingana yamefanywa kuadhimisha mwaka wa tatu wa maandamano yaliyompindua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOYOLA SEKONDARI YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA KIKE

Sehemu ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Loyola wakiwa katika maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Shuleni hapo.Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Loyola...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUAN MATA RASMI NDANI YA O.T MAN UTD..

Manchester United imekamilisha rasmi usajili wa kiungo Juan Mata kutoka Chelsea kwa ada ya usajili ya £37.1 million, ambayo ni rekodi mpya katika usajili wa United, klabu hiyo imethibitisha. Mata, 25,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI TAREHE 26.01.2013

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI AHIMIZA VYUO KUZALISHA WATAALAMU

Dar es Saaam. Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa,amevitaka vyuo vya ufundi kuhakikisha vinawaandaa wataalamu ili nchi ijiendesha kwa viwanda, hasa kwa wakati huu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ESSIEN AHAMIA AC MILAN

KLABU ya Chelsea imefikia makubaliano ya kumuuza kiungo Michael Essien kwa AC Milan, timu hiyo ya Ligi Kuu ya England imetangaza. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 31 amejikuta anakosa namba kikosi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA, DKT. ASHA- ROSE MIGIRO ATEMBELEA TUME YA...

Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Asha-Rose Migiro (kushoto) akipokea nakala za ripoti za Tume ya Mabadiliko ya Katiba ikiwemo Rasimu ya Katiba kutoka kwa  Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Joseph Warioba...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>