ANGALIA PICHA YA MBWA ANAYENYONYESHA WATOTO WA NGURUWE
Mbwa anayenyonyesha watoto wa Nguruwe Iringa Mchungaji Daniel Kisonga akimwonyesha mbwa anayenyonyesha watoto wa Nguruwe Mbwa huyo akinyonyesha watoto wa Nguruwe huku mtoto wake (kulia)...
View ArticleANGALIA PICHA ZA UGOMVI WA MTU NA MPENZI WAKE USIPENDE KUUINGILIA
Mwanamke ashusha kipigo kwa mwanaume aliyedaiwa kuwa ni mme wake Bar, kwa madai ya kutoonekana nyumbani! Tukio hilo lililtokea eneo la Corner Bar Sinza Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Wakazi wa Dar es...
View ArticleANGALIA PICHA YA MWANAMKE ALIEPANGA UMUUA MUMEWE AENDELEA KUSOTA RUMANDE
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha jana imekataa ombi la hati ya dharura ya dhamana ya mke wa mfanyabiashara maarufu wa madini mkoani Arusha, Janeth Jackson (32), anayedaiwa kupanga njama za kumuua mumewe wa...
View ArticleANGALIA PICHA ABANIKWA KAMA KUKU, NI BAADA YA KUTUHUMIWA KUIBA BODABODA
Ezekiel KagangaEzekiel Kaganga (29) mkazi wa Mjimwema Mafinga, wilayani Mufindi mkoani Iringa amelazwa katika hospitali ya wilaya ya Mufindi mjini Mafinga baada ya kubanikwa kwenye moto kama kuku...
View ArticleANGALIA PICHA ZA MNYAMA ANAYE SADIKIKA KUWA NA UMBO KUBWA KULIKO WOTE DUNIANI
MNYAMA huyu wa maajabu mkubwa kupita kiasi alionekana huko Vietnam mwaka 2013. Ni noma..
View ArticleANGALIA PICHA ADHABU ZA KIJESHI
Kwa haraka haraka hao ni wakosaji,walidharau amri za mahali fulani kwa bahati nzuri wakakutana na aliyetunga amri hizo,sasa wameambiwa wapige mbizi ambaye hataonekana kabisa nikimaanisha atakayezamia...
View ArticleRATIBA LIGI KUU BARA YAREKEBISHWA, SASA KUMALIZIKA APRILI 19!!
Na Boniface Wambura, TFFBodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeifanyia marekebisho ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) ambapo sasa itamalizika Aprili 19 mwaka huu badala ya Aprili 27 mwaka huu.Marekebisho...
View ArticleWALIOKWAMISHA UJENZI WA MIUNDOMBINU MLOGANZILA SASA WARUHUSU UJENZI KUENDELEA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh. Saidi Meki Sadiki (kushoto) akizungumza na mkazi wa eneo la Mloganzila Bw. Fredy Justine Masondole (kulia) ambaye aliweka pingamizi kuzuia miundombinu ya maji, umeme...
View ArticleMANGULA ATOA SOMO KWA VIONGOZI NA WANACHAMA WA CCM JIMBO LA KALENGA
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula akionyesha mfano wa karatasi la kupiga kura kwa wanachama wa CCM wanaoishi kwenye kitongoji cha Ulete,Kijiji cha Muwimbi mkoani Iringa .Mgombea wa...
View ArticleJESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LIMEWATIA MBARONI WATU NANE (8) KWA KUKUTWA NA...
Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma (RPC), David Misime - SACP Bangi zilizokamatwa katika msako huo uliofanywa na jeshi la polisi mkoani Dodoma Zana za kuvunjia zilizokamatwa na jeshi la polisi mkoani...
View ArticleMARIO GOTZE: SAMAHANI MESUT, BAYERN USIKU WA LEO HATUTAKUWA NA HURUMA KWA...
Mario Gotze, anayeonekana na kiatu kipya cha Nike Magista amesema Bayern Munich usiku wa leo hawatakuwa na huruma hata kidogo kwa AsernalGotze anafurahia mafanikio mengine chini ya kocha wake...
View ArticleANGALIA PICHA TEMBO HUYU MWENYE HASIRA KALI ALIVYO MTANDIKA KIBOKO
Hivi unajua wewe kila siku nakuangalia tuu..... sasa leo nitakuonesha kazi ....... ni kama huyu Tembo alikuwa akiyasema maneno haya. nisamehe nakufaaa.".. ni kama Kiboko huyu alkuwa akimwambia Tembo...
View ArticleJUHUDI ZA KUTAFUTA NDEGE ILIYOPOTEA YA MALASYIA AIR BADO ZINAENDELEA
Meli, helikopta na ndege zinashiriki katika zoezi la kuitafuta ndege ya shirika la ndege la Malaysia Airlines iliyopotea usiku wa ijumaa kuamkia jumamosi, machi 8 mwaka 2014.Juhudi za kutafuta ndege...
View ArticleKAMPUNI YA GOOGLE YAKANUSHA PICHA YA GOOGLE MAP INAYOONESHA NDEGE YA MALAYSIA...
Kampuni ya google imekanusha habari zilizotapakaa kwenye mitandao mbalimbali duniani kwa kuweka picha ya Google Map ambayo inaonesha ndege ya Malaysia Airline ikiwa imedondondoka ndani ya maji. Msemaji...
View ArticleYANGA KUTUA DAR KESHO ALFAJIRI BAADA YA KUTUPWA NJE NA AL AHLY LIGI YA...
Kikosi cha wa waliokuwa wawakilishi pekee wa mashindano ya kimataifa nchini Tanzania Young Africans kinatarajiwa kuwasili kesho alfajiri jijini Dar es salaam kwa shirika la ndege la Egypt Air kikitokea...
View ArticleTASWA FC, TASWA QUEENS KUPIMANA UBAVU NA CHUO CHA DACICO!!
TIMU ya soka na netiboli ya waandishi wa habari za michezo nchini, Taswa FC na Taswa Queens kesho zitacheza mechi maalum za kirafiki dhidi ya Chuo Cha Uandishi wa Habari, Mawasiliano ya Umma na Utawala...
View ArticleArsenal kusuka au kunyoa kwa Bayern Munich Usiku huu
Arsenal watashangilia leo Ujeruman kama hivi kwa Bavarians ARSENAL yenye morali baada ya kufanikiwa kutinga Nusu Fainali ya Kombe la FA, usiku huu itakuwa ugenini nchini Ujerumani kujaribu kupenya Robo...
View ArticleHatimaye Wazazi wa mtoto Adorotea Njavike mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi...
MTOTO Adolotea Njavike(1.4) ambae Kichwa na Kiwiliwili vimeungana baada ya kupata na ajali ya Moto akiwa na mama yake Mzazi. TUNAOMBA SANA MSAADA WENU MTOTO ATIBIWE KWANI ANATESEKA SANA MTOTO HUYUAfisa...
View ArticleANGALIA PICHA AJALI YA NDEGE ILIVYOMGONGA MTU ANGANI
Hili imetokea Florida Marekani ambapo mtu mmoja alikua anaruka akiwa na Parachuti lakini akakutana na ndege hii ndogo ambayo baada ya kumgonga walianguka chini wote huku ndege ikiangukia pua.Pamoja na...
View Article