Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWEZI WA RAMADHANI WAMFANYA WEMA ABADILIKE TENA

KUFUATIA Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, staa wa Filamu za Kibongo, Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ au maarufu kama Madam amebadilika na kuondoa vitu vyote visivyo vya asili mwilini mwakeWema alitupia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND" AWATIBUA MASHEHE NI BAADA YA KUFUTURU NA KIMADA NDANI YA MWEZI...

Hivi karibuni mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ amenaswa akifuturu na hawara yake, Penniel Mungilwa ‘Penny’, kitendo ambacho kimewashangaza wengi na baadhi kufikia hatua ya kumponda kuwa anakwenda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AZUNGUMZA NA WATANZANIA WAISHIO ABUJA NIGERIA, AONDOKA LEO...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na baadhi ya Watanzani ya waishio mjini Abuja, wakati alipokutana nao katika Makazi ya Ubalozi wa Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA KATIKA ZIARA WIALAYANI TUNDURU

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  na mkewe Tunu (kushoto) wakisalimiana na Mkurugenzi wa  Kanisa la  Upendo wa Kristo Masihi  (KIUMA), Dr. Matomola Matola  (wapili kuli) baada ya kuwasili katika misheni hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GOMEZ ATAMBULISHWA FIORENTINA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAVID VILLA ATAMBULISHWA RASMI ATLETICO MADRID

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA KILICHOJILI KWENYE MAZISHI YA BABA YAKE JOYCE KIRIA

My Late Dad Michael Francis Iwambo Kiria, R.I.PHuyu ndo baba yangu aliyefariki dunia 10/7/2013 huko mkoani Tanga ambako alikuwa anaishi na familia yake. Katika kizazi cha Babu yangu mzaa Baba, anaanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AZINDUA MIRADI YA MAENDELEO NAMTUMBO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa machinjio ya kisasa katika mji mdogo wa Namtumbo akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 16, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK MALASUSA: NCHI HAITAKUWA NA AMANI KWA KUONGEZA IDADI YA POLISI

Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT ), Askofu Dk.Alex Malasusa amesema nchi haitakuwa na amani kwa kuongeza idadi ya polisi bali amani itapatikana kutokana na Watanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii hapa kauli ya Ban K-Moon juu ya mauaji ya askari wa JWTZ Darfur

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UNO), Ban K-Moon(pichani chini), amesema amesikitishwa na kuhuzunishwa na mauaji ya askari saba wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), lililofanywa na waasi wa Sudan...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cheka aonywa kucheza mechi ya 'ndondo'

Bondia Francis ChekaOGANAIZESHENI ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBO-Limited), imetahadharisha na kusisitiza kuwa bondia Francis Cheka 'SMG' hawezi kucheza pambano jingine lolote kabla ya kuvaana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mshiko alio ingiza Jennifer Lopez kwa kuimba kwenye birthday party na harusi

Licha ya ukweli kwamba Jennifer Lopez hafanyi vizuri kimuziki kwa sasa, ameendelea kupiga mshiko wa maana kutokana na show anazofanya. Hata hivyo sio show za kawaida kama wafanyavyo wengine, ni private...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete amtaka rais wa Sudan kuchukua hatua kufuatia kuuawa na...

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na Rais Omar Bashir wa Sudan kufuatia kuuawa na kujeruhiwa kwa askari wa Tanzania, walioko katika ulinzi wa kimataifa wa amani katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini "Absalom Kibanda" hatimaye Azungumzia...

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini Tanzania (TEF), "Absalom Kibanda" amesema zipo taarifa mbalimbali za kutaka kupotosha ukweli kuhusu yeye, lakini ukweli utabaki kuwa kweli na  tukio alilofanyiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IGP SAID MWEMA AKUTANA NA NAIBU KAMISHINA WA UNAMID DKT. SYED KALEEM IMAM

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Said Mwema, akimkabidhi zawadi yenye nembo ya Jeshi Polisi Tanzania, Naibu Kamishina wa UNAMID Dkt. Syed Kaleem Imam, kutoka nchini Sudan, jimbo la Darfur,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA NBC YAZINDUA KAMPENI YA MIKOPO YA WAFANYAKAZI WAAJIRIWA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Mizinga Melu (wa tatu kushoto), akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Mikopo ya Wafanyakazi Waajiriwa ya benki hiyo, jijini Dar es Salaam leo. Wengine kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FRANK ATISHIWA KUUAWA

Mohammed Mwikongi ‘Frank’.Na Mwaija SalumMSANII wa Filamu za Kibongo, Mohammed Mwikongi ‘Frank’ amedai kutishiwa kuuawa baada ya kupokea ujumbe mfupi wa meneno ‘sms’ kutoka kwa mtu anayekulikana kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama Baghdad amuombea msamaha mwanae kwa Chidi Benz, aomba wakutane pamoja na...

Baada ya jana Chidi Benz kuweka wazi kuwa hategemei kumsamehe Baghdad kwa ‘blunder’ aliyoifanya ya kuwashirikisha yeye na Nay wa Mitego bila kuwaambia, mama mzazi wa Baghdad amekuja hadharani na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mzee Magali wa Bongo Movie aingia kwenye Bongo Flava

Mwaka 2013 utakuwa na surprise nyingi sana... So far tumeshapata surprise kibao ikiwemo ile ya jana ya promoter na Mkurugenzi wa Watanashati Entertainment, Ostaz Juma na Musoma kuingia kwenye hip hop...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel yazima laini za simu zisizosajiliwa 200,000 ili kuongeza usalama Dar...

Mkurugenzi wa Mawasiliano Airtel Bi Beatrice SinganoAirtel yazima laini za simu zisizosajiliwa 200,000 ili kuongeza usalama Dar es Salaam, Tanzania 18 Julai 2013, Airtel Tanzania imetangaza itetimiza...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>