Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIGI KUU ENGLAND CHELSEA WASHINDA 2

He's back: Jose Mourinho blows kisses to the Stamford Bridge crowd on his returnComfortable: Oscar set Chelsea going in the 13th minute and there was no way back for Hull from thereEasy does it: Oscar...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND MUSICA, FIVE STAR MODERN TAARAB ZILIVYOUMANA DAR LIVE

Wanamuziki wa Diamond Musica wakiwajibika jukwaani.Wanamuziki wa Five Star wakiwajibika stejini.Didi Namba wa Diamond Musica akiimba.Wanenguaji wa Diamond wakionyesha umahiri wao wa kunengua.Ally J wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFISA WA JESHI ATOROKEA RWANDA NA SIRI NZITO ZA JESHI

Mkuu wa JWTZ, Meja Jenerali Davis MwamunyangeAdaiwa kutoweka na nyaraka nyetiOFISA wa cheo cha juu katika Jeshi la Wananchi (JWTZ), anayeaminika kuwa na asili ya Rwanda, ametoweka katika mazingira ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU WA MISRI ATAKA KUTOINGILIWA MASUALA YA NDANI YA NCHI HIYO

Serikali ya mpito ya Misri imezitaka baadhi ya nchi kuacha kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo. Nabil Fahmy Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema kuwa Cairo inapinga uingiliaji wowote wa kigeni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ruto tells off CORD over calls for referendum

Deputy President William RutoKenya: Deputy President William Ruto has told off politicians calling for a referendum to determine how the president will be elected in the future.Ruto the calls coming...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ulimwengu mzima walaani mauaji ya raia nchini Misri

Baada ya polisi wa Misri kutumia nguvu kuvunja mikusanyiko ya wafuasi wa rais aliyepinduliwa Muhammad Musri na kuua mamia ya watu na kujeruhi maelfu ya wengine mjini Cairo, walimwengu wameonesha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MERKEL APENDEKEZA MARUFUKU YA SILAHA MISRI

Ujerumani imependekeza kupiga marufuku upelekaji wa silaha nchini Misri kama hatua itakayoratibiwa kwa pamoja na Umoja wa Ulaya kupinga hatua ya serikali ya Misri ya kuvunja maandamano kwa kutumia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SADC yataka vikwazo kwa Zimbabwe kufutwa

Viongozi wa Kanda ya Kusini mwa Afrika wamezitaka dola za Magharibi kuondoa vikwazo vilivyowekewa nchi ya Zimbabwe, baada ya kuithinisha ushindi wa Rais Robert Mugabe.Rais wa Malawi Joyce Banda ambaye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA MJUSI MKUBWA WA TANZANIA ALIEKO UJERUMANI ANAYETAKA KURUDISHWA

 The governments of Tanzania and Germany will soon strike an agreement for the return to Lindi region of the remains of huge lizard species known as a dinosaur, which were taken to the European country...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KISA MZOZO, JENGO LA BAKWATA LABOMOLEWA

Jengo la Bakwata lilivyobomolewa.Mmoja wa wapangaji akiokoa mali zake.Sehemu ya mlango ambayo imevunjwa na wabomoaji ili waingie.Ofisi zikiwa zimesambaratishwa wenyewe wakiwa hawapo.Jengo la Bakwata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA POLISI LAFANIKIWA KUKAMATA VITU MBALIMBALI KATIKA OPERESHENI KALI...

Kamishina wa Polisi kanda Maalum Dar es salaam , CP , Suleiman Kova, Akiongea na waandishi wa habari leo Ofisini kwake jijini Dar es salaam, kuhusu Operesheni kali dhidi ya wahalifu wanaotumia silaha,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA SHEIKH PONDA ALIVYOFIKISHWA MAHAKAMANI LEO

Sheikh Issa Ponda Akiwa mahakamani mkoani Morogoro asubuhi ya leo Sheikh Ponda Amesomewa Mashtaka Matatu katika Mahakama ya mkoa wa Morogoro Likiwemo la uchochezi alilolitoa Kwenye  Mkutano wa Hadhara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. KIKWETE ATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA NEMELA MANGULA

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Marais wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William Mkapa, Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda, Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda, Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA VURUGU MAANDAMANO YA CHADEMA JIJINI MWANZA LEO.

       MAANDAMANO ya amani yaliyokuwa yameandaliwa na chama cha demokrasia na maendeleo(chadema) yamegeuka shubiri kwa wakazi wa jiji la Mwanza baada ya kuibuka mapambano makali baina ya waandamanaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUKU ASABABISHA SISTA KATOLIKI KUPIGWA NA KUVULIWA SHELA ZANZIBAR

Kanisa la Minara Miwili, Unguja ambako Sista huyo na wenzake wanafanyia kazi.Watawa wa kike wa Shirika la Moyo Safi wa Maria, Mgolole, Morogoro, wanaofanya kazi katika Parokia ya Minara Miwili, Unguja,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAYA NDIO MASHTAKA ALIYOSHTAKIWA SHEIKH PONDA JANA

Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi mkoa wa Morogoro kujibu mashitaka matatu yanayomkabili ambayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AG Zanzibar: Mwarobaini wa Muungano Serikali tatu

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, amesema mfumo wa muundo wa Muungano wa Serikali mbili ni ghali zaidi kwa Zanzibar, huku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA UDAKU LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAREHE 2O.08.2013

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>