Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Viewing all 20290 articles
Browse latest View live

ANGALIA VIDEO RAIS ALIYEJIKOJOLEA HADHARANI ALIPOKUWA AKIHUTUBIA.

$
0
0
Rais wa Colombia, Juan Manuel Santos amezindua kampeni ya uchaguzi wa Urais kwenye jiji la Barranquilla, lakini wakati akihutubia, janga likamtokea.Rais huyo alikuwa akihutubia kwa mzuka kabla ya kujikojolea hadharani na kila mtu akiona japo hakusitisha hotuba hiyo. Video yake imekuwa maarufu tayari mtandaoni. Hata hivyo Rais huyo amekanusha kuwa na matatizo ya kiafya. Ametumia mtandao wa Twitter kuwashakuru wananchi wa Colombia kwa kumuelewa licha ya aibu hiyo.

Rais huyo mwenye miaka 62 aliwahi kufanyiwa upasuaji kutokana na saratani korodani (prostate cancer).

ANGALIA VIDEO YA MTOTO WA MIAKA 14 AJIFUNGUA WATOTO 3

PICHA ZAONYESHA MABAKI YA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA BAHARINI

$
0
0
Waziri wa Ulinzi wa Malaysia ambaye pia ni  Kaimu waziri wa Usafirishaji, Hishammuddin Hussein akionyesha picha zinazodaiwa kuwa mabaki ya ndege iliyopotea.

Picha ya Satelite ikionyesha kinachodhaniwa kuwa mabaki ya MH370.
Serikali ya Malaysia imesema kuwa picha mpya za Satelite zimeonyesha zaidi ya vifaa miamoja vinavyodhaniwa kuwa mabaki ya ndege yake iliyotoweka zaidi ya wiki mbili zilizopita.
 Waziri wa usafiri wa nchi hiyo, Hishammuddin Hussein, amesema kuwa picha hizo zilizotolewa na Ufaransa, zinaonyesha vifaa hivyo kuwa zaidi ya mita ishirini kwa urefu.
 Hadi kufikia sasa, hakuna taarifa rasmi ya mabaki ya ndege hiyo kuonekana.
 Ndege hiyo iliyokuwa na abiria 239, ilikuwa safarini kutoka Kuala Lumpur kuelekea Beijing zaidi ya wiki mbili zilizopita.
 Msako uliofanywa baharini na angani, kuitafuta ndege hiyo umeanza tena katika pwani ya Australia baada mawimbi kutulia baharini.


CHANZO: BBC SWAHILI NA DAILYMAIL.

Pakistani court indicts Musharraf for treason

$
0
0

"I honor this court and prosecution, I strongly believe in law I don't have ego problems," Musharraf said in court. (Reuters)

Former Pakistani military ruler Pervez Musharraf on Monday was indicted for treason on charges relating to his 2007 imposition of emergency in a historic first for a country ruled for half its history by the army.

A special tribunal comprising three judges read out five charges, as the former president stood ramrod straight and replied "Not guilty" to each charge.
Musharraf, who has been absent from most of the tribunal's hearings owing to security threats and ill health, then turned to address the court.
"I honor this court and prosecution, I strongly believe in law I don't have ego problems, and I have appeared in court 16 times in this year in Karachi, Islamabad and Rawalpindi," the 70-year-old, who ruled Pakistan from 1999 to 2008, said.
"I am being called a traitor, I have been chief of army staff for nine years and I have served this army for 45 years. I have fought two wars and it is 'treason'?"
Later his lawyer asked the court's permission for Musharraf to visit his sick mother in Dubai, according to Reuters news agency. The former military ruler is currently under house arrest.
Musharraf faces the death penalty if convicted of the charges over his suspension of the constitution and imposition of emergency rule in 2007, when he was trying to extend his rule as president.

Source: english.alarabiya.net

MKUU WA JESHI KUJIUZULU NA KUGOMBEA URAIS MISRI

$
0
0

Al Sisi alitazamiwa kujiuzulu na anatarajiwa kushinda kwa ukubwa.
Mkuu wa majeshi na waziri wa ulinzi Misri, Abdul Fattah al-Sisi, ametangaza kujiuzulu jeshini ili kugombea katika uchaguzi wa urais mwezi ujao.

Wagombea wote wanapaswa kuwa raia.


                             Abdul Fattah al-Sisi



Akizungumza Kwenye hotuba ya Televisheni huku akiwa amevalia sare ya kijeshi Abdel Fattah El Sissi amesema yeye sio mwanajeshi tena baada ya miaka 44 na kwamba amechukua hatua hiyo ili aweze kutimiza jukumu lingine muhimu.


Ni Bayana kwana Sisi hatakua na kibarua kigumu kujipatia ushindi katika uchaguzi wa Urais. Anaungwa mkono na idadi kubwa ya raia wa Misri na hadi sasa hana wapinzani wowote.

Baadhi ya waliotaka kugombea urais wamejiondoa wakidai kwamba hawataweza kuendesha kampeni zao kwa njia huru.

Wafuasi wake Sisi wanamuona kama kiongozi imara ambaye anaweza kurejesha amani na udhabiti nchini Misri baada ya miaka mingi ya machafuko.

Wakosoaji wake wanasema ana msimamo mkali na amechangia pakubwa katika kusambaratisha na kuhujumu upinzani nchini Misri.

Mkuu huyo wa jeshi atakabiliwa na majukumu mazito ya kufufua uchumi uliofifia , kupambana na uasi na kuileta pamoja nchi iliyogawanyika. Ameahidi kutekeleza mabadiliko makubwa lakini akaonya kuwa hawezi kufanya miujiza.
>>>>>Na bbcswahili

KOREA KASKAZINI YAWAAMURU WANAUME WOTE KUNYOA NYWELE KAMA RAIS WAO JONG-UN

$
0
0


 Hii ndio ‘Dear Leader’ style wanayotakiwa kunyoa wanaume wa Korea Kaskazini

Tumekuwa tukisikia sheria mbalimbali zikipitishwa katika nchi mbalimbali zinazowataka watu wavae au wasivae mavazi ya aina fulani, lakini huko Korea Kaskazini imepitishwa sheria inayowataka wanaume wote wa nchi hiyo kunyoa style ya nywele ya kiongozi wao iliyopewa jina la ‘Dear Leader’

Wiki mbili zilizopita serikali ya Korea Kaskazini imepitisha style moja tu ya nywele inayopaswa kufuatwa na wanaume wote ambayo ndio inayopendwa na kiongozi wa nchi hiyo Kim Jong-Un.

Hapo kabla wanaume wa nchi hiyo walikuwa wanaruhusiwa kuchagua kati ya style 10 za kunyoa zilizokuwa zimepitishwa, lakini sasa ni style moja tu iliyopitishwa, huku wanawake wakiwa wamepewa style 18 za nywele. 

AJALI MBAYA SANA 14 WAFA, WAOKOAJI NAO WAZOLEWA WAFA WAFIKIA 21

$
0
0


Watu 21 wamefariki dunia katika ajali mbaya imetokea Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani ikihusisha magari 3 na wengine 11 kujeruhiwa.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, ACP Ulrich Matei, alisema ajali hiyo imetokea katika Barabara Kuu ya Dar es Salaam-Lindi, eneo la Ikwiriri, wilayani humo.
Awali ajali hiyo ilihusisha magari mawili, Toyota Hiace (T 948 CUX), iliyokuwa ikitokea Ikwiriri kuelekea Rufiji ambalo lilikwenda kukwaruzana na Lori(T 132 AFJ) kwa nyumba, ambalo lilikuwa limeharibika na kusimama barbarani.


Alisema baada ya kulikwaruza roli hilo, mlango wa Hiace uling'oka na kubaki kwenye roli ambapo gari hiyo lilipoteza mwelekeo na kwenda kugongana uso kwa uso na gari nyingine aina ya Canter(T 774 CJW) na kupinduka.
"Katika ajali hii, watu 14 walifariki dunia papo hapo, wakati polisi na baadhi ya wananchi wakiendelea kuwaokoa majeruhi ili wakimbizwe hospitali, likatokea basi la kampuni ya Mining (President)( T 242 BXA), kuwakanyaga watu waliokuwa wakitoa msaada na kuwaua ndio maana idadi ya waliokufa imefikia 21.
"Basi hili lilikuwa linatoka Lindi kuelekea Dar es Salaam...polisi walifanya jitihada za kulisimamisha lakini dereva wake alikataa kusimama na kwenda kukanyaga watu lakini tayari tumemkamata, majeruhi mmoja amehamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam," alisema Kamanda Matei.
Kamanda Matei alisema, basi hilo linashikiliwa polisi ambapo uchunguzi ukikamilika, dereva wake atafikishwa mahakamani kujibu mashtaka.
Aliwataja waliokufa ni Sixtus Ally Mtanga(32) na Nassoro Mohamed Kajani(20) wakazi wa Ikwiriri, Juma Said Kitambulilo(30) na Salum Goma Makonde (50), Ustaadhi Kalilambwe(34) na Shafil Kip (30), Wasabi Sabil(45), Ramadhani Ally (23)wote wakazi wa Mbagala.
Shabani Bakari(30) Kondakta wa Hiace, mkazi wa Kibiti, Masud Abulal (27), mkazi wa Mkuranga, Ammi Mpemba (30)na Madadi Hassan Mangasongo (45) wakazi wa Jaribu na Japhet Ponsian (24), mkazi wa Dar es Salaam.
Pia yupo Said Ally China (21) mkazi wa Kimanzichana, mkazi wa Jaribu, Abdalahaman Yusuph Kihemke(45), mkazi wa Kongowe na Fikiri Said Sauze, mkazi wa Vikindu.
Wengine ni Nywari Mshigani mkazi wa Dar es Salaam, Hassan Wasabi (18), mkazi wa Kibiti na Seleman Mcharazi (47) mwingine aliyejulikana kwa jina moja la Mustafa, wote wakazi wa Mbagala na maiti ya mwanamke haijafahamika jina lake.
Waliojeruhiwa katika ajali hiyo ni Frank Sixmundi (31), dereva wa gari la Maliasili Kibiti ambaye alifika eneo ili kutoa msaada kwa majeruhi ambaye ameumia kichwani, Mohamed Salehe (49) na Charles Rogasani (23), wote wakazi wa Kibiti na Mohamed Mengine (42), mkazi wa Dar es Salaam.
Wengine ni Mniko Magige Mango (54) na Abdalah Issa (25) wakazi wa Mkuranga, Khalid Salum (32), mkazi wa Dar es Salaam, Ahmad Yusuph (23), mkazi wa Kigamboni na Shomari Yusuph (42), mkazi wa Mburahati. Majeruhi wamelazwa katika hospitali za Ikwiriri, Misheni ya Mchukwi na wengine hospitali ya Taifa Muhimbili.

ANGALIA PICHA ZA WADADA WATATU WENYE UGONJWA WA KUOTA NYWELE MWILI MZIMA KUTOKA INDIA UGONJWA HUU UMEWAHARIBIA NDOTO ZAO

$
0
0
 
Ndugu hawa wote wanatokea nchini india wa kwanza anaitwa Savita (23),Monisha (18)na Savitri (18)ambao wote hawa katika maisha yao wamelazimika kutumia dawa ambazo huweza kuwasaidia kupunguza uwezo wa nywele kuota kwa kasi. Ndugu hawa watatu kati ya sita waliozaliwa katika familia moja wameathirika na ugonjwa huu uitwao kitaalamu werewolf syndrom.Ugonjwa huu unaweza kumfanya mgonjwa kuweza kuota nywele karibu kila sehemu ya mwili wake hasa sehemu za usoni.Ni mara chache sana kumpata mgonjwa anayeumwa ugonjwa huu.Kwani wataalamu
wanasema kuwa hutokea kwa mtu mmoja kati ya watu billioni moja. Chanzo cha ugonjwa mama wa watoto hawa amesema kwamba ni kutoka kwa baba yao ambaye alikua na ugonjwa huu.Na yeye alilazimishwa kuolewa naye bila kujua kama anaugonjwa huu.Kutokana na umasiki walionao wameshindwa kulipia gharama za upasuaji kwa mgonjwa mmoja ni zaidi ya dola za kimarekani 7,000.Mama huyu anaomba msaada wa kumsaidia watoto wake hawa kuweza kufanyiwa upasuaji ili siku moja waweze pona na kuolewa.

ANGALIA VIDEO MSIMAMO WA TANZANIA NDOA ZA JINSIA MOJA

MADHARA MAKUBWA MANNE 4 YA SMARTPHONE

$
0
0
SMARTPHONEKatika kuendeleza mapinduzi ya teknolojia makampuni mengi yameingiza sokoni bidhaa zenye uwezo wa kustaajabisha ambazo hapo mwanzo hakuna aliye fikiri endapo siku moja tutafika hapa tulipo. 
Miongoni mwa vitu vilivyoundwa miaka ya hivi karibuni ni Simu ambazo kwasasa ni maarufu sana mtaani. Simu hizi zinazo julikana kama Smartphone zimepelekea mapinduzi makubwa katika ulimwengu wa teknolojia kwani kupitia simu hii unaweza fanya mambo mengi sana. 
Hebu leo tuangalie madhara ya Smartphone kwako wewe mtumiaji.



1. Mmomonyoko wa maadili:Smartphone zimekuwa na ushawishi mkubwa katika kupelekea kushuka kwa maadili kwani simu hizi humrahisishia mtumiaji kuona picha na video mbalimbali zilizopo online. Tafiti zinaonesha kuwa idadi kubwa ya vijana wenye Smartphone kama wewe  hapo unaesoma habari hii, hawamalizi wiki moja bila kutazama picha chafu au video iwe ni kwa hiari yao au kuziona kwa bahati mbaya kupitia mitandao ya kijamii.

2. Smartphone pia ni simu ambayo inapelekea watu kupoteza muda mwingi kuchat na marafiki badala ya kufanya shughuli za kimaendeleo ambazo huenda zingewaongezea kipato chao.

3. Mionzi itokanayo na Simu yoyote ni hatari sana kwa Afya ya mwanadamu kwani wataalamu wanasema kunauwezekano mkubwa wa kupata saratani endapo utaendekeza matumizi ya vifaa vyenye mionzi. Sasa Smartphone ni simu rafiki ambayo humshawishi mtumiaji kuichezea kila siku, kila sasaa na kila mahali endapo una tabia hiyo punguza kwani ni hatari sana....

4. Endapo hautakuwa mwangalifu na mtunzaji mzuri ikatokea siku moja ukaitupia simu yako kwenye majoi basi itakuwa ni kilio na kusaga meno kwani ndo niagieni hiyooo......

USHAURI WA BURE: KAMA UNA SMARTPHONE ITUPE SASA HIVI NA UNUNUE NOKIA TOCHI, Natania tuuu, Ni muhimu kwenda na teknolojia, chamsingi tuzingatie matumizi bora na ya msingi kwenye smartphone zetu na tuweke apps ambazo zitazuia watoto wetu kuzitumia vibaya. 

Imeandaliwa na KIJIWE MEDIA, BENCHI LA TEKNOLOJIA

Hali ya Hewa waonya uwapo wa kimbunga kitakachosababisha mvua kubwa

$
0
0


Machafuko ya hali ya hewa, mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imetahadharisha juu ya kuwapo kwa kimbunga kiitwacho Hellen katika mwambao wa Bahari ya Hindi ambacho kitasababisha mvua kubwa inayozidi mililita 50 ndani ya saa 24 kuanzia jana katika mikoa 14
Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imetahadharisha juu ya kuwapo kwa kimbunga kiitwacho Hellen katika mwambao wa Bahari ya Hindi ambacho kitasababisha mvua kubwa inayozidi mililita 50 ndani ya saa 24 kuanzia jana katika mikoa 14.
Taarifa ya mamlaka hiyo ambayo imetolewa jana kwa vyombo vya habari imebainisha kuwa mvua zitanyesha katika mikoa ya Dar es Salaam, Mtara, Lindi, Tanga, Unguja, Pemba, Singioda, Dodoma, Ruvuma, Katavi, Njombe, Mbeya na Morogoro.
Taarifa hiyo imeongeza kuwa mvua hizo zilitarajia kuanzia jana na zitaendelea hadi Aprili Mosi mwaka huu na wakazi wa mikoa hiyo, watumiaji wa bahari pamoja na mamlaka zinazohusika na maafa zimetakiwa kuchukua tahahadhari zinazotakiwa.
Imebainisha kuwa, uwezekano wa mvua hizo ni asilimia 80 na ni mwendelezo wa mvua za masika zinazoendelea kunyesha nchi nzima katika baadhi ya maeneo ambako hupata misimu miwili ya mvua kwa mwaka.
“Mamlaka ya Hali ya Hewa inaendelea kufuatilia na itatoa taarifa zaidi kadri zitakavyopatikana,” ilisema sehemu ya taarifa hiyo na kuongeza kuwa, uangalifu na tahadhari vinahitajika ili kuepusha maafa zaidi.
Kimbunga hicho kinakuja wakati baadhi ya maeneo nchini, wiki iliyopita zilikumbwa na mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali sasa na kusababisha uharibifu wa mali na miundombinu.
Chanzo;Mwananchi 

WAZIRI CHIKAWE ATUA ZANZIBAR KUTEMBELEA IKULU, NIDA NA UHAMIAJI LEO

$
0
0
PIX 1 (1)Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe (kushoto) akipokelewa na Naibu Waziri wa wizara yake, Pereira Ame Silima, wakati alipotua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar leo. Kulia ni Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Hamdan Omary Makame. Waziri Chikawe amewasili Zanzibar kwa ajili ya ziara ya kikazi. (Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).

PIX 2 (1)Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe (kushoto) akimsalimia Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Dickson Maimu wakati alipotua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa  wa Abeid Amani Karume Zanzibar leo. Waziri Chikawe amewasili Zanzibar kwa ajili ya ziara ya kikazi. (Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).
PIX 3 (1)Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe (wa pili kushoto) akiwa na NaibuWaziri wa wizara yake, Pereira Ame Silima (kushoto), Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Dickson Maimu na Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Hamdan Omary Makame, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa  wa Abeid Amani Karume Zanzibar leo Waziri Chikawe amewasili Zanzibar kwa ajili ya ziara ya kikazi. (Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).
PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

BIBI WA MIAKA 68 AUAWA NA WATU WASIOFAHAMIKA KWA TUHUMA ZA KISHIRIKINA

$
0
0
DSC00268TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI
“PRESS RELEASE” TAREHE 01.04.2014. 
  • BIBI WA MIAKA 68 AUAWA NA WATU WASIOFAHAMIKA KWA TUHUMA ZA KISHIRIKINA.
  • MZEE WA MIAKA 62 AFARIKI DUNIA BAADA YA KUZIDIWA NA MAJI YA MTO SAZA.
  • MTOTO WA MIAKA 02 AMEKUTWA AMEKUFA MAJI BAADA YA KUTUMBUKIA NDANI YA KISIMA.
 KATIKA TUKIO LA KWANZA:
 BIBI WA MIAKA 68 ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA BELTA SANZIA MKAZI WA MAWENI AMEUAWA KWA KUKATWA NA KITU KINACHODHANIWA KUWA SHOKA KICHWANI, MKONO WA KULIA NA KUTOBOLEWA SEHEMU ZA UBAVU WA KUSHOTO NA MTU/WATU WASIOFAHAMIKA. TUKIO HILO LA KUSITIKISHA LIMETOKEA MAJIRA YA USIKU WA KUAMKIA TAREHE 31.03.2014 HUKO KATIKA KITONGOJI CHA MAWENI, KIJIJI NA KATA YA MKWAJUNI, TARAFA YA KWIMBA, WILAYA YA CHUNYA. INADAIWA KUWA CHANZO CHA MAUAJI HAYO NI IMANI ZA KISHIRIKINA BAADA YA MAREHEMU KUTUHUMIWA KUWAROGA WANAKIJIJI WENZAKE.  MAREHEMU ALIKUWA AKIISHI PEKE YAKE KATIKA NYUMBA YAKE. JUHUDI ZINAENDELEA KUWASAKA WALIOHUSIKA NA TUKIO HILO. KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA KAMISHNA MSAIDIZI MWANDAMIZI WA POLISI AHMED Z. MSANGI ANATOA WITO KWA JAMII KUACHANA NA IMANI POTOFU ZA KISHIRIKINA KWANI ZINA MADHARA MAKUBWA KATIKA JAMII. AIDHA ANATOA WITO KWA YEYOTE MWENYE TAARIFA ZA MTU/WATU WALIOHUSIKA NA TUKIO HILI AZITOE KATIKA MAMLAKA HUSIKA ILI WAKAMATWE NA HATUA ZA KISHERIA ZICHUKULIWE DHIDI YAO.

 KATIKA TUKIO LA PILI:
MZEE MMOJA ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA LUCHAGULA MAENZEKA (62) MKAZI WA KITONGOJI CHA KININGA AMEKUTWA AMEKUFA MAJI NDANI YA MTO SAZA.
 TUKIO HILO LIMETOKEA MNAMO TAREHE 31.03.2014 MAJIRA YA SAA 09:30 ASUBUHI HUKO KATIKA KITONGOJI CHA KININGA, KIJIJI NA KATA YA SAZA, TARAFA YA KWIMBA, WILAYA YA CHUNYA. INADAIWA KUWA CHANZO CHA KIFO HICHO NI MAREHEMU KUSHINDWA KUYAMUDU MAJI YA MTO HUO KUTOKANA NA ULEVI HALI ILIYOPELEKEA KUSOMBWA NA MAJI.
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA KAMISHNA MSAIDIZI MWANDAMIZI WA POLISI AHMED Z. MSANGI ANATOA WITO KWA JAMII KUWA MAKINI WANAPOVUKA MITO HASA KIPINDI HIKI CHA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA KWANI NI HATARI. AIDHA ANATOA WITO KWA JAMII KUACHA TABIA YA KUNYWA POMBE KUPINDUKIA KWANI NI HATARI SI TU KWA AFYA ZAO BALI HATA KWA MAISHA YAO.
KATIKA TUKIO LA TATU:
MTOTO MDOGO ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA JULIETA CHRISTIAN (02) MKAZI WA SAZA AMEKUTWA AMEKUFA MAJI NDANI YA KISIMA KILICHOPO JIRANI NA NYUMBA WANAYOISHI.
TUKIO HILO LIMETOKEA MNAMO TAREHE 31.03.2014 MAJIRA YA SAA 11:00 ASUBUHI KATIKA KITONGOJI CHA KATI, KIJIJI NA KATA YA SAZA, TARAFA YA KWIMBA, WILAYA YA CHUNYA. WAKATI TUKIO HILO LINATOKEA MAREHEMU ALIBAKI PEKE YAKE NYUMBANI BILA MWANGALIZI YEYOTE.

KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA KAMISHNA MSAIDIZI MWANDAMIZI WA POLISI AHMED Z. MSANGI ANATOA WITO KWA WAZAZI/WALEZI KUWEKA UANGALIZI WA KUTOSHA KWA WATOTO WAO ILI KUEPUKA MADHARA YANAYOWEZA KUJITOKEZA. AIDHA ANATOAN WITO KWA JAMII KUFUNIKA VISIMA VILIVYOWAZI, KUFUKIA MADIBWI NA MASHIMO KWANI NI HATARI KWA WATOTO WADOGO HASA KATIKA KIPINDI HIKI CHA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA.
Signed by:
[AHMED Z. MSANGI – SACP]
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA.

UINGEREZA YAJIVUNIA KUWA NCHI INAYOONGOZA KATIKA UWEKEZAJI NCHINI TANZANIA

$
0
0
???????????????????????????????????????????????Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akibofya kitufe kuzindua rasmi mpango wa bima ya afya na maafa wa WESTADI wa mfuko wa Jamii wa NSSF jijini London, akiwa na Mkurugenzi wa NSSF Dkt RAmadhani Dau na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya mfuko huo Bw. Abubakar Rajabu (kushoto) . Mwenye miwani kati ni Bw. Aboubakar Faraji aliyekuwa mwongoza sherehe wa siku hiyo ambapo Dkt Kikwete alikutana na kuzungumza na Watanzania waishio Uingereza.
AK385518Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza Bw. Hague alipomtembelea ofisini kwake jijini London kwa mazungumzo Machi 31, 2014AK385520Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Waziri Mkuu wa Uingereza Bw. David Cameron alipomtembelea ofisini kwake 10 Downing Street jijini London kwa mazungumzo Machi 31, 2014bk2Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akikaribishwa na Duke of York ambaye pia ni  Balozi wa Biashara wa Serikali ya Uingereza  HRH Prince Andrew katika kasri ya Malkia ya Uingereza ya Buckingham Palace jijini London Machi 31, 2014
bk8Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na mwenyeji wake Waziri Mkuu wa Uingereza Bw. David Cameron alipomtembelea ofisini kwake 10 Downing Street jijini London kwa mazungumzo Machi 31, 2014bk10Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Meya wa Jiji la London Mstahiki Alderman Fiona Woolf alipomtembelea ofisini kwake Mansion House jijini London Machi 31, 201bk12Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wafanyabishara wakubwa na wawekezaji wa Uingereza aliokutana nao katika mkutano wa biashara na uwekezaji katika makao makuu ya Wizara ya Mambo ya Nje na Jumuiya ya Madola jijini London Machi 31, 2014bk21Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wadau mbalimbali wa biashara na uchumi  wa Uingereza aliokutana nao katika ukumbi wa  Chatham House  jijini London Machi 31, 2014
PICHA NA IKULU
………………………………………………………………………
Uingereza inajivunia kuwa nchi inayoongoza katika uwekezaji nchini Tanzania na itaendelea kuisaidia Tanzania katika jitihada zake za kiuchumi na kuleta maendeleo .
Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron amemuambia Rais Kikwete wakati wa mazungumzo yaliyofanyika 10 Downing Street,  Leo tarehe 31 March, 14, ambapo ndipo yalipo Makao Makuu ya Waziri Mkuu wa Uingereza.
“Tunafurahia sana uhusiano wetu na kujivunia kuwa tunaongoza katika
Uwekezaji nchini Tanzania”
 Bw. Cameron amesema na kumhakikishia Rais Kikwete kuwa Uingereza iko tayari kutoa misaada zaidi.
Rais Kikwete amewasili nchini Uingereza tarehe 30 Machi, 2014 kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku 3 kufuatia mualiko wa Bw. Cameroon ambaye pia amemuomba Rais Kikwete aendelee kutoa mchango wake wa mawazo katika masuala ya kimataifa hasa baada ya mwisho wa muda wa malengo ya millennium ya 2015.
Tunakaribia mwisho wa muda wa malengo ya millennia Mwaka 2015, tutahitaji kuweka vipaumbele vingine baada ya hivyo kama kuondosha umaskini, Maji safi na salama, masuala ya ufisadi na utawala bora, natumaini utaendelea kutoa mchango wako baada ya malengo hayo kufikia tamati” Waziri Mkuu Cameron amemuambia Rais Kikwete ambapo Rais amekubali ombi hilo na kuahidi ushirikiano wake.
Mapema leo asubuhi Rais amekutana na mtoto wa Mfalme Prince Andrew katika makazi ya Malkia ya Buckingham ambapo wamebadilishana mawazo kuhusu mambo mbalimbali ya Kimataifa na Kijamii.
Kabla ya kwenda Buckingham Rais amefungua mkutano kuhusu uwekezaji na kuelezea fursa na nafasi zilizopo za uwekezaji nchini Tanzania na kuelezea kwanini wawekezaji watakuwa wanafanya uamuzi bora kwa kuwekeza Tanzania kuwa ni pamoja na;

“Fursa nyingi, amani, usalama, soko la kutosha na kubwa kwa vile Tanzania iko katika Umoja wa Afrika Mashariki, Ukanda wa Maziwa Makuu na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika,hivyo kuwa na uhakika wa soko kubwa na pana”
 amesema.
Katika ziara yake Rais pia amekutana na Mstahiki Meya  wa Jiji la London Mama Alderman Fiona Woolf na kukaribishwa rasmi Jijini London. Mstahiki Meya  anatarajia kutembelea Tanzania, Mwezi Septemba Mwaka huu.
Rais alipowasili London tarehe 30 Machi,2014, alikutana na Watanzania wanaoishi nchini Uingereza na kuwaeleza maendeleo yaliyopo nchini Tanzania.
Rais anaendelea na ziara yake nchini Uingereza
Mwisho.
Imetolewa na;
Premi Kibanga.
Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi,
London Uingereza
31 Machi, 14

MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAREHE 01.04.2014


ANGALIA RATIBA YA LIGI YA MABINGWA MECHI ZA LEO

MASHINDANO YA NSSF MEDIA CUP YAANZA KUTIMUA MBIO

$
0
0
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akizungumza wakati wa uzinduzi wa mashindano hayo. Wa pili kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Chiku Matesa.
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka (wa pili kulia), akipata maelezo kutoka kwa Ofisa Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Carolyne Newa wakati alipotemberlea banda la NSSF wakati wa uzinduzi wa mashindano ya NSSF Media Cup 2014 kwenye uwanja wa TCC Chang’ombe jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akisalimiana na mshambuliaji wa timu ya New Habari 2006, Joh Dande wakati wa uzinduzi wa michuano ya NSSF Media Cup 2014 kwenye uwanja wa TCC Chang'ombe Dar es Salaam.

MASHINDANO ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii inayowahusisha waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari (NSSF Media Cup) yameanza kutimua vumbi katika uwanja wa TCC, Chang'ombe jijini Dar es Salaam.

Akifungua mashindano hayo, Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka, amewataka wanahabari nchini kuhakikisha wanajiunga na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), ili kujihakikishia maisha ya amani na utulivu baada ya kustaafu.

Alisema kuwa, wanahabari wanapaswa kwenda mbali zaidi katika kulitumia shirika hilo, ili kunufaika na mafao mbalimbali yanayotolewa kwa wanachama.

Katika ufunguzi huo, timu ya soka ya New Habari (2006) Ltd iliumana na Habari Zanzibar katika Soka, ambako hadi  filimbi ya mwisho Habari Zanzibar iliibuka kidedea kwa magoli 4-1, magoli ya Zanzibar yaliwekwa wavuni na Amoor Suleiman aliyeweka wavuni goli moja na Yusuph Juma magoli matatu huku goli la New Habari likiwekwa wavuni na Florian Mwasinde.

Kwa upande wa netiboli, timu ya Jambo Leo iliichapa timu ya Wizara ya Habari Bara kwa jumla ya magoli 59-8, katika pambano la upande mmoja lilipoigwa kwenye viwanja hivyo.

Katika mechi ya pili ya netiboli, Azam Media iliumana na Tanzania Standards Newspaper (TSN), ambako Azam waliibuka washindi kwa magoli 18-13.

Kabaka aliwataka washiriki wa mashindano hayo ya 11 yanayoshirikisha wafanyakazi wa vyombo vya habari kuonesha ushindani, ufundi na nidhamu ili kuongeza hamasa ya michuani hiyo.

Alivitaka vyombo vya habari kuepuka kuingiza wachezaji wasio wanahabari (mamluki), kudumisha lengo la umoja na ushirikiano baina ya shirika hilo kongwe na vyombo vya habari, ikiwamo kuwapa mazoezi wafanyakazi wa vyombo hivyo.

RAIS DKT. SHEIN AMKARIBISHA IKULU YA ZANZIBAR WAZIRI CHIKAWE

$
0
0
PIX 1 (2)Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kulia) akimkaribisha ofisini kwake Ikulu mjini Zanzibar, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe. Waziri Chikawe alifika ofisini hapo kwa lengo la kujitambulisha kwa Rais huyo baada ya kuteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. Viongozi hao pia walijadiliana masuala mbalimbali ya kuimarisha ulinzi na usalama wa Tanzania Bara na Visiwani. Katikati ni Naibu Waziri wa wizara hiyo, Pereira Ame Silima. (Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).

PIX 2 (2)Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kulia) akimsikiliza kwa makini, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe (katikati) alipokuwa akifafanua jambo wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika Ikulu ya Zanzibar leo.  Waziri Chikawe alifika ofisini hapo kwa lengo la kujitambulisha kwa Rais huyo baada ya kuteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. Viongozi hao pia walijadiliana masuala mbalimbali ya kuimarisha ulinzi na usalama wa Tanzania Bara na Visiwani. Kushoto ni Naibu Waziri wa wizara hiyo, Pereira Ame Silima.  (Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).
PIX 3 (2)Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (watatu kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe (watatu kushoto), Naibu Waziri wa wizara hiyo, Pereira Ame Silima (wapili kulia), Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (wapili kushoto). Kulia ni Mkurugenzi wa Vitambulisho vya Taifa, Ofisi ya Zanzibar, Vuai Suleiman. Kushoto ni Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Hamdan Omary Makame. Waziri Chikawe alifika Ikulu ya Zanzibar kwa lengo la kujitambulisha kwa Rais Shein baada ya kuteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. Viongozi hao pia walijadiliana masuala mbalimbali ya kuimarisha ulinzi na usalama wa Tanzania Bara na Visiwani. Kushoto ni Naibu Waziri wa wizara hiyo, Pereira Ame Silima.  (Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).
PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

ANGALIA NAFASI MPYA ZA KAZI KUTOKA UMOJA WA MATAIFA UN

$
0
0
Posting Title:ASSOCIATE LEGAL OFFICER, P2
Job Code Title:ASSOCIATE LEGAL OFFICER
Department/ Office:International Residual Mechanism for Criminal Tribunals
Duty Station:ARUSHA
Posting Period:28 March 2014-27 April 2014
Job Opening number:14-LEG-RMT-34040-R-ARUSHA (R)
United Nations Core Values: Integrity, Professionalism, Respect for Diversity
Special Notice
The appointment is limited to the Mechanism for International Criminal Tribunals. Appointment of the successful candidate will be for a period of one year. Any extension of the appointment is subject to the needs of the institution and/or the availability of funds. Since the international tribunals are not integrated in the Secretariat, UN Staff Members serve on assignment or secondment from their parent department/office if selected. Appointments of staff members in the United Nations are subject to the authority of the Secretary-General. Staff Members are expected to move periodically to new functions in accordance with established rules and procedures, and may in this context be reassigned by the Secretary-General throughout the Organization based on the changing needs and mandates.
Organizational Setting and Reporting


The post will be located in the Chambers of the Mechanism for International Criminal Tribunals ("Mechanism"), Arusha Branch. The incumbent will work under the supervision of the assigned judge(s) and the legal officers in Arusha and The Hague.
Responsibilities:
-Under supervision of the assigned judge(s) and the legal officers, the incumbent will be responsible for the following duties:
-Perform legal research regarding international criminal law and procedure, international humanitarian law and human rights issues, and provide specialized legal advice, both written and oral. Select and analyze relevant international and national legal materials for the preparation of judicial documents and legal memoranda;
-Draft judicial documents and prepare legal memoranda for the assigned judge(s) and/or Chambers;
-Assist the assigned judge(s) or the Chambers as necessary with administrative and other matters relating to court proceedings. Assist the judge(s) during meetings, participate in working groups, and produce minutes of meetings;
-Draft reports and correspondence on legal and organizational questions;
-Collaborate effectively with Chambers and other staff at all levels to achieve the goals of Chambers in particular, and the Mechanism as a whole;
-Assist in the review of legal documents, instruments and other material. Identify important issues, similarities and inconsistencies, etc.
-Perform other duties as may be assigned.

Competencies
Professionalism: 
Possesses knowledge of international criminal law and/or humanitarian law; possesses strong analytical skills and ability to conduct comprehensive legal research on a range of issues; demonstrates proficiency in legal writing and expression and the ability to prepare legal memoranda, opinions, and a variety of legal instruments and related documents under pressure and within short deadlines; shows pride in work and in achievements; demonstrates professional competence and mastery of subject matter; is conscientious and efficient in meeting commitments, observing deadlines and achieving results; is motivated by professional rather than personal concerns; shows persistence when faced with difficult problems or challenges; remains calm in stressful situations.
Communication: 
Speaks and writes clearly and effectively; listens to others, correctly interprets messages from others and responds appropriately; asks questions to clarify, and exhibits interest in having two-way communication; tailors language, tone, style and format to match audience; demonstrates openness in sharing information and keeping people informed.
Teamwork: 
Works collaboratively with colleagues to achieve organizational goals; solicits input by genuinely valuing others' ideas and expertise; is willing to learn from others; places team agenda before personal agenda; supports and acts in accordance with final group decision, even when such decisions may not entirely reflect own position; shares credit for team accomplishments and accepts joint responsibility for team shortcomings.

Education:
Advanced university degree (Master's degree or equivalent) in law, preferably with specialization in international criminal law and/or humanitarian law. A first-level university degree in law in combination with two (2) additional years of qualifying experience may be accepted in lieu of the advanced university degree.

Work Experience
A minimum of two (2) years of progressively responsible professional experience in law with emphasis on legal analysis, research, and writing is required. Experience at the International Criminal Tribunal for Rwanda, the International Criminal Tribunal for the former Yugoslavia, or the Mechanism is highly desirable. Qualifying years of experience are calculated following the receipt of the first-level university degree recognized by the United Nations.

Languages
English and French are the working languages of the Mechanism. For the post advertised, fluency in oral and written English is required. Knowledge of French is desirable.

Assessment Method
There may be a technical test and competency-based interview

United Nations Considerations
The United Nations shall place no restrictions on the eligibility of men and women to participate in any capacity and under conditions of equality in its principal and subsidiary organs. (Charter of the United Nations - Chapter 3, article 8). The United Nations Secretariat is a non-smoking environment.
Candidates will be required to meet the requirements of Article 101, paragraph 3, of the Charter as well as the requirements of the position. The United Nations is committed to the highest standards of efficiency, competence and integrity for all its human resources, including but not limited to respect for international human rights and humanitarian law. Candidates may be subject to screening against these standards, including but not limited to whether they have committed, or are alleged to have committed criminal offences and/or violations of international human rights law and international humanitarian law.

No Fee
THE UNITED NATIONS DOES NOT CHARGE A FEE AT ANY STAGE OF THE RECRUITMENT PROCESS (APPLICATION, INTERVIEW MEETING, PROCESSING, OR TRAINING). THE UNITED NATIONS DOES NOT CONCERN ITSELF WITH INFORMATION ON APPLICANTS' BANK ACCOUNTS.
-------------------------------------


Job Title: Health Management Info System (HMIS) Advisor
Location: Dar Es Salaam, Tanzania
Posting Date: 03/26/2014
Deadline Date: 04/11/2014
Starting Date: 05/05/2014
Description:
MEASURE Evaluation has been awarded an Associate Award by USAID/Tanzania to work with the Mission to support the MoH & Social Welfare (Mainland), MoH (Zanzibar), Ministry of Social Welfare, Youth, and Women & Child Development/DSW (Zanzibar), Dept of Social Welfare (Mainland), National AIDS Control Program (Mainland), Zanzibar AIDS Control Program, & other stakeholders to improve Tanzania's health outcomes through improved data & evidence-base by focusing on 2 result areas:1. Improve use of data for policy, advocacy, & monitoring of health/social service programs & strengthening M&E systems at the national & subnational level2. Improve the evidence base by conducting research & building research capacityBy focusing on these areas, & continuing to build/expand upon the support that was started under the MEASURE Evaluation Leader with Associates' Cooperative Agreement funded by USAID, at the end of the 5 year Associate Award, the vision is to see the following improvements: improved evidence base, with relevan, high-quality,timely data available at national/subnational levels from health & social service M&E systems & focused research efforts; increased use of evidence at the national level by ministries of health & depts of social welfare & at the local level by govt authorities, providers, community leaders & volunteers; & a strengthened capacity among health & social services systems including govt agencies, implementing partners, research orgs, & community-based orgs to maintain/continue to improve mechanisms for producing & using relevant evidence to improve service delivery.The MEASURE Evaluation Associate Award will be implemented by a consortium led by the University of North Carolina at Chapel Hill, and consisting of Futures Group (country lead), ICF International, John Snow, Inc., Tulane University, & Management Sciences for Heath.

RESPONSIBILITIES:
The HMIS Advisor will support the Government of Tanzania, on the Mainland and in Zanzibar, to strengthen the HMIS nationally by supporting and operationalizing the District Health Information System (DHIS2). This will involve providing technical assistance to standardize DHIS roll-out and implementation processes including supporting the MoHSW/MoH to conduct training workshops to build the capacity of system users to use the system; developing standardized curricula, manual and other resources to improve system use, developing processes and mechanisms to ensure data quality and use of information; and enhancing the data collection, reporting and use skills of staff at the district and service delivery levels by institutionalizing supportive supervision mechanisms and mentoring MoHSW/MoH staff to use supervision tools and protocols during routine supervision visits.
We are seeking a local hire to fill the position of HMIS Advisor. 
The HMIS Advisor will be a member of the MEASURE Evaluation Tanzania Associate Award team which consists of consortium members and led in country by Futures Group. 
The HMIS Advisor will be supervised by the JSI Team Lead based in Washington D.C.Specific Responsibilities will include, but are not limited to the following:
-Facilitate DHIS2 installation and implementation by advising and supporting the MoHSW/MoH to standardize the roll-out process;
-Develop and improve capacity of health workers, including MoHSW/MoH staff at the district level, to collect, analyze and use DHIS data for decision-making by assisting the GoT to roll-out planned DHIS2 training workshops;
-Build relationships and collaborate with USAID, MoHSW/MoH, Ifakara Health Institute, University of Dar es Salaam, University of Oslo, RTI International, CDC Foundation, Clinton Foundation and other relevant stakeholders to ensure that HMIS/DHIS strengthening activities are planned and implemented in a coordinated and collaborative manner and aligned with national strategies, to prevent duplication of efforts and improve synergy and complementarity between partners;
-In collaboration with the MoHSW/MOH and other relevant stakeholders, facilitate the interfacing between the HMIS (DHIS2) and LMIS (eLMIS) to improve correlation and use of data in routine reporting in both systems;
-Work in collaboration with other Technical Leads to ensure that high quality data is entered into DHIS2 and that data is used on a regular basis at the national and sub-national levels;
-Participate in the development and implementation of data collection and reporting tools and systems that correspond to the needs of decision makers at every level of the health system, as needed, and ensure compatibility with other existing systems (e.g. DHIS2);
-Ability to travel within Tanzania and Zanzibar as required by the position.
-Oversee the development of appropriate planning, monitoring, management and control systems to ensure informed decision-making and implementation of project activities;
-Oversee monitoring of project activities and assist with documentation of best practices (what worked and what didn't work) to ensure incorporation of lessons learned into ongoing activities;
-Work with the Chief of Party and other Technical Leads in the preparation of MEASURE Evaluation annual work plans, budgets, quarterly reports and annual progress reports to the Mission and MEASURE Evaluation headquarters;
-Perform other assigned functions relevant to MEASURE Evaluation work in Tanzania based on the emerging needs either from the Mission and government agencies.

QUALIFICATIONS:
-Advance degree (MPH, MS, MIS, MA, other) in public health or related fields such as health systems or health information;
-At least 5 years "hands on experience" in HMIS, M&E, data quality assessments and related areas, with a health or related international NGO or bilateral/multilateral organization preferably in sub-Saharan Africa;
-Experience in the development and operations of robust Health Information Systems, and specific knowledge of and experience with DHIS 2.0;
-Experience in Unix/Linux system management;
-Experience with adult training approaches and excellent workshop and meeting facilitation skills;
-Sound computer literacy and IT knowledge with experience in word processing, spreadsheets, databases, statistical analysis software such as SPSS, SAS, STATA or EPI-Info;
-Superior analytical skills including quantitative research activities in terms of planning, implementation and data analysis;
-Good interpersonal and people management skills and demonstrated ability to work effectively and harmoniously with other project staff, host country counterparts, USAID, consultants, other donors and international organizations;
-A team player but also able to work independently and to manage various projects on a daily basis with minimal supervision;
-Superior knowledge management, communications, report writing and presentation skills.Salary Range: TBD, commensurate with experience

Salary commensurate with experience.
Interested candidates should submit their resumes and cover letters online by 04/11/2014.
No phone calls please.
Principals only please.
JSI is an Equal Opportunity, Affirmative Action Employer committed to workplace diversity. We are committed to providing equal employment opportunities for all qualified applicants and employees without regard to age, race, color, national origin, ancestry, creed, religion, gender, disability, marital status, sexual orientation, sexual preference, genetic information, political affiliation, or protected veteran status in any employment decisions. M/F/V/D
If you are an individual with a disability, or a disabled veteran and unable to apply online for an available position, you may submit your request for reasonable accommodation by calling Human Resources at 617-482-9485.
Please read this notice entitled Equal Employment Opportunity is the Law.
------------------------------

Senior Public Sector Family Planning Advisor, 
Location:Dar Es Salaam, Tanzania
Description
IntraHealth International seeks a Public Sector Family Planning Director for an anticipated new program focused on delivering increased family planning outreach services, especially to rural women and to adolescents, and to support public sector family planning services. The Senior Public Sector Family Planning Advisor will be responsible for strengthening public sector capacity and systems related to family planning (FP) service delivery, including clinical training, in collaboration with other IntraHealth staff, project partners, and the Ministry of Health and Social Welfare (MOHSW). This person is responsible for providing leadership in strengthening the capacity of the public sector to provide FP services, with the intention that the processes and structures developed will lead to system improvements that will be sustainable and locally-owned.
The Senior Public Sector Family Planning Advisor plays a key role in assuring that the specific deliverables assigned to IntraHealth on the project are achieved, with particular focus on increasing provision of family planning services, especially long term and permanent methods, through the public sector to rural and remote areas. This person will be the senior member of the IntraHealth team on a national FP project and will provide immediate supervision to the IntraHealth staff working on the project to ensure overall program integrity and coordination of activities. The Senior Public Health Sector Family Planning Advisor will report to the Project Director on a day-to-day basis, and to the IntraHealth Senior Program Manager in Chapel Hill.
ESSENTIAL FUNCTIONS:
-Provide technical leadership and expertise on family planning services in the public sector, with a focus on long term and permanent methods according to national health service policy/norms and guidelines
-Work with national and district officials, facility leaders, and communities to develop strategies, plans, and objectives that will strengthen systems to improve provision of FP services in their service areas
-Provide guidance in strategies for strengthening MOHSW capacity to deliver FP services, particularly long acting and permanent methods to men and women in rural areas, as well as to youth
-Organize and lead FP and contraceptive training programs to strengthen skills and confidence in public sector providers
-Ensure state-of—the-art clinical and technical approaches and methodologies are used in improving performance of service providers and quality FP services
-Provide input into the development of project-wide strategies and work plans to address family planning issues prioritized by the Government of Tanzania and key stakeholders in the country
-Work closely with other senior project staff to develop overall project directions, strategies, and budgets
-Serve as senior IntraHealth representative to the project and supervises performance and administrative support to other IntraHealth staff on the project
-Communicate program trends, challenges, and successes, to Chapel Hill supervisor and IntraHealth Tanzania office
-Document program activities for wider dissemination of lessons learned, and participate in conferences as time and funding allow

Requirements:
-Advanced degree in a clinical discipline, e.g. medical doctor, nurse, or clinical officer with a minimum of ten years' experience working in the FP field in Tanzania, preferably with experience working as a FP provider. Strong knowledge, experience, and skills in providing FP services, particularly long acting and permanent methods. Substantial experience in designing and leading FP training programs for providers. Familiarity and experience working with the MOHSW health care system, and an ability to facilitate relationships and understanding with the MOHSW. Experience working on a donor-funded-funded project highly desirable.
-Demonstrated interpersonal, leadership, and management skills and ability to manage, supervise, and provide technical guidance
-Ability to achieve results in a timely manner and within a specified budget
-Fluency in English, including excellent English written and oral presentation skills; proficiency in Kiswahili highly desirable. Preference is given to Tanzanian nationals
-Willingness and ability to work independently with all stakeholders
-Willingness to working with deadlines

WORKING CONDITIONS / PHYSICAL REQUIREMENTS
-Willingness to work overtime as required
-Willingness to travel throughout Tanzania to work with partners and key stakeholders, and potentially internationally, as required
-------------------------------

Director of Research and Evaluation
Location:Dar es salaam, Tanzania Full-Time
ICAP at Columbia University is seeking a Director of Research and Evaluation to coordinate multiple public health evaluations [PHEs] related to the scale-up of HIV prevention, care and treatment programs in Tanzania. The results of these evaluations will inform the design of programs and ultimately contribute to the capacity of countries to provide high quality HIV prevention, care and treatment services. Working together with the in-country Monitoring &Evaluation (M&E) and clinical staff, as well as New York-based staff in the M&E and Research units, will provide significant scientific input, and plan and manage these evaluations. Current studies in the research portfolio include:
1. A large scale program evaluation of a combination prevention intervention in Kagera
2. The Optimal Models for HIV Care and Treatment3. Etiology of Sexually Transmitted Infections4. Reduction in risk of exposure to blood borne pathogens5. Pre- ART retention in care6. Improving partner testing and linkage to care in TB clinic settings7. A program evaluation of the TB pediatric center of excellence8. A situation assessment of early infant male circumcision
This is an exciting position with the benefit of seeing policy and programmatic impact.
This position is grant funded.
Major Responsibilities:
-Manage the overall in-country research portfolio
-Provide leadership to design protocols, data collection instruments, standard operating procedures, and databases
-Ensure Columbia University, CDC and local approvals are obtained.
-Track progress of all ongoing PHEs and ensure they are moving according to desired timelines
-Oversee hiring and training of TZ research unit staff including Project/Site Coordinators, Interviewers, and Data Entry Clerks, and ensure their integration into existing in-country teams
-Participate in development of detailed budgets
-Conduct routine monitoring of protocol implementation and data collection activities
-Participate in the development of analysis plans, and as appropriate, complete analyses and draft publications
-Supervise PHE Site/Project Coordinators
-Attending or participating in meetings with Government of Tanzania, donors or partners as requested by supervisor
-Support ICAP staff overall in abstract development and data analysis for internal program evaluation

Education:
Doctoral degree in epidemiology, demography or a related discipline, or an MD or MPH with significant analytic training

Experience, Skills & Minimum Required Qualifications:
-Knowledge and experience in the field of public health and HIV/AIDS epidemiology
-Minimum 7 years experience conducting public health research or program evaluations
-Good knowledge of qualitative and quantitative research methodologies.
-Excellent oral/written communication, interpersonal, organizational, and computer skills required
-Demonstrated experience supervising junior researchers
Note: Position requires field travel within Tanzania up to 50% of the time.
Application Instructions:
NOTE: This is a local hire position and the successful candidate will be an employee of ICAP in Tanzania and subject to the local terms and conditions of employment which includes a competitive salary and benefits package.
Please send an application letter and CV by email with a subject title "Director of Research" to icap-jobs-tanzania@columbia.edu.
Please do not attach any certificates when submitting on line. Only short listed applicants will be contacted.
Columbia University is an equal opportunity and affirmative action employer. It does not discriminate against employees or applicants for employment on the basis of race, color, sex, gender, religion, creed, national and ethnic origin, age, citizenship, status as a perceived or actual victim of domestic violence, disability, marital status, sexual orientation, status as a Vietnam era or disabled veteran, or any other legally protected status.
--------------------------------------


ASSOCIATE ADMINISTRATIVE OFFICER
Location :Dar es Salaam, TANZANIA
Application Deadline :14-Apr-14
Type of Contract :UNV
Post Level :UNV
Languages Required :
Starting Date :(date when the selected candidate is expected to start)24-Mar-2014
Duration of Initial Contract:1 Year
Background
The United Nations Volunteers (UNV) programme is the UN organization that promotes volunteerism to support peace and development worldwide. Volunteerism can transform the pace and nature of development and it benefits both society at large and the individual volunteer. UNV contributes to peace and development by advocating for volunteerism globally, encouraging partners to integrate volunteerism into development programming, and mobilizing volunteers.
In most cultures volunteerism is deeply embedded in long-established, ancient traditions of sharing and support within the communities. In this context, UN Volunteers take part in various forms of volunteerism and play a role in development and peace together with co-workers, host agencies and local communities. In all assignments, UN Volunteers promote volunteerism through their action and conduct. Engaging in volunteer activity can effectively and positively enrich their understanding of local and social realities, as well as create a bridge between themselves and the people in their host community. This will make the time they spend as UN Volunteers even more rewarding and productive.
The UN Volunteer will play a key role in the establishment and maintaining of effective and efficient administrative operations of the Country Office interacting with the colleagues of different divisions and with the FAO and/or UNDP service operation centers. Provides leadership in the execution of administrative and logistical, ensuring timely management of the different operations such as overall physical management and maintenance of the IFAD office space including all security arrangements, the provision with IFAD funds for the procurement and/ payment of goods and services.
Host Agency: International Fund for Agricultural Development (IFAD), Country Office in Dar Es Salaam The International Fund for Agricultural Development (IFAD), a specialized agency of the United Nations, established as an international financial institution in 1977 as one of the major. Since it was created in 1977, IFAD has focused exclusively on rural poverty reduction, working with poor rural populations in developing countries to eliminate poverty, hunger and malnutrition; raise their productivity and incomes; and improve the quality of their lives. IFAD relies heavily on its country offices for enhancing its development effectiveness and achieving institutional efficiency. The Country office is the East Africa Hub and key for operational support of key cross cutting disciplines facilitating donor consultation and dialogue. Under the guidance and direct supervision of the Country Director, the Associate Administrative Officer provides leadership in the execution of administrative support services for the IFAD Country office ensuring their effectiveness and efficiency. Type of Assignment Place: Assignment with family
Duties and Responsibilities:
-Under the guidance and supervision of the Country Director, the UN Volunteer will undertake the following tasks:A. Ensures proper common services organization focusing on achievement of the following results:
-Establish efficient and effective network system with UNDP and FAO relevant organizational units managing and coordinating activities and services;
-Proper planning and tracking of common services budget and of contributions to the common services account;
-Close collaboration with the Country UNDSS to ensure security of staff and premises, in particular, supports the implementation of MOSS/MORSS compliance, to ensure safe working conditions through adherence to security management also in the field;

B.Efficient administrative support and proper maintenance of Country Office, focusing on achievement of the following results:
-Execution of the activities in relation to the work plan;
-Maintenance of administrative control records such as commitments and expenditures;
-Supervision of support services from FAO and/or UNDP;
-Assist with the preparation of the annual budget and closing of accounts;
-Enabling protocol matters, registration of staff, coordination with local authority on space and other administrative matters. Ensure supporting documentation on shipments and customs clearance, tax exonerations;
-Proper management of office assets and facilities;
-Timely preparation and submission of periodic inventory reports;
-Coordination of the provision of reliable country office stationery and supplies for a proper organizational communication;

C.Ensure efficient supervision of transportation services on achievement of the following results:
-Coordination and supervision of driver ensuring proper management of driver's schedule, efficient service, and calculation of overtime. Supervision of regular vehicle maintenance and insurance;
-Checking and certifying of vehicle daily log and gas consumption, update and maintenance of vehicle history report;
-Prompt reporting and investigation of cases of vehicle accidents, damage, loss or theft of items; update and maintenance of vehicle history report;

D.Ensures provision of efficient procurement support focusing on achievement of the following results:
-Processing of request of personal action for temporary human resources in line with FAO and/or UNDP policies and procedures, providing terms of reference, committing documents and ensure provision of contract;
-Processing organization of procurement requirements including preparation of required committing documents, receipts and payments;
-Compliance with corporate rules and regulations of the organization and UNDP/FAO, participating in the selection and evaluation of vendors, quality management and performance measurement;
-Oversight of procurement processes and logistical services in accordance with UNDP/FAO and IFAD rules and regulations, as applicable;

E.Office Management (front-desk services) focusing on achievement of the following results:
-Manage and input in the automated electronic systems related to the provision of administrative services (e.g: PeopleSoft, Lotus etc.); recommend improvements, updates and/or changes;
-Preparation of memos, letter and administrative information notes ensuring relevant IFAD Manual(s) sections and UNON's policies were consulted;
-Monitoring of all visitors to the office; assistance to visitors by providing briefing, directions and accurate information;
-Management and planning of the front desk and office coverage;
-Coordinate meeting and workshop requirements;
-Provision of reliable registry and archiving services;
Furthermore, UN Volunteers are encouraged to:
-Strengthen their knowledge and understanding of the concept of volunteerism by reading relevant UNV and external publications and take active part in UNV activities (for instance in events that mark IVD);
-Be acquainted with and build on traditional and/or local forms of volunteerism in the host country;
-Reflect on the type and quality of voluntary action that they are undertaking, including participation in ongoing reflection activities;
-Contribute articles/write-ups on field experiences and submit them for UNV publications/websites, newsletters, press releases, etc.;
-Assist with the UNV Buddy Programme for newly-arrived UN Volunteers;
-Promote or advise local groups in the use of online volunteering, or encourage relevant local individuals and organizations to use the UNV Online Volunteering service whenever technically possible.

Results/Expected Output:
-The key results have an impact on the efficiency of the unit. Accurate analysis and presentation of information, thoroughly researched and fully documented work strengthens the capacity of the office and facilitates subsequent action by the Office country director. Initiative is decisive for the achievements of the results and targets;
-Technical analysis of information and data, including database management, creating the foundation for decision-making and quality of services for office;
-Support to the country office's reputation for capacity building of relations within the UN community
-A final statement of achievements towards volunteerism for development during the assignment, such as reporting on the number of volunteers mobilized, activities participated in and capacities developed.

Competencies:
-Client-oriented service provider, empathetic and innovative who cultivates an environment of trust, collaboration and motivation with partners.
-Planner and organizer: Prioritizes activities, respects deadlines and handles urgent requests in order to enable staff to carry out the organizational mandate. Sense of responsibility, commitment, discretion.
-Team worker builder: establishes good working relations of openness and trust, supports and cares for others and understands team purposes. Ability to work independently under minimum supervision. Team spirit, courtesy and tact, initiative, motivation to learn.
-Negotiator and communicator: Effective communicator who portrays competence, professional rigour and discretion; problem solving attitude, clarifies situations by exploring others' needs.
-Building relations and networking: Excellent partnership and public relations skills.; proven ability to effectively manage relationships both internal and external; excellent interpersonal skills and ability to establish and maintain effective working relationships in a multi-culture, multi-ethnic environment with sensitivity and respect for diversity .
-Model of Integrity, Trustworthy and Confident: Models codes of conduct and ethical principals, interacting in ways that engender trust and confidence in one's intentions and those of the organization.
-Required Skills and Experience
Education
-University Degree in business or public administration, social studies, humanities, international relations or any related field.,Technical Requirements
-Ability to set out a coherent argument in presentations and group interactions and capacity to communicate fluently with different counterparts to build networks.
-Understanding of main processes and methods and best practice in relation to the duties
-Ability to use effectively Microsoft Office basic software packages (Word, Excel, Outlook and PowerPoint and Internet applications and information technology software as applicable to the duties assigned
-Writes clearly, succinctly and convincingly listens and communicates effectively to engage others.

Language requirements
Full command of English is essential; Working knowledge of other IFAD official languages Arabic, French and/or Spanish is an asset

Experience:
At least two years' relevant experience in administration or programme support service. Qualifying work experience in budget and accounting analysis would be an asset.

UNDP is committed to achieving workforce diversity in terms of gender, nationality and culture. Individuals from minority groups, indigenous groups and persons with disabilities are equally encouraged to apply. All applications will be treated with the strictest confidence.
-----------------------------------

Education Program Manager, 
Location:Dar es Salaam, Tanzania
The International Rescue Committee (IRC) responds to the world's worst humanitarian crises and helps people to survive and rebuild their lives. Founded in 1933 at the request of Albert Einstein, the IRC offers lifesaving care and life-changing assistance to refugees forced to flee from war or disaster. At work today in over 40 countries and 22 U.S. cities, we restore safety, dignity and hope to millions who are uprooted and struggling to endure. The IRC leads the way from harm to home. IRC Tanzania is present in the Kigoma Region, Northwestern Tanzania, providing services in Nyarugusu refugee camp in Kasulu District and at a transit centre in Kigoma town. Approximately 70,000 refugees, the vast majority from Democratic Republic of Congo (DRC) receive protection and basic assistance in the areas of Child and Youth Protection and Development, Community based rehabilitation for persons with disabilities and special needs, and Gender based violence / Women's protection and empowerment (WPE).
Scope of work:
The Education Manager reports to the CYPD Coordinator based in Kasulu. S/He will manage the day-to-day activities of the education program in Nyarugusu camp and alternative learning programming at the Refugee transit center in Kigoma, working closely with education program national staff. Technical support is provided by the CYPD Coordinator and the Child Protection, Youth & Livelihoods and Education Technical Advisors. S/he will also work closely with the Grants Manager and M&E Coordinator on program funding, donor compliance and M&E. This role will be responsible for the overall development and implementation of quality education programs, in compliance with donor requirements and current programming strategy. S/he will ensure that the objectives of the program are met in a timely manner and are being monitored and evaluated effectively; ensure that education staff receive appropriate mentorship and professional development and that a positive team spirit is fostered encouraging innovative and quality programming. Additionally, the education manager will collaborate with other sectors to ensure that protection and wellbeing of children is consistently mainstreamed across IRC sectors.

Key Responsibilities:
-Coordinate education activities in the camp and transit center according to the work plan;
-Work with national staff to report activities and outcomes to CYPD Coordinator regularly;
-Support national staff in leading teacher professional development trainings and activities;
-Oversee tutoring program and extracurricular clubs in collaboration with CP and GBV sectors;
-Work with data manager to ensure inspectors and other education personnel are properly trained in data collection, analysis, and use;
-Monitor school rehabilitation projects;
-Work with all other sectors to ensure safe reporting mechanisms and programming for girls at risk of sexual abuse and exploitation;
-Identify, develop and implement programmatic linkages between GBV/WPE, Child Protection and other IRC sectors
-In close collaboration with the M&E Coordinator, address gaps in data collection and develop tools and systems to ensure quality and consistent program monitoring and reporting;
-Ensure timely submission of all program reports and quality of program data, in compliance with donor requirements
-Conduct regular meetings with project staff and community members to assess progress toward objectives, discuss issues and assist in finding solutions to challenges identified.

Requirements
-Bachelors degree, masters degree preferred (Education; International Relations/ Development, or related field);
-2-3 years of education technical experience in humanitarian settings;
-Experience leading teacher trainings and professional development programs;
-International experience with preference in Africa
-Demonstrated knowledge of gender-sensitive education programming;
-Experience from working in refugee camp settings a plus;
-People management skills: the ability to effectively lead and supervise staff;
-Interpersonal and communication skills;
-Fluency in English; ability to communicate in Swahili or French a plus;
-Organizational skills: the ability to be flexible and work well under pressure in a fast-paced and detail-oriented team environment;
-Experience working in difficult locations; ability to be resourceful and flexible in a limited resource environment.
-Computer skills: knowledge of MS Word, Excel, power point and email/internet software.

Work Environment:
The position is based in the rural town of Kasulu in Tanzania's northwest Kigoma region, and requires regular monitoring visits to the refugee camp of Nyarugusu. It is unaccompanied position with modest shared housing facility. General security situation in Tanzania is calm.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL APANDA MTI KUADHIMISHA SIKU YA KUPANDA MITI KITAIFA

$
0
0
1(13)Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Bilal, akipanda mti wa Mwembe nje ya Ofisi yake mpya ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya kupanda miti. Picha na OMR
Viewing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>