Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

Ulijua kwamba Baba yake Beyonce kaoa huyu mwanamke mwingine?

$
0
0
Beyonce na Solange wamepatiwa mama mpya na baba yao ambaye pia ni mkuu wa Music Entertainment world na pia alikuwa manager wa kundi la Destiny Child.Matthew Knowles ambaye ndiyo baba yake Beyonce na Solange kwa mama Tina Knowles, ambao wote waliachana na kumalizana mambo ya talaka mwaka 2009.
Hivi karibuni, Matthew Knowles alifunga ndoa na model wa zamani Gena Charmaine ambaye alikuwa mchumba wake kwa muda wa mwaka mmoja na nusu, hii inamaanisha kwamba Beyonce na Solange wana haki zote za kumuita Gena mama kwa sababu ameolewa na baba yao ambae ni Matthew mwenye umri wa miaka 61, Gena ana 48 ambapo harusi hiyo inasemekana haikuhudhuriwa na mabinti hao wa mzee Matthew.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>