Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

Taarifa ya Polisi ya ajali na makosa yaliyoripotiwa mkoani Katavi

$
0
0
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
JESHI LA POLISI TANZANIA.



PRESS RELEASE.                                                                              05.07.2013

TAARIFA YA MAKOSA MAKUBWA YALIYOLIPOTIWA MKOANI KATAVI KUANZIA TAREHE 04.07.2013HADI TAREHE 05.07.2013.


01: BASI  LAACHA  NJIA NA KUTUMBUKIA MTONI NA KUSABABISHA VIFO NA MAJERUHI:

Mnamo tarehe 05/07/2013 majira ya saa 00:05hrs huko sitalike wilaya ya mlele mkoa wa katavi gari no:t.909 azt nissan diesel mali ya kampuni ya sumry  likiendeshwa na dereva Stephano s/o Chimane @ Ntungu liliacha njia na kutumbukia katika mto stalike @ mto iku na kusababisha vifo kwa watu 9  akiwemo 1.Isabela d/o Mwasunga ,18yrs, Mnyakyusa, mwanafunzi wa Kenswa sekondari,  2.Boniface s/o mwasunga,14yrs,mwanafunzi wa Ikondamoyo,3.frida d/o nikutusya, 44yrs,mkazi wa mpanda hoteli, 4. Selevesta s/o Sinkala,62yrs,Mpimbwe,mkulima wa Sibwesa, 5.Dominika d/o Evarist, 19yrs, mkonongo,mwanafunzi wa Inyonga ,6.Pendo d/o ?,Mfanyakazi wa Maridadi bar  7.Sifoliona d/o Martine,miezi 4, mtoto,mkazi wa Majengo na wengine wawili bado hawajafahamika kwa majina na  majeruhi kwa watu  50  1. Zephania s/o Ernest, 26yrs, mzinza,  mwalimu wa Geita, 2.Stanslaus s/o Malimba, 53yrs, Mkonongo, mkulima wa,inyonga, 3.Helieth d/o Malekela, 18yrs, mbena, mwanafunzi wa makanyagio,4.Mwita s/o Bita,43yrs Mjita,mwalimu wa Nsimbo,5.Lidia d/o Atenye,39yrs,mfipa ,mkulima wa Ikola,6.Amina d/o Juma,33yrs,mbende,mkulima wa makanyagio,7G.5296 pc Abel wa polisi wilaya Mpanda,8.Abeli s/o 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>