Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Utukutu wa mtoto Range wamrudisha mzazi darasani

Range (kushoto) akifanya mazoezi ya uashi katika banda la Veta huku baba yake (Jackson) akimwangalia. Range Jackson anaonekana kwenye banda la maonyesho la Mamlaka ya Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU 40 HAWAJULIKANI WALIPO BAADA YA AJALI YA TRENI YA MAFUTA KUSHIKA MOTO

Maafisa wa usalama nchini Canada wamesema shughuli za kuwatafuta watu 40 ambao hawajulikani waliko, baada ya ajali treni ya mafuta kushika moto mwishoni mwa wiki iliyopita, imetatizika kutokana na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu wa Zimbabwe Tsvangirai azindua rasmi kampeni yake kuelekea...

 Waziri Mkuu wa Zimbabwe Morgan Tsvangirai amezindua kampeni yake siku ya Jumapili, huku akilalamika kuwa hakuna mageuzi yaliyofanyika kuhakikisha uchaguzi wa Julai 31 unakuwa huru na wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafuasi wa Morsi wauawa nchini Misri

Takriban watu 15 wameuawa mjini Cairo kufuatia ghasia nje ya kambi ya kijeshi ambapo wafuasi wa aliyekuwa rais wa taifa hilo Mohammed Morsi wanaamini kiongozi huyo anazuiliwa.Haya yanajiri huku ghasia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDAMANO YAENDELEA MISRI

MAANDAMAANO ya makundi hasimu yalifanyika katika mji mkuu wa Misri, Cairo na katika maeneo mengine kote nchini humo  Jumapili, pale wafuasi na wapinzani wa Rais aliyeng’olewa madarakani Mohammed Morsi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC Ilala ahimizwa wawekezaji katika soka

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond MushiMKUU wa wilaya ya Ilala, Raymond Mushi amewasisitiza wadau mbali mbali kuwekeza katika mpira wa miguu kwani hutoa ajira nyingi kwa vijana na kuwafanya wajipatie...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya Polisi ya ajali na makosa yaliyoripotiwa mkoani Katavi

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIJESHI LA POLISI TANZANIA.PRESS RELEASE.                                                                              05.07.2013TAARIFA YA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK MAGUFULI AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA DARAJA LA MBUTU IGUNGA, TABORA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAPA FRANCIS AWAKUMBUKA WAHAMIAJI ITALIA

Papa Francis amesherekea maisha ya mamia ya wahamiaji wa kiafrika waliokufa maji wakijaribu kufika baya Ulaya. Akiwa ziarani katika kisiwa cha Lampedusa Papa aliabiri mtumbwi mdogo na kuweka shada la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAO MAKUU YA MKOA MPYA WA SONGWE KUBAKI MKWAJUNI

 Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na Usalama Mkoa wa Mbeya, Abbasi Kandoro ambaye pia ndiye Mkuu wa Mkoa Mbeya akiongea na vyombo vya habari ofisini kwake.Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEMBE AFUNGUA MKUTANO WA TUME YA USHIRIKIANO KATI YA TANZANIA NA INDIA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akifungua rasmi Mkutano wa Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano (Joint Permanent Commission-JPC) kati ya Tanzania na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU PINDA AMEAGIZA MKURUGENZI NA MKUU WA WILAYA WANGING'OMBE KUHAMIA...

 Askofu wa Jimbo la Njombe Alfred Maluma akieleza malengo ya Kuusaidia Mkoa wa Njombe. Mama Tunu Pinda naye apongeza Jitihada za Wakazi wa Wilaya ya Wanging'ombe. Mratibu wa Ujenzi wa Chuo cha Kilimo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu Mbeya;

UGONJWA wa kipindupindu, umeingia katika wilaya ya Kyela na kuua watu wawili na 39 wakiwa wamelazwa.Taarifa zinasema ugonjwa huo umeibuka wilayani humo wiki iliyopita ukisadikika kuanzia katika Kijiji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SABABU TANO ZILIZOWAFANYA CHADEMA WAGOME KUSHIRIKI "KONGAMANO LA AMANI"...

 Ndugu waandishi wa habari,Tumewaiteni hapa mchana huu kwa dharula, kutokana na kujitokeza kwa jambo moja muhimu sana katika mustakabali wa chama chetu na taifa kwa ujumla. Jambo lenyewe ni hili:Kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya TANAPA kuhusu Moto uliozuka katika Mlima Kilimanjaro

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KANDORO AKANA KUPOKEA RUSHWA KUUGAWA MKOA WA MBEYA

MKUU wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro ameonya baadhi ya watu wanaomtuhumu kupokea rushwa katika kupitisha maamuzi ya kuugawa mkoa wa Mbeya hali iliyopelekea kikao cha ushauri cha mkoa(RCC) kupitisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA DODOMA MJINI AWATEMBELEA WAHANGA WAMLIPUKO WA PETROL KATIKA...

Mbunge wa Dodoma mjini  Mh Dr David Mallole, alipoenda kuwatembelea wahanga wa mlipuko wa Petrol katika hospital ya mkoa wa Dodoma,General Hospital na kutoa pole kwa wagonjwa waliopatwa na janga hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA UDAKU LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAREHE 09.07.2013

..NA MILLADAYO

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>