
M alishindwa kujibu maswali mengi yaliyotaka kujua kilichotokea kwa Ngwair na akaishia tu kukanusha kuhusu ishu za dawa za kulevya kwa kusema sio kweli kwa sababu siku zote dawa za kulevya huwa hazichukuliwi South zikaletwa Tanzania bali huchukuliwa Tanzania na kupelekwa South Afrika.
Akiwa bado anajisikia uchungu kwa kile kilichotokea kwa Ngwea, M2theP alishindwa kueleza kuanzia mwanzo mpaka mwisho lakini akaahidi kukisema chote siku chache zijazo mbele ya Waandishi wa habari.