Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

M2 THE P ASHINDWA KUONGEA YALIYOWAPATA MPAKA NGWEAR AKAFARIKI AISHIA KUSEMA HAYA

Kwa mara ya kwanza toka kitokee kifo cha rapper Albert Mangweha (Ngwair) rafiki yake wa karibu ambae ni M2TheP waliekua pamoja Afrika Kusini mpaka umauti umemkuta Ngwair, amefanya interview kwa mara ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJUMBE TOKA KWA RAIS OBAMA KWENDA KWA MANDELA KATIKA SIKU YAKE YA KUZALIWA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Angalia Picha ya Star Aliye Chaguliwa Kuigiza Kama 2 Pac Kwenye Filamu Ya...

Wakati tunasubiri filamu ya maisha ya 2 Pac, Huyu star amechaguliwa kuigiza kama 2 Pac kwenye filamu ya maisha ya mwanzilishi wa Death Row Records Suge Knight. Bonyeza Read More Kufahamu Zaidi.Kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wazazi watakiwa kuwashirikisha watoto wa kike kupanga kiwango cha mahari

 WAZAZI na walezi wametakiwa kuacha tabia ya kupanga mahari ya watoto wao bila kumshirikisha binti husika na wakome kuchukua mahali  hiyo inayotolewa kwa ajili ya msichana kuolewa kwani wanatenda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA MADHARA YA TATOO KWENYE MWILI

Hii ni kwa wale wote wapenda kujichora miili ya kwa inayojulikana kama tattoo

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Angalia Picha za Rekodi za Maajabu

T Angalia Picha zifuatazo zikikonesha washindi wa mashindano na wavumbuzi mbali mbali wa maajabu duniani wakipata jaza zao baada ya kutunukiwa na Guinness.he Discovery Science Center in Santa Ana,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shule ya "Ukahaba" yafunguliwa Uhispania

Huko nchini Hispania imefunguliwa shule ya kutoa taaluma ya ukahaba ambapo mwanafunzi atatakiwa atoe Kiasi Cha Euro 100 tu kuanza mafunzo ambapo wamehakikishiwa upatikanaji wa kazi mara tu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Angalia Picha mwanamke aliyepata ajali na kichwa kunasa katika kioo cha gari,...

Akiwa kanasaWakimtoa Dereva kwanzaWakianza kumuokoa yeyeHatimaye ameokolewaMwanamke mmoja raia wa China amenusurika kifo baada ya gari aliliokuwa amepanda kupata ajali mbaya iliyomsababishia yeye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aliyekuwa jambazi na muuaji apewa cheo cha Uzee wa Kanisa

Ule usemi usemao, "Shetani akizeeka.. unaweza ukatumiwa hapa, lakini hili limekuwa tofauti kwani mtuhumiwa huyo hayjazeeka na kuwa mzee hata hivyo Ataa Ayi, ambaye ni mfungwa katika gereza moja huko...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUYU NDIYE KIKONGWE KABISA ANAYEISHI DUNIANI ALIYEZALIWA KARNE YA 19.

Jiroemon Kimura alipokuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa hivi karibuni.Japo bado kuna wanawake 21, lakini katika umri wa miaka 116 ni mtu wa mwisho aliye hai.Baada ya kifo cha James Emmanuel 'Doc'...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Somalia yazidi kukabiliwa na changamoto sugu ya ufisadi ambapo zaidi ya...

  Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wamesema licha ya serikali ya Somalia kupata uongozi mpya bado ufisadi nchini humo unaendelea  kuwa  tatizo kubwa.Wataalamu hao wamesema zaidi ya asilimia 80 ya fedha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Koo zinazopigana Kenya zatoa wito wa kusimamisha vita kwa ajili ya Ramadhani

Kiongozi wa jamii ya Gare Sultan Yussuf Ibrahim (kulia) na mwenzake ambaye hakutambulika wa Degodia wakipeana mikono tarehe 4 Julai kama ishara ya kumaliza uadui baina ya jamii zao mbili. [Na Bosire...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIKI NDO KICHAPO WANACHOPEWA WAASI WA M23 NA JESHI LA KONGO ( FARDC )

 Goma -DRC. WAKATI mapigano yakizidi kuwa makali kati ya wanajeshi wa DR Congo (FARDC) na kundi la waasi wa M23, wanajeshi wa DRC wako hatarani kushitakiwa kwa tuhuma za kuwatesa waasi na kunajisi...

View Article


ANGALIA VIDEO RAIS KAGAME ALIPOMSEMA RAIS KIKWETE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFUASI WA MURSI WAINGIA MITAANI TENA

Ghasia kati ya wafuasi  na wapinzani wa rais aliyeondolewa madarakani Mohammed Mursi zimesababisha mauaji ya watu watatu katika mji wa Mansura nchini Misri. Kulingana na taarifa kutoka idara ya afya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASSOCIATION OF AFRICAN CENTRAL BANKS (AACB) EASTERN AFRICA SUB-REGION 13TH...

 Profesa na gavana kutoka uganda akitoa shukurani kwa niaba ya wenzake wakati wakijitambulisha mbele ya wanahabari wakiwa kwenye mwanzo wa mkutano wao wa siku 3 ulimalizika jana jijini hapa Pichani ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSWAADA WA NDOA UMEWASILISHWA BUNGENI KENYA

Mswaada unaolenga kuoanisha sheria za ndoa nchini Kenya umewasilishwa bungeni.Baadhi ya mabadiliko yaliopendekezwa katika mswada huo ni pamoja na kuhalalisha ndoa za wake wengi mbali na kuziimarisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali kutambua raia wake kupitia taarifa za DNA.

 Mkuu wa kitengo cha Sayansi ya Makosa ya Jinai Biologia na Vinasaba kutoka Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali(GCLA) Bi. Gloria Machuve(kulia) akizungumza na vyombo vya habari kuhusu matumizi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTAFARUKU WA VIMINI HOSPITALI TEULE DODOMA

Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma Dk. Ezekiel Mpuya amesema tangazo lililotolewa hospitalini hapo la kuwataka watu kuvaa mavazi ya heshima wanapoingia hospitalini hapo lilikuwa likihusu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FAIDA ZITOKANAZO NA GESI ASILIA NCHINI

Kamishina wa Nishati na Masuala ya Petroli toka Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Hosea Mbise akizungumza na waandishi wa habari kuhusu faida zitokanazo na gesi asilia, kushoto ni  Mhandisi Seleman...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>