Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

ANGALIA PICHA ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA MKOANI MOROGORO LEO

$
0
0
 Kikosi cha matarumbeta kikiongoza gwaride maalum lililoandaliwa kwa ajili ya siku ya mashujaa mkoani Morogoro leo. Leo ni siku ya maadhimisho ya mashujaa  nchini  na kitaifa yamefanyika katika mkoa wa kagera mgeni rasmi alikuwa ni Mh. Rais Wa Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania, Jakaya Kikwete. 
katika mkoa wa Morogoro maadhimisho hayo yamefanyika katika mnara wa mashujaa na mgeni rasmi katika maadhimisho hayo alikuwa mkuu wa Mkoa wa Morogoro Joel Bendera 

 Kikosi cha jeshi la wananchi wakiwasili eneo la Mnara wa mashujaa tayari kwa maadhimisho hayo yaliofanyika kitaifa mkoani kagera leo
 Jeshi la polisi





Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>