Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMAA YA MALI,MWANAMKE NUSURA AUE MME NA WATOTO ILI ABAKIE NA MALI NYINGI

"Mke wa ndoa inadaiwa ilipanga na majambazi wamuue mumewe ili aweze kumiliki utajiri alionao"Arusha. Mfanyabiashara wa madini ya Tanzanite mkazi wa Moshono, anadaiwa kutaka kuuawawa na mke wake wa ndoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UJUMBE MZITO TOKA KWA UWOYA KWENDA KWA JOHARI

Katika pita pita zetu leo hii tuliweza kupata ujumbe mmoja mzito na wa kutia moyo toka kwa mwanadada Irene Uwoya aliomwandikia mkongwe wa bongo movies nchini kwa upande wa kinadada Blandina Chagula...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JOKATE, MUSSA KIPANYA WAZUA JAMBO

 Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ katika pozi na Mtangazaji Mussa.MWANAMITINDO na mtangazaji maarufu Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Mtangazaji Mussa wa runinga wamezua jambo kufuatia picha zinazodhihirisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIWANI CCM AMTWANGA MKEWE

Mke wa Diwani, Imelda Chambo akiwa kulazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro.Kwa mujibu wa mashuhuda, ugomvi huo ulichukua nafasi Alhamisi iliyopita saa 6 usiku nyumbani kwa wanandoa hao, Kihonda....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA KUTOKA MOROGORO

Soko Kuu la Morogoro linavyoonekena

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIO KUFUGA TU HATA KWENYE MICHEZO WAMO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

kazi ni muhimu kwa maendeleo

Wakazi wa mji wa Morogoro wakiwa wamebeba mazoa kuyapeleka sokoni  mkoani morogoro

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABANGO YA TIBA.NANI MKWELI?

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAIFA STARS YATUA UGANDA KUIVAA THE CRANES

  Taifa Stars imewasili salama hapa Kampala tayari kwa mechi ya marudiano ya mchujo dhidi ya Uganda (The Cranes) kuwaniatiketi ya kucheza Fainali za Tatu za Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO KUSINI AHAMASISHA SHUGULI ZA MAENDELEI JIMBONI KWAKE

Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mh Innocent Kalogeris Akiwa pamoja na wananchi wa jimbo hilo wakati akihamasisha wananchi hao wakati wa ufunguzi wa barabara ya kuunganisha kijiji cha mlalo na tawa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Papa apinga madawa ya kulevya

Baba mtakatifu akiwa katika ziara yake nchini BrazilKiongozi wa kanisa katoliki, Baba mtakatifu Francis, amekosoa vikali mipango ya kutaka kuhalalisha madawa ya kulevya Amerika ya Kusini.Aliyasema hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYUMBA YAUNGUA MOTO NA KUTEKETEZA MAGARI SITA ENEO LA MAJUMBA SITA UWANJA WA...

Hivi ndivyo mabaki ya nyumba hiyo ambaye mmiliki wake hakujulikana mara moja inavyo onekanaHaya Ndiyo Magari yaliyo teketea kwa moto, ambapo eneo ambalo nyumba hiyo iliunguwa ilikuwa karibu na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LADY JAY DEE AWATAADHARISHA MASHABIKI WAKE KUWA MAKINI KWA ACCOUNT FAKE...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IRINGA WAADHIMISHA SIKU YA MASHUJAA

 Leo ni siku ya maadhimisho ya mashujaa  nchini Tanzania na kitaifa yamefanyika katika mkoa wa kagera,ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Mh. RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, JAKAYA KIKWETE.Katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SOMA ALICHOANDIKA MNYIKA LEO KUHUSI KODI YA SIMU

Leo tarehe 25 Julai 2013 chombo kimoja cha habari kimemnukuu Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti Andrew Chenge (Mb) akisema kwamba uamuzi kuhusu kodi/tozo ya kadi/laini za simu haukuwa wa kubahatisha....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIKOSI VYA JESHI VILIVYOSHIRIKI SHEREHE YA MASHUJAA MOROGORO LEO

Kikosi cha jeshi la wananchi walioshiriki kwenye maadhimisho ya siku ya mashujaa mkoani morogoro leoKikosi cha matarumbeta kilichoongoza maadhimisho hayo leo mkoani MorogoroKikosi Kutoka jeshi la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Housigeli asimulia jinsi alivyoutoa uhai wa mtoto wa jirani

Msichana wa kazi  aitwaye Enjoy Cleofasi (19), hivi karibuni alipandisha mapepo na kumtwanga mwandishi wa habari aliyekuwa akimhoji kuhusiana na tukio la mauaji lililotokea mjini DodomaTukio hilo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA MKOANI MOROGORO LEO

 Kikosi cha matarumbeta kikiongoza gwaride maalum lililoandaliwa kwa ajili ya siku ya mashujaa mkoani Morogoro leo. Leo ni siku ya maadhimisho ya mashujaa  nchini  na kitaifa yamefanyika katika mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE ANYONGWA SHINYANGA BAADA YA MUMEWE KUMTUHUMU KUTOKUWA MWAMINIFU

Na Kadama Malunde, Shinyanga Mwanamke mmoja Happiness Luhende mwenye umri wa miaka 28 mkazi wa Lubaga katika manispaa ya Shinyanga, ameuawa kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kunyongwa na mume wake kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS JAKAYA KIKWETE AONGOZA MAADHIMISHO KUMBUKUMBU YA MASHUJAA WALIOPIGANA...

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka Mkuki katika Mnara wa Kumbukumbu ya Mashujaa wa Vita vya Kagera uliopo...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>