Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

ANGALIA PICHA ZA MWANAUME MLEMAVU ANAYE FANYA KILA MBINU ILI AWE MWANAMKE

$
0
0
 Piyah Martell (19), ni raia wa Carifonia nchini Marekani amezaliwa akiwa mwanaume mwenye ulemavu, uliosababishwa na kuwa na kasoro katika uti wake wa mgongo na miguu.
Mwanaume huyo anatamani na anapenda kuwa mwanamke aliwaambia wazazi wake kuwa anapenda kuwa wa kike.
Piyah kwa kusisitiza hilo pindi alipotimiza miaka 15 alianza kununua nguo za kike na kuzivaa na sasa anafanyiwa mpango wa kuanza tiba ya kuwekewa homoni za kike ili awe mwanamke kamili






Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>