Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

KUPIMWA UKIMWI NI LAZIMA NCHINI ZAMBIA

$
0
0
Rais wa Zambia, Edga Lungu ameamuru kuwa kila raia nchini humo ni lazima apimwe ugonjwa wa ukimwi ili kuliweka taifa katika uwazi kuhusu takwimu za waathirika .
Rais wa Zambia, Edgar Lungu
Zambia inatajwa kuwa ni kati ya nchi zenye viwango vya juu zaidi vya maambukizi ya UKIMWI kusini mwa bara la Afrika kwa asilimia 11.6, huku watu walio na umri wa kati ya miaka 15 na 49, wakiwa wanaishi na virusi vinavyosababisha UKIMWI.
Rais Lungu amesema kuwa kupimwa na kupewa ushauri na matibabu sio kitu cha kujitolea, katika jitihada za kukabiliana na ugonjwa wa ukimwi nchimi humo.
#HIV Testing, Counseling and Treatment is now COMPULSORY in #Zambia! #EndAIDS
Lungu alitoa tangazo hilo wakati wa uzinduzi na baraza la ukimwi kwenye mjini Lusaka,Bwana Lungu alisema kuwa suala hilo limezungumziwa na baraza la mawaziri lengo haswa likiwa ni kukomesha gonjwa hilo hatari.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>