Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

KATIBU WA CCM MKOA WA IRINGA AFARIKI DUNIA

$
0
0
Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa Bw. Emanuel Mteming'ombe. Bw. Mteming'ombe enzi za uhai wake.
KATIBU  wa  chama cha mapinduzi  (CCM) mkoa  wa  Iringa Bw Emanuel Mteming'ombe amefariki  dunia katika hospital  ya  mkoa  wa  Iringa.
Katibu   huyo  alikuwa amelazwa  katika Hospital  ya  mkoa  wa  Iringa kwa  zaidi  ya siku moja akisumbuliwa  kwa ugonjwa Athma na  leo amefariki  dunia.
Mwenyekiti  wa  CCM  mkoa wa  Iringa Jesca Msambatavangu  amethibitisha   juu ya taarifa  hiyo  na  kuwa  taratibu  za mazishi  zinafanywa .

Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>