Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

MWENYEKITI WA YANGA YUSUFU MANJI KUONGEA NA WAANDISHI WA HABARI LEO

$
0
0

Mwenyekiti wa Yanga, Yusufu Manji
''Kocha Brandts''

MWENYEKITI wa Yanga, Yusuph Manji ameitisha mkutano na wanahabari akitaka akuzungumzia pambano la jana dhidi ya Simba katika mchezo wa Nani Mtani Jembe huku kukiwa na taarifa kwamba kuna mambo mawili anayoweza kutoa maamuzi katika mkutano huo.
Moja ya linaloelezwa atalitangaza ni kumtimua kocha mkuu wa klabu hiyo Ernie Brandts au kubwaga manyanga kutokana na aibu aliyoipata jana uwanjani wakati Yanga ikilala kwa mabao 3-1 mbele ya Simba.
Credit: micharazomitupu.blogspot.com

Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>