Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SOMA RIPOTI YA KAMATI YA BUNGE KUHUSU MATATIZO YALIYOTOKANA NA OPERESHENI...

TAARIFA YA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA KUHUSU TATHMINI YA MATATIZO YALIYOTOKANA NA OPERESHENI TOKOMEZA_____________________1.0 UTANGULIZIMheshimiwa Spika, wakati Bunge...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA JINSI WAHUNI WALIVYOIBA VIFAA VYOTE KWENYE GARI YA MSANII NEY...

Msanii wa Hip Hop, Nay Wa Mitego usiku wa kuamkia jana ameibiwa vifaa vya gari lake aina ya Toyota Verossa lenye namba T 418 CGK vyenye thamani ya shilingi milioni 4 lililokuwa limeegeshwa nyumbani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA MAPOKEZI YA ZITTO ALIVYOTUA KIGOMA MUDA HUU

Mbunge wa Kigoma kaskani Mh Zitto Kabwe akisalimiana na wakazi wa Kigoma mara baada ya Kuwasili kigoma asubuhi ambapoa wakazi wa kigoma wamejitokeza kwa wingi kumpokea Mbunge wao Zitto Kabwe akiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALICHOKISEMA WATU MAARUFU KWENYE SOCIAL MEDIA BAADA TU YA MAWAZIRI KUVULIWA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZ: MHUNGAJI AUAWA KWA KUPIGWA RISASI HUKO RORYA.

MCHUNGAJI wa Kanisa la Apostolic lililoko mji mdogo wa Shirati wilayani Rorya, Mkoa wa Mara, ameuawa na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia jana. Hata hivyo, Kamanda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI WA YANGA YUSUFU MANJI KUONGEA NA WAANDISHI WA HABARI LEO

Mwenyekiti wa Yanga, Yusufu Manji''Kocha Brandts''MWENYEKITI wa Yanga, Yusuph Manji ameitisha mkutano na wanahabari akitaka akuzungumzia pambano la jana dhidi ya Simba katika mchezo wa Nani Mtani Jembe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA ATANGAZA VITA NA WALAFI SERIKALINI, 866 WASHUGHULIKIWA..

Mizengo Pinda.Watumishi 866 wa serikali wamechukuliwa hatua za kinidhamu na kisheria kwa ubadhirifu wa fedha katika halmashauri mbalimbali nchini.Kauli hiyo ilitolewa jana bungeni na Waziri Mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOTUBA YA MH ZITTO KABWE – KIGOMA – 21 DESEMBA 2013

  Sehemu ya Vijana wakiandaman kwa furaha muda mfupi baada ya kumpokea mbunge wa kigoma kaskazini-Chadema Zitto Kabwe muda mfupi baada ya kuwasili kigoma leo  Baaadhi ya Madreva bodaboda mkoani kigoma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SPIKA WA BUNGE APOKEA MAGARI MAWILI YA KUBEBEA WAGONJWA

 Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akikata utepe kuzindua matumizi ya magari mawili ya kubebea wagonjwa yaliyonunulia na Ofisi ya Bunge. Pembeni ni Mjumbe wa Tume ya Utumishi ya Bunge ambaye pia ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAULI YA MANJI BAADA YA KIPIGO CHA JANA TOKA KWA SIMBA CHA BAO 3-1

Mwenyekiti wa Yanga Bw.Yusuf Manji akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu, kushoto ni makamu mwenyekiti Clement SangaMwenyekiti wa klabu ya Young Africans Bw. Yusuf Manji ameaomba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MH. LOWASSA ASHIRIKI TAMASHA LA WAENDESHA BODABODA JIJINI DAR LEO

 Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwahutubia Vijana waliojiajiri kwa kazi ya kuendesha pikipiki za kupakia abiria maarufu kama Bodaboda wa Mkoa wa Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIDHIWANI KIKWETE ALIUMBUA GAZETI LAA TANZANIA DAIMA KWA KUANDIKA HABARI ZA...

Nimesikitishwa sana na jinsi Gazeti la kaka yangu Mbowe (Tanzania Daima) la leo Disemba 20, 2013 lilivyotumia jina langu kutafuta mapato na labda kwa nia nyingine.Gazeti hilo katika ukurasa wake wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWIGULU NCHEMBA AMWONYA SPIKA ANNE MAKINDA

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mwigulu Nchemba, amemwonya Spika wa Bunge, Anne Makinda kuacha kutumia vibaya fedha za Serikali kwa kuwapa posho wabunge kwa ajili ya kwenda kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNYAMA ZAIDI WABAINIKA OPERESHENI TOKOMEZA

Unyama zaidi umebainika katika taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira kuhusu Operesheni Tokomeza Ujangili baada ya kubainika kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ulanga mkoani...

View Article

USHABIKI WA MPIRA KAZI SANA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI

WILAYA YA MOMBA – MAUAJI.·         KUFUATIA TUKIO LA MAUAJI LILITOKEA MNAMO TAREHE 19.12.2013 MAJIRA YA SAA 14:00HRS HUKO KATIKA ENEO LA TAZARA -TUNDUMA   KATA NA TARAFA YA TUNDUMA   WILAYA YA  MOMBA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI IRINGA KUWACHUKULIA HATUA KALI WAFANYABISHARA WATAKAO PANDISHA BEI...

RC Iringa Dr Christine  IshengomaNA FRANCIS GODWIN BLOGMkuu wa mkoa  wa  Iringa  Dr Christine  Ishengoma ametuma  salama  kali za  Krismas na Mwaka  mpya kwa   wafanyabiashara  watakaopandisha bei  ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALEX MSAMA:SOLOMON MAHLANGU KUTOKA AFRIKA KUSINI KUTUA KESHO

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa tamasha la Krismas Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam wakati alipoelezea maandalizi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha na habari kamili kuhusu vifo vya watu 10 vilivyosababishwa na na ajali...

Mwonekano wa dalaldala kwa nyuma. Watu kumi wamefariki dunia, wanane kati yao papo hapo na wengine 16 kujeruhiwa katika ajali mbili tofauti zilizohusisha mabasi ya kampuni ya Bunda na Ally, mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIGI KUU ENGLAND TOTTENHAM WAIBUKIA KWA SOUTHAMPTON.ADEBAYOR APIGA 2

Southampton 2 Tottenham 3: Detemined: Emmanuel Adebayor stares down some Southampton fans after putting Spurs levelGoal! Adebayor stretched to reach Soldado's cross and poked it homeDelight: Tim...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>