Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

YALIYOTOKEA BAADA YA ZITTO KABWE KUSHINDA KESI ZIDI YA CHADEMA

$
0
0
Baada ya kutolewa hukumu ya kesi ya Zitto Kabwe zidi ya CHADEMA kuna matukio mbali mbali ambayo yametokea.Matukio hayo yametokea baada ya mahakama kuu kuamuru chadema kurudisha shauri kuu la Zitto Kabwe kujadiliwa katika Baraza Kuu kama yeye alivyotaka. Wakili Albert Msando ameibuka kuwa shujaa leo na kuonyesha kuwa yeye ni zaidi kuliko wakili wa chadema Tindu Lissu.
ZITTO NA ALBERT MSANDO
 WAFUASI WA ZITTO
 Askari Wakituliza fujo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>