Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shukuru kwa kupewa afya nzuri, tazama ugonjwa wa ajabu unavyomtafuna mtu huyu...

Wakati mwingine binadamu huwa tunajisahau kumshukuru Mungu kwa afya nzuri aliyotupa bila kujua kuwa wapo watu duniani wanaoteseka mno. Mwanaume huyu wa nchini Indonesia ambaye mwili wake umefunikwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matatani kwa kumfananisha Rais na Kiazi

Rais Michael SataKiongozi mmoja wa upinzani nchini Zambia, amekamatwa na kufunguliwa mashitaka ya kumchafulia jina Rais wa nchi hiyo Michael Sata baada ya kumfananisha na ViaziFrank Bwalya anadaiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA YA UNYAMA...KIKONGWE ACHINJWA KAMA KUKU HUKO KAHAMA,,,,UCHAWI...

I Mwanamke mmoja Alifahamika kwa jina la Milembe Jengamalulu anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 50-55, mkazi wa Ulowa no 4 wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga umri wa miaka 50-55, amefariki dunia baada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUFURU: KLABU KUMNG’OA LIONEL MESSI KWA EURO 400 MILIONI

JEURI ya pesa. Ndicho unachoweza kusema baada ya klabu tajiri Ulaya, Paris Saint-Germain na Manchester City kudaiwa kuwa zipo tayari kumng'oa, Lionel Messi, kutoka Barcelona kwa gharama yoyote...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: MTU ALIYEKUWA MNENE NA MWENYE UZITO MKUBWA DUNIANI.......ni mnene sio...

Paul-Mason mwenye miaka53, kabla ya kupunguzwa unene kwa upasuaji maalum Hapo Juu...Paul-Mason, baada ya kufanyiwa upasuajiBaada ya kufanyiwa upasuaji huo alitakiwa kufanyiwa upasuaji wa kupunguza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAZOEZI YA YANGA TANGANYIKA PAKERS

KATIKA kuanza kwa programu mpya ya mazoezi kikosi cha Yanga siku ya jana kimewakosa baadhi ya nyota wa timu hiyo akiwemo Didier Kavumbagu, na Telela wakiwa wanasumbuliwa na magonjwa lakini  Athumani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOTOKEA BAADA YA ZITTO KABWE KUSHINDA KESI ZIDI YA CHADEMA

Baada ya kutolewa hukumu ya kesi ya Zitto Kabwe zidi ya CHADEMA kuna matukio mbali mbali ambayo yametokea.Matukio hayo yametokea baada ya mahakama kuu kuamuru chadema kurudisha shauri kuu la Zitto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA UCHUKUZI DR. MWAKYEMBE ATEMBELEA UWANJA WA NDEGE JIJINI DAR ES SALAAM

Mhe. Mwakyembe.KITENGO  Cha Usalama wa Taifa Nchini kinatarajia kuogeza nguvu katika kuimarisha ulinzi katikaviwanja vya ndege nchini ili kukabiliana na wimbi kubwa la usafifirishaji wa dawa za kulevya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO AIBUKA KIDEDEA DHIDI YA CHADEMA MAHAKAMA KUU

Zitto Kabwe akipeana mikono na Wakili wa CHADEMA,Tundu Lisu baada ya kukibwaga chake chake. Wakili wa chama cha CHADEMA,Mh Tundu Lisu akizungumza na vyombo vya habari nje ya Mahakama kuu Kanda ya Dar...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAASKOFU WAMTEMBELEA RAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI NYUMBANI KWAKE ZANZIBAR.

Mratibu wa Dua Maalum ya kuiyombea Zanzibar kwa ajili ya mwaka mpya wa  2014  Allen Mbaga akizungumza na Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi walipomtembelea na kumuombea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI

WILAYA YA  CHUNYA  – WIZI WA GARI.MNAMO TAREHE 06.01.2014 MAJIRA YA  SAA 15:00HRS HUKO ENEO LA KUEGESHA MAGARI YA  KAMPUNI YA  SUNSHINE MINING LTD KATIKA KIJIJI CHA MATUNDASI, KATA YA MATUNDASI,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NMB YAIBUKA KIDEDEA KATIKA KUWASILISHA TAARIFA YA FEDHA 2012

Meneja wa Fedha wa Benki ya NMB,  Deogratias Usangira akipokea Tuzo kutoka kwa Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.Goodluck Ole Medeye. Benki  ya NMB imepokea tuzo hii  ya ushindi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIKI NDICHO ALICHOSEMA MWANASERIA WA CHADEMA BAADA YA MHE ZITTO KABWE...

JANA Januari 7 ni siku ambayo Mahakama kuu kanda ya Dar es salaam, ilitoa uamuzi juu ya Kesi iliyokuwa ikiwahusu Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe na Chadema juu ya madai yao,mara baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI WA KITAIFA AKIWEMO RAIS KIKWETE WADAIWA KUDAGANYWA KATIKA MAZISHI YA...

Hili ni gari  la JWTZ lililobeba mwili wa  waziri Dr Wiliam Mgimwa  kutoka uwanja wa Ndege Nduli hadi kijiji cha Magunga nyumbani alikozaliwaNdege aliyotumia  rais  Dr Jakaya  Kikwete ikitua  uwanja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA KIJANA MMOJA AFARIKI PAPO HAPO KWA KUPIGWA NA SHOTI YA UMEME...

  Hapa ni baada ya TANESCO kufika eneo la tukio.mwili wa kijana huyo aliyefariki kwa shoti ya umeme ukiwa chiniMwili wa marehemu ukiwekwa kwenye machela ili kupelekwa chumba cha kuhifadhia maiti ktk...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAYA SASA MLIOAJIRIWA SERIKALINI HAYA NDIYO MAVAZI RASMI MNAYOTAKIWA KUVAA

Muongozo wa mavazi kwa watumishi wa UMMA ambao naona pia unapply kwa wageni wano tembelea ofisi hizo. Je imewahi kukutokea umekwenda ofisi fulani ya UMMA ukarudishwa , kukatikaliwa kuingia na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IGP MANGU AFANYA KIKAO CHA KWANZA NA WATENDAJI WA JESHI LA POLISI WALIO CHINI...

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu akizungumza na Maofisa, Wakaguzi , Askari na watumishi raia wa Jeshi la Polisi kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam na...

View Article


Angalia Video Diamond Feat Davido - Number One Remix (Official Video)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA HABARI,VIJANA,UTAMADUNI NA MICHEZOAANZA ZIARA YA...

Afisa Elimu Mkoa wa Pwani Bw.Yussuph Kipengele akiteta jambo na Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Bi.Beatha Swai wakati wa ziara ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DR. SHEIN ASHIRIKI UZINDUZI WA TAASISI YA MWAHARAKATI BIBI BINTI SAAD,

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee Ali Hassan Mwinyi,alipohudhuria katika Uzinduzi wa Taasisi ya Mwanaharakati Bibi...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>