Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

VYAMA VYA SIASA NCHINI VYAJISAHAU CHAGUZI NDOGO ZA MADIWANI, WAKALIA MALUMBANO NA CHAGUZI NDANI YA VYAMA VYAO.

$
0
0

03


Hatimaye filimbi imepulizwa... Tume ya taifa ya uchaguzi imetangaza kuwa vyama vya siasa vianze mchakato wa maandalizi ya uchaguzi huo. Kata 23 katika wilaya/halmashauri 19 kushindaniwa: Mchakato wa ndani ya vyama umeishaanza; kuchukua form za uteuzi wa wagombea kuanzia tarehe 2 january hadi 15, jan, 2014 (siku ya uteuzi), kabla ya saa 10:00 Alasiri; Uteuzi wa wagombea jan, 15; kampeni 16 january hadi 8 february; Uchaguzi tarehe 9 february.
  1. segela - Chamwino;
  2. Mpwayungu - Chamwino;
  3. Ukumbi - Kilolo;
  4. Ibumu - Kilolo;
  5. Nduli - Iringa;
  6. Malindo - Rungwe;
  7. Santilya - Mbeya;
  8. Tungi - Morogoro;
  9. Mkwiti - Tandahimba;
  10. Mkongolo - Kigoma
                11. Ushetu-bugomba 

Watu wote wenye nia ya kugombea majimbo husika ni muda muafaka kujipima uwezo wao wa kunadi wagombea katika majimbo yao. Kazi kwenu.....Sourc: Jamiiforum

Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>