Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

TANGAZO KUTOKA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO

$
0
0
 
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
TANGAZO

Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, inawaalika Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini kote nchini kushiriki katika kikao kazi kitakachofanyika katika Hotel ya Tanga Beach Resort kuanzia Februari 3 hadi 8, 2014 Mkoani Tanga.
Washiriki wote wanakumbushwa kulipa ada ya ushiriki kabla ya tarehe 30 Januari, 2014.
Kauli mbiu ya mwaka huu ni “Matumizi ya Tehama na Mitandao ya Kijamii katika kuimarisha Mawasiliano ya Serikali kwa Umma”

“WOTE MNAKARIBISHWA”

Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>