Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA UDAKU LEO

..

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAREHE 21.01.2013

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI WA CCM MKOA WA MOROGORO AZINDUA KAMPENI ZA UDIWANI KATA YA LUDEWA...

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro Mh Innocent Kalogeris akisalimiana na baadhi ya viongozi wa CCM wilaya ya Kilosa alipowasili kwa ajili ya ufunguzi wa kampeni za udiwani kata ya Ludewa.Mwenyekiti wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OBAMA ASEMA BANGI NI BORA KULIKO POMBE. SOMA ALICHOKISEMA ZAIDI HAPA

President Barack Obama wa Marekani amesema kuvuta bangi ni salama zaidi kuliko kunywa pombe lakini akawasisitizia mabinti zake kwamba hilo sio wazo zuri pia ambapo kwa mujibu wa gazeti la The Mirror,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI YA BAJAJI YAUA MMOJA YAJERUHI WAWILI IRINGA USIKU WA KUAMKIA LEO

 Majeruhi  wa ajali ya  Bajaji Iringa  Karim Raphael (14) mkazi  wa Mshindo ' A' katika Manispaa ya  Iringa akiwa katika  Hospital ya  Rufaa ya  mkoa  wa  Iringa Majeruhi  wa ajali  ya Bajaji Idd...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA LULU, MAMA KANUMBA WAENDA KULA KIAPO

 Kutoka kushoto: Flora Mtegoa, Lulu na Lucresia Karugila katika pozi.ULE udugu wa ukubwani kati ya wazazi wa mastaa wa filamu Bongo, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ na  Flora Mtegoa ‘Mama Kanumba’...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUIGIZAJI MAARUFU WA ISIDINGO AFARIKI DUNIA LEO! ALIKUWA AKIISHI NA VIRUSI!

Lesego Motsepe (Lettie Matabane), enzi za uhai wakeMwaka 2011 Lettie aliwahi kujitangaza kuwa anaishi na Virusi vya UkimwiAliyekuwa muigizaji maarufu katika Tamthilia ya Isidingo The Need ya Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA IMEKAMILISHA ZIARA YA UTURUKI KWA KUFUNGANA MABAO 2 - 2 NA SIMURQ PIK

Young Africans imekamlisha ziara ya kambi yake nchini Uturuki bila ya kupoteza mchezo hata mmoja baada ya leo kutoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya timu ya Simurq PIK inayoshiriki Ligi Kuu nchini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA CHINA WORLD BUZ YAENDESHA SEMINA KWA WAFANYABIASHARA JIJINI ARUSHA

 Shafii Mwaijande Ofisa Mtendaji Mkuu wa China Word Buz kwa upande wa Tanzania akizungumza na wafanya biashara wadogo na wakati kwenye ukumbi wa Triple A jijini Arusha wakati wa Semina kwa wafanya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA WATUHUMIWA WA KUSHAMBULIA WESTGATE WALIPOKWENDA ENEO LA...

Ripota  Julius Chemitei kutoka Nairobi anaripoti kwamba Hakimu na pande husika dhidi ya washukiwa wa shambulio la Westgate wametembelea eneo la tukio kutekeleza amri iliyotolewa na hakimu mkuu Daniel...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJANGA!!! WANAFUNZI WANNE WAMEKUFA KWA AJARI

WANAFUNZI WANNE WAFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA GARI WAKATI WAKIKIMBIA MCHAKAMCHAKA HUKO MTWARA.Wanafunzi wanne Wa shule ya sekondari Mustapha Sabodo mjini Mtwara wamekufa na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHIKAWE AKITIA SAINI BAADA YA KWASILI OFISINI KWAKE

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi  Mhe. Mathias Meinrad CHIKAWE (Mb), Akiweka sahihi katika kitabu maalum mara baada ya kuwasili katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi leo, anayefuatia (kulia) Naibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DARAJA LA DUMILA LASOMBWA NA MAJI

Picha na MaktabaDaraja la Dumila mkoani Morogoro lililopo barabara ya Dodoma - Morogoro limekatika na magari hayapiti baada ya mvua kubwa kunyesha usiku wa kuamkia leo. Baadhi ya magari yatokayo upande...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA WANAFUNZI WALIOJERUHIWA NA GARI LEO MTWARA WANAENDELEA VIZURI,AJALI...

 Wanafunzi watano wa shule ya sekondari Mustafa Sabodo iliyopo nje kidogo ya mji wa Mtwara wamefariki Dunia na wengine 47 kujeruhiwa baada ya kugongwa na gari wakati  wakikimbia mchakamchaka mapema leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA MAZISHI YA MBUNGE WA CHALINZE MAREHEMU SAID BWANAMDOGO

Marehemeu Mhe. Said Bwanamdogo

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA SALMA KIKWETE AZINDUA RASMI MPANGO MPYA WA KUZUIA MAAMBUKIZI YA VIRUSI...

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizindua rasmi mwongozo mpya wa huduma za kuzuia maambukizi ya virusi vya ukimwi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto, (PMTCT OPTION B+) kwa Mkoa wa Dar es Salaam katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA MWIGULU NCHEMBA APOKELEWA KWA NDEREMO NA VIFIJO WIZARA YA FEDHA

 Naibu Waziri wa Fedha Mh:Mwigulu Nchemba akipokea Zawadi ya Ua wakati akipokewa na Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha jijini Dsm hii Leo,Tukio hili limefanyika Nje ya Wizara ya Fedha ambapo mamia ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF YAZUIA USAJILI WA EMMANUEL OKWI YANGA

USAJILI WA OKWI YANGA WAZUIWAShirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesimamisha usajili wa mshambuliaji Emmanuel Okwi kutoka Uganda katika timu ya Yanga wakati likisubiri ufafanuzi kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANGAZO KUTOKA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO

 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIATANGAZOWizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, inawaalika Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini kote nchini kushiriki katika kikao kazi kitakachofanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA DARAJA LA DUMILA LILIOHARIBIKA KUTOKANA NA MVUA

MAJI YA MAFURIKO YAKIPITA KWA KASI KANDO YA DARAJA LA MTO MAGOLE WILAYA YA KILOSA NA KUFANYA MATUMIZI YA BARABARA YA DODOMA-MOROGORO KUSHINDWA KUTUMIKA KUTOKANA NA MAFURIKO KUHARIBU MIUNDOMBINU YA...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>