Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

MH. SAMIA SULUHU MAKAMU MWENYEKITI BUNGE MAALUM LA KATIBA

$
0
0

Mh.Samia Suluhu amekuwa Makamu Mwenyekiti mteule wa Bunge maalum la katiba baada ya kupata kura 390 dhidi ya mpinzani wake Mh.Amina Amour ambae alipata kura 126, sasa hivi bunge maalum la katiba limepata Mwenyekiti pamoja na Makamu Mwenyekiti wa kudumu baada ya uchaguzi wa jana na leo.
hii ndio mwanzo wa safari ya kuelekea kupata katiba mpya ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, hii ni baada ya Mwenyekiti wa muda Mh. Pandu Ameir Kificho kuwa Mwenyekiti wa muda toka mchakato wa huu ulipoanza.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>