Wito huo umetolewa na waziri wa mambo ya ndani ya nchi Dokta Emmanuel Nchimbi wakati akizungumza na vyombo vya habari baada ya kutembela eneo la tukio na kuwajulia hali majeruhi wa tukio hilo waliolazwa katika hospitali mbalimbali jijini Arusha.
Wito huo umetolewa na waziri wa mambo ya ndani ya nchi Dokta Emmanuel Nchimbi wakati akizungumza na vyombo vya habari baada ya kutembela eneo la tukio na kuwajulia hali majeruhi wa tukio hilo waliolazwa katika hospitali mbalimbali jijini Arusha.