Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAHODHA WA ZAMANI WA ENGLAND NA MCHEZAJI WA MANCHESTER UNITED BRYAN ROBSON...

Top of the world: Bryan Robson endured -22C temperatures to make the peak of Mount Kilimanjaro for charityTeam-mates: Robson paired up with old pal Kevin Moran when sleeping on the mountain - they even...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA KRISMAS LAFANA UWANJA WA TAIFA, SOLOMON MAHLANGU AWAPAGAWISHA...

Mwimbaji wa muziki wa injili Solomon Mahlangu kutoka nchini Afrka Kusini akiimba jukwaani jioni hii kwenye uwanja wa Taifa katika tamasha kubwa la Krismas lililofanyika jijini Dar es salaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA LIGI KUU YA UINGEREZA LEO

15:45 Hull City Vs Manchester United18:00 Aston Villa Vs Crystal Palace18:00 Cardiff City Vs Southampton18:00 Chelsea Vs Swansea City18:00 Everton Vs Sunderland18:00 Newcastle United Vs Stoke City18:00...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBONI AJUMUIKA NA WATOTO YATIMA MKOANI IRINGA

Mtangazaji wa kipindi cha Mboni show, Mboni Masimba akimkabidhi zawadi mtoto yatima Ally Mustapha baada ya kuimba vizuri katika mlo uliandaliwa na Mboni katika ukumbi wa Highland hall.Wageni  katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI

 “PRESS RELEASE” TAREHE 26.12. 2013.WILAYA YA MBARALI – AJALI YA GARI KUMGONGA MPANDA BAISKELI NA KUSABABISHA KIFO.MNAMO TAREHE 25.12.2013 MAJIRA YA SAA 13:45HRS HUKO MBALIZI, KATA YA BONDE LA SONGWE,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKOFU AWALIPUA WABADHIRIFU KATIKA IBADA YA KRISMAS

Askofu Godfrey Mdimi Mhogolo wa Kanisa la Anglikana,Dayosisi ya Central Tanganyika (DCT) akihubiri mbele ya mamia ya waumini wa kanisa hilo jana wakati wa Ibada ya Krismas. Picha na Israel Mgussi....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAKOBE ATAJA CHANZO CHA MAWAZIRI MIZIGO

“Viongozi wa kisiasa wamekuwa hatari, wanajitahidi kutafuta uongozi kwa gharama yoyote ile, hasa kwa kuwarubuni wananchi kwa kuwapa zawadi jambo ambalo si jema na mtu anayefanya hivyo hafai kuwa...

View Article

Taarifa Ya Hali Ya Uhalifu 2013

View Article


WANAOTUMIA SILAHA KUWATISHIA WENZAO KUKIONA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOHAMED MATUMLA AMGALAGAZA NASSIBU RAMADHANI KWA POINT NA KUIBUKA NA PIKIPIKI!!

Bondia Mohamed Matumla kushoto akimwadhibu Nassibu Ramadhani wakati wa mpambano wao wa raundi kumi uliofanyika siku ya sikukuu ya krismas na kugombania pikipiki yenye thamani ya shilingi milioni 1.9...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UHURU NA DESALGN WAWASILI JUBA

Rais wa Kenya na Waziri mkuu wa Ethiopia wakiwasili JubaJamii ya kimataifa inaendeleza juhudi za kujaribu kusitisha mapigano yanayoendelea nchini Sudan Kusini.Maafisa wa serikali ya Sudan Kusini, mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAN UNITED TAYARI KUVUNJA REKODI YA DAU LA USAJILI KWA REUS WA DORTMUND,...

Itawagharimu sana! Borussia Dortmund wametangaza dau la pauni milioni 40 kumnunua kiungo wao  Marco Reus, ambaye anawindwa na  Manchester United katika dirisha dogo la usajili januari mwakaniNa Baraka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GARI LAKAMATWA LIKIWA LIMEBEBA MAITI YENYE DAWA ZA KULEVYA MKOANI MOROGORO

Kamanda wa Polisi Mkoani Morogoro,Faustine Shilogile akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).Hizi ndio baadhi ya Pipi zilitolewa tumboni mwa Marehemu Khalid Kitala.Baadhi ya Makachero wa Polisi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MECHI YA MAJARIBIO TIKETI ZA ELEKTRONIKI SAA 10!!

Mechi ya kujaribu matumizi ya tiketi za elektroniki kati ya Azam na Ruvu Shooting inachezwa leo (Desemba 26 mwaka huu) saa 10 kamili jioni Uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam.Viingilio katika mechi hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MHE. PINDA AHUDHURIA IBADA KIJIJINI KWAKE KIBAONI

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimiana na watoto  baada ya ibada ya Krismasi iliyofanyika  kijijini kwa Waziri Mkuu, Kibaoni wilayani Mlele, Katavi Desemba 25,2013. (Pichana Ofisi ya Waziri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO MKOANI LINDI

Nyumba ya moja mali ya Mzee Nampembe,Mkoani Lindi. imeteketea kwa moto jana Usiku na kupelekea baadhi ya mali zilizokuwemo ndani ya nyumba huyo kushindwa kuokolewa. Hali hiyo ilipekekea Wananchi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOJIRI WAKATI WA ZIARA YA RAIS MSTAAFU ALHAJ ALI HASSAN MWINYI KATIKA...

 Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na mkewe Mama Khadija Mwinyi wakifurahia mashada ya  maua wanayopewa baada ya kuwasili California. Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mama Khadija Mwinyi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIGI KUU ENGLANG MAN UTD WAICHAPA HULL CITY 3

Hull 2 Manchester United 3Time to celebrate: Man United have moved to within five points of leaders Liverpool having played a game moreAll white on the night: The own goal came from Ashley Young's...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LUNYAMILA AENDELEA KUPATA NAFUU.

Abdallah Bin Kleb, Mohamed Bhinda, Juma Kaseja, Dr Nassoro Ally Matuzya, Kaise Edwin wakiwa nje ya wodi aliyolazwa mchezaji Edibily Lunyamila siku moja kabla ya Xmass wallipokwenda kumjulia hali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA ALIYEKUWA KOCHA WA MAKIPA SIMBA MAREHEMU JAMES KISAKA WAAGWA JIJI DAR

 Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Kocha wa makipa wa Simba, marehemu James Kisaka likiingizwa kwenye basi la klabu hiyo, baada ya kutolewa heshima za mwisho katika misa iliyofanyika katika Kanisa la...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>