Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJUKUU WA HAYATI NELSON MANDELA, MANDLA MANDELA , ASHITAKIWA

Mjukuu wa hayati Nelson Mandela, Mandla Mandela , ameshitakiwa kwa kosa la kumshambulia mtu na kumtisha kwa bunduki.Hii ni kwa mujibu wa taarifa ya vyombo vya habari nchini Afrika Kusini.Inadaiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA UG VITANI NA WAASI S.KUSINI

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, amesema kuwa jeshi la Uganda linashirikiana na wanajeshi wa Sudan kusini kupambana na waasi wa Sudan Kusini.Mapigano hayo ambayo yalizuka mwezi uliopita yanaendelea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMANDA WA JESHI WATIMULIWA NIGERIA

Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan, amewafuta kazi makamanda wake wakuu wa jeshi ,na kufanya mabadiliko ambapo amemteuawa mkuu wake wa ulinzi, wakuu wa majeshi ya anga na majini .Hakuna sababu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Rasmi ya CHADEMA juu ya wagombea udiwani Kanda ya Kaskazini(Tanga,...

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO – CHADEMAKANDA YA KASKAZINITarehe 15 Januari 2014, wagombea wafuatao wa CHADEMA walipitishwa na TUME YA UCHAGUZI kuwania nafasi za uwakilishi (UDIWANI) katika maeneo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri aburuzwa mahakamani kwa kosa la kukiuka sheria za ajira

 Naibu Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Dkt. Mahongoro Mahanga akitoka katika chumba cha mahakama ya kazi, Tume ya Usuluhishi na Upatanishi wiki iliyopita siku ya Jumanne baada ya kusomewa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto aibiwa katika mazingira ya kutatanisha

 Kamanda wa polisi mkoani Singida, SACP Geofrey Kamwela, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na tukio la kupotea kwa mtoto.Na Nathaniel Limu, SingidaMTOTO Meristina Samwel...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dar yatangazwa ya 39 sehemu bora za kwenda kutembea duniani

 Na Damas Makangale, MOblog TanzaniaJIJI la Dar es Salaam nchini Tanzania ni moja ya majiji maarufu ambalo limepata nafasi ya 39 katika majiji ambayo watu mashuhuri na watalii wanaweza kutembelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USAJILI BARANI ULAYA ANDERSON AELEKEA ITALIA KUJIUNGA NA FLORENTINA

Kiungo wa Manchester United Anderson amesafiri kwenda jijini  Florence kwa ajili ya kwenda kufanya vipimo vy afya kwa ajili ya kujiunga kwa mkopo na klabu ya Serie A ya Fiorentina. Mbrazil huyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RVP: MOYES ANAHITAJI MUDA ZAID

Mshambuliaji wa Manchester United, raia wa Uholanzi, Robin Van Persie, amemtetea Kocha wake David Moyes kwa kusema kwamba anahitaji muda zaidi kujenga kikosi imara zaidi na cha ushindi.Manchester...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA KAMPENI ZA UDIWANI NDULI ,MSIGWA AOMBA RADHI KWA KUKOSA WATU

Wananchi  na  watoto  wakiwa  katika mkutano wa kampeni za chadema kata ya Nduli janaMbunge Msigwa  kushoto akimnadi mgombea udiwani wa kata ya Nduli Ayub Mwemba  jana wakati wa uzinduzi wa kampeni kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI AZOMEWA MBELE YA PINDA

*Wananchi wadai amewatelekeza muda mrefu*Serikali yaahidi kuwasaka walioua raiaMBUNGE wa Kiteto (CCM) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Benedicti Ole Nangoro jana alijikuta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAKIMU MKAZI WA MFAWIDHI WA MAHAKAMA YA WILAYA YA MBEYA, MICHAEL MTEITE...

Wanaotuhumiwa kwa ujambazi wa kutumia siraha  HAKIMU Mkazi wa Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Mbeya, Michael Mteite amewagiza wakili kuhakikisha anampeleka mtuhumiwa mahakamani hata kwa machela....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKUNDI YA URAIS YAIVURUGA CCM

 Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.PICHA|MAKTABADar es Salaam. Makundi ya Urais wa 2015 yanaendelea kuivuruga CCM baada ya Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Singida, Mgana Msindai kuibuka na kusema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATOTO WADOGO WA KIKE WABAKWA

Mtoto aliyebakwa.WIMBI la ubakaji wa watoto wadogo limeendelea, baada ya watu wawili kuripotiwa kuwabaka wasichana wadogo wa kike katika matukio mawili tofauti wiki iliyopita. Huko Mbagala Zakhem,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA WA RUKWA AONANA NA TIMU MAALUUM YA KUHAKIKI MAENEO MAPYA YA...

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya akizungumza na timu maalum inayohakiki maeneo mapya ya utawala kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Pichani kulia na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKA LA NYUMBA NHC LATOA MAFUNZO KWA VIKUNDI VYA VIJANA,LENGO NI KUBADILI...

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu akizungumza wakati wa maadalizi ya ufungaji wa mafunzo ya vijana wawakilishi wa vikundi  kutoka mikoa mbalimbali kuhusu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF YANOA MAKATIBU MABORESHO TAIFA STARS

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeandaa semina ya siku mbili kwa makatibu wa vyama vya mpira wa miguu vya mikoa kuhusu maboresho ya timu ya Taifa (Taifa Stars).Semina hiyo inafanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

REPOTI YA CAG YAMWAJIBISHA MEYA WA MANISPAA YA BUKOBA, ANATORY AMANI

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Ludovick S.L. Utouh. akisoma ripoti ya CAG kwenye halmashauri ya mansipaa ya Bukoba leo.  Naibu waziri wa TAMISEMI, Mh. Aggrey Mwanri akizungumza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MUHONGO KATIKA WARSHA YA UZINDUZI WA HIGH RESOLUTION AIRBONE...

Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akizungumza na wadau wa sekta ya madini (hawapo pichani) wakati wa ufunguzi wa warsha ya uzinduzi wa Mfumo wa Utafiti wa Geofizikia data leo jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Anusurika kuchinjwa katika ugomvi wa wakulima Wilaya ya Kiteto

Bahati (katikati) akiwa hospitalini na baadhi ya wajeruhiwa wa mgogoro baina ya wakulima na wafugaji katika Wilaya ya Kiteto.Picha na Musa JumaKiteto:Bahati ni kweli ana bahati kama jina lake lilivyo...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>