Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mradi wa kuwapatia chakula cha mchana wanafunzi wa skuli ya kusini

  Mradi wa kuwapatia wanafunzi wa Skuli ya Kusini iliyopo Makunduchi waanza rasmi kwa majaribio jana. Akizinduwa rasmi mradi huo mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Kusini, ndugu Faida Khamis Ali (wa tatu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YALAANI VIKALI BUNGE KUDHALILISHWA

Waziri wa Afrika Mashariki Mh Samweli Sitta Akiwa Bungeni leo amelaani vikali gazeti moja kutoka nchi ya jirani kwa kuruhusu picha hapo juu ambayo imelidhalilisha bunge la tanzania.Mh Sitta ametoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VAN PERSIE AKABIDHIWA KIATU CHAKE CHA DHAHABU

Mshambuliaji wa timu ya manchester united Robin Van Persie Amekabidhiwakiatu cha dhabu akiwa mfungaji bora wa ligi kuu england msimu wa 2012/2013 kwa kufunga magoli 26 Kwa msimu huu.Mchezaji huyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA MAZISHI YA MWANDISHI MAARUFU WA VITABU NCHINI NIGERIA,CHINUA...

RIP Chinua Achebe..nakikumbuka kitabu cha 'Things Fall Apart'Mmoja wa waombelezaji ambaye ni muuzaji wa vitabu hapo NigeriaRaisi wa Nigeria na Raisi wa Ghana wakiwapungia waombolezajiJeneza lilibeba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA AIBU: MUME WA MTU ANASWA NA MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI GESTI

INAUMA sana! Wakati wazazi wakihenyeka na wakati mwingine kujinyima ili mabinti zao waweze kupata elimu bora itakayowasaidia maishani mwao wapo wapuuzi wanaokatisha jitihada hizo.Mwanaume mmoja aitwaye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA MAMBO YA WALIMWENGU JIONI HII

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASIYEFANYA KAZI NA ASILE.GANGAMALA

Mfanyabiashara wa kuuza mboga za majani huku mtoto wake akileta vurugu mgongoni mwa mama yake katika Manispaa ya Morogoro akiweka mafungu sawa ya mboga hizo wakati akisubiri wateja wake kando ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA ZA KMICHEZO KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU (TFF

30 TWIGA STARS WAITWA KAMBINIKocha Mkuu wa timu ya Taifa ya wanawake ya mpira wa miguu (Twiga Stars), Rogasian Kaijage amewaita kambini wachezaji 30 ikiwa ni mwendelezo wa kuijenga na kuiimarisha timu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO YA PICHA KUTOKA BUNGENI DODOMA LEO

Mbunge wa Nyamagana Mhe. Ezekia Wenje (CHADEMA), akichangia mjadala wa Hotuba ya  Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Nishati na Madini kwa mwaka wa Fedha 2013/2014 Bungeni leo.Mbunge wa Geita Mhe....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHUNGAJI CHRISTOPHER MWAKASEGE MINNEAPOLIS

Mchungaji Mwakasege akiongea neno la bwana mbele ya wa Tanzania na wa Kenya waishio MinneapolisHa mchungaji Mwakasege akimuombea mgonjwa alie kuwa anasumbuliwa na mgongo kwa muda mrefuMchungaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIMEPATA BHATI YA KUKUTANA NA MMILIKI WA HABARI MSETO

BLOG FRANCIS DANDE  MMILIKI WA HABARI MSETO KUSHOTO NA JACKSON TESHA  MMILIKI WA AUDIFACEJACKSON BLOG WAKIJADILI JAMBO 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKALA NA MAMLAKA ZA SERIKALI ZIMEHIMIZWA KUWEKA MIKAKATI YA KUJIENDESHA KWA...

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA RAISTUME YA UTUMISHI WA UMMATAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIWAKALA NA MAMLAKA ZA SERIKALI ZIMEHIMIZWA KUWEKA MIKAKATI YA KUJIENDESHA KWA FAIDA BILA KUITEGEMEA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKENYA AMWANDIKIA OBAMA UJUMBE WA UTANI KWA KUTOITEMBELEA NCHI YAO

Obama kuzitembelea nchi za Senegal,South Afrika na Jakaya land ni swala ambalo itawachukua mda mlefu sana kulichukulia poa,toka itoke habari ya Obama kutoenda kenya kwwa stayle tofauti wakenya wamekuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA WADUA WETU WAKIWA KATIA UTALII WA NDANI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBEGE INATULETA KARIBU,KINYWAJI BORA KWA AFYA

Wadau wetu kutoka arusha wakijumuika pamoja katika kinywaji cha mbege kwa afya zao

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA KUTOKA MAKTABA YETU : TIMU YA CHUO CHA UHASIBU 2009

Picha hii ilipigwa mwaka 2009 wakati huo nikiwa mwanafunzi wa chuo cha uhasibu arusha.Blogger nikiwa wa kwanza kutoka kushoto waliochuchumaa pamoja na blogger mwingine Ally Salum wa the choise blog...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YETU YA UTALII WA NDANI JIJINI ARUSHA INAENDELEA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maalim Seif afungua kongamano la pili la kitaifa la maridhiano

 Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akihutubia katika ufunguzi wa kongamano la pili la Maridhiano lilolofanyika hoteli ya Bwawani. Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar Maalim Seif...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maadhimisho ya miaka 50 ya OAU/AU yafana leo jijini dar

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.), akimkabidhi Mkuu wa Mabalozi na Balozi wa DRC hapa nchini, Mhe. Juma Khalfan Mpango Mwenge wa Umoja wa Afrika (OAU/AU)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JERRY SILAA AWAASA VIJANA WA CCM KUWA NA UVUMILIVU KUEPUKA VURUGU

 Mjumbe wa Kamati Kuu na Halmshauri Kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni Mstahiki Meya Manispaa ya Ilala Jerry Slaa akizungumza na wasomi  wa vyuo  vikuu Iringa ambao ni makada wa CCM katika hafla ya...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>