Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Togolani Mavura ateuliwa kuwa Msaidizi wa Rais (Hotuba)

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Togolani I. Mavura (pichani) kuwa Msaidizi wa Rais (Hotuba) kuanzia Februari 8, mwaka huu, 2014.Taarifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Halmashauri ya Singida yatumia shilingi 89 milioni kugharamia ujenzi wa soko

 Naibu waziri Fedha na Uchumi na Mbunge wa jimbo la Iramba magharibi, Lameck Nchemba Mwigullu, akizindua jengo la soko la kisasa la kijiji cha Old Kiomboi wilaya ya Iramba.(Nathaniel Limu).Na Nathaniel...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZSSF kuboresha mipango miji Zanzibar

 Mkurugenzi wa Kampuni inayojihusisha na mafunzo ya ufundi ya European Erun ya Nchini Uingereza Bwana Ramesh Kumar akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, wa Pili kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE AOKOA MAISHA YA DEREVA TAXI ALIYEKUA ANATAKA KUWAWA NA WANANCHI BAADA...

Wananchi  wa Tanangozi  katika  wilaya ya Iringa wakimsaidia kijana mwendesha boda boda  asiye na viatu baada ya  kugongwa na taxi  yenye  namba T 6338 AWV  mbele Hili  ndilo gari  lilolomgonga...

View Article

ANGALIA VIDEO REAL MADRID WAKISHINDA 6

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA NAFASI MPYA ZA KAZI KUTOKA MAKAMPUNI MBALIMBALI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA NAFASI ZA KAZI KUTOKA AZAM MEDIA

AZAM MEDIA JOBS FEB 2014COMPANY BACKGROUNDUhai Productions Ltd., a production house based in Dar Es Salaam owned by the SSB group of companies, would urgently like to invite qualified and highly...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA KAMPENI CCM JIMBO LA KALENGA

Chama cha Mapinduzi leo kinazindua rasmi kampeni kwa ajili ya uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga mkoani Iringa. Uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika Ifunda kuanzia saa sita mchana.  Mgeni rasmi katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNDP YASAIDIA GREDA NA MAGARI MATATU HIFADHI ZA RUAHA NA KITURO

Naibu Mkurugenzi Mkazi wa UNDP, Mandisa Mshologu (Kulia)na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA, Dk Ezekiel Dembe wakisaini hati ya makabidhiano ya msaada wa greda moja na magari matatu aina ya Land Cruiser...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA SASA MBIONI KUZALISHA MATREKTA

Dar es Salaam. Kampuni ya Equator Suma JKT yenye ubia na Shirika la Uzalishaji mali la Jeshi la Kujenga Taifa, imesaini mkataba na kampuni ya Farmer kutoka nchini Poland utakaowezesha uzalishaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE MASELE AWAJENGEA UWEZO WAKINA MAMA LISHE SHINYANGA

 Mbunge wa Shinyanga mjini ambaye pia ni Naibu Waziri wa Madini Ndugu Stephen Masele akizungumza kwenye mkutano na wakina Mama na Baba Lishe wa Shinyanga mjini ambapo aliwasaidia kufungua SACCOS na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PRESIDENT KIKWETE LAUNCHES IMPROVING BUSINESS ENVIRONMENT LAB

President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete,   launche Improving Business Environment Lab at Kunduchi Beach Hotel in Dar es Salaam yesterday evening.    President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete (Centre seated) in a...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Europa League: 16 viwanjani leo Kombe la Ulaya:: Napoli v Swansea, Tottenham...

Kiungo Jonjo Shelvey ataukosa mchezo wa leo kati ya Swansea dhidi ya Napoli kwenye mchezo wa maruadiano wa Europa League hatua ya 32 baada ya kuumia siku ya jumapili kwenye mchezo wa EPL dhidi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONGAMANO LA VIONGOZI WA DINI LAMALIZIKA MKOANI MTWARA

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi akizungumza na viongozi wa dini kutoka mikoa ya Lindi na Mtwara katika siku ya pili ya kongamano la viongozi hao kuhusiana na rasilimali zetu za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA NAFASI MBALI MBALI ZA KAZI

Company:Tanga Cement Company LimitedLocation:TangaPOSITION DESCRIPTION:Reporting to: Mechanical Supervisor Qualifications and ExperienceFull Technician Certificate (FTC) in Mechanical Maintenance or...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPENI YA UCHAGUZI CHADEMA JIMBO LA KALENGA, IRINGA

Dk. Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrfod Slaa akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Kiwele katika mkutano wa kampeni wa uchaguzo mdogo wa jimbo la Kalenga mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NMB YASOGEZA HUDUMA KARIBU ZAIDI KWA WAKAZI WA BARABARA YA MANDELA

Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa  Dar es salaam, Bw. Meck Sadick akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa tawi la NMB Mandela Road . Kwanza kushoto ni Meneja wa NMB kanda ya Dar es salaam , Bw. Salie Mlay...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF, POULSEN WAKUBALIANA KUVUNJA MKATABA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen wamekubaliana kuvunja mkataba katika makubaliano ambayo ni siri kwa pande zote mbili.Uamuzi huo umetangazwa leo...

View Article

ANGALIA VIDEO WAPENZI WAKUTWA WAMEGANDANA HUKO KIKUYU KENYA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AZINDUA MTAMBO WA KUHAKIKI TAKWIMU ZA MAWASILIANO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi Mtambo wa Kuhakiki Takwimu za Mawasiliano (Telecommunication Traffic Monitoring System) leo February 27, 2014 katika jengo la Mawasiliano Towers...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live