Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Viewing all 20290 articles
Browse latest View live

MATAPELI YATUMIA MGAHAWA WA FRESH COACH MJINI MOSHI KUTAPELI MILIONI 5

$
0
0

Mwanamke mmoja ambaye alifahamika kwa jina la Rashushi Amani Shembusho, mkazi wa Pasua, wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, ametapeliwa kiasi cha shilingi milioni 5.4 na watu wasiojulikana asubuhi ya leo, Februari 20.
Bi. Shembusho akilia kwa uchungu baada ya kudangasnywa na watu wawili, wa kike na wakiume ambao majina yao bado hayajafahamika. watu hao walimpeleka katika Hoteli maarufu mjini moshi, Fresh Coach na kumtapeli shilingi milioni 5.4 ambazo alikuwa ametoka kutoa Benki ya Uchumi ya mjini Moshi.
Askari wa Hoteli hiyo inayodaiwa kutumika kumtapeli mwanamke huyo akimtuliza Mama huyo ambaye alionekana kuchanganyikiwa na tukio hilo.
Mama akilia kwa uchungu.
Msamaria Mwema aliyefika katika eneo la tukio na kujitolea kumpeleka Mwanamke huyo katika kituo cha Polisi cha Kati cha Mjini Moshi.
Mama akisimulia tukio zima kwa wananchi waliofika katika eneo la tukio baada ya kumsikia akipinga ukunga kuomba msaada.
Msamaria Mwema aliyefika katika eneo la tukio na kujitolea kumpeleka Mwanamke huyo katika kituo cha Polisi cha Kati cha Mjini Moshi.
Bi. Shembusho akipanda gari la Msamaria Mwema aliyejitolea kumpeleka Polisi kutoa taarifa hizo. Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii Moshi.

ANGALIA PICHA YETU YA LEO

$
0
0




































Wabunge wa Kenya wakiwa katika Vikao wakati Bunge Likiendelea 

ANGALIA PICHA LONGO LONGO ZA BONGO

UNAAMBIWA HAWA NDIO WATU WALIOVUNJA REKODI KWA KUJICHORA TATOO MWILI MZIMA WAKIWA NA WAPENZI WAO

ANGALIA PICHA MWANAFUNZI AFUNGWA MNYORORO ASHIDWA KWENDA SHULE, ASIMULIA MATESO YAKE

$
0
0

KATIKA hali ya kushangaza, mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Dorah Joseph (34) anashikiliwa na jeshi la polisi baada ya kutuhumiwa kumfunga mnyororo mtoto wa kaka yake aitwaye Happy Joseph (13) na kumtelekeza bila kumpatia huduma muhimu, ikiwemo chakula.

Mtuhumiwa Dorah Joseph (34).

Kwa mujibu wa majirani na mashuhuda, kisa cha mwanamke huyo kufanya kitendo hicho cha kikatili, ni katika harakati zake za kutaka kumtumia mtoto huyo kishirikina ili aweze kujipatia mali.

Akizungumza muda mfupi baada ya kufika kituoni hapo, mtoto huyo ambaye ni mwanafunzi wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Eleray alisema shangazi yake huyo amekuwa akimfanyia ukatili wa kutisha akishirikiana na jirani yake ambaye jina lake linahifadhiwa.
Happy alisema wazazi wake wote walishafariki, hivyo kumfanya yeye na dada yake kuishi kwa shangazi yake huyo, aliyemwelezea kama amekuwa akimtesa kwa kumnyima chakula, kumpiga, kumfunga mnyororo na kumfungia ndani kama mbwa.ANGALIA PICHA ZAIDI


Mtoto Happy Joseph (13).

‘’Shangazi ananitesa sana, ananifunga mnyororo kama mbwa na kunifungia chumbani, hanipi chakula wala kunipeleka shule, nina zaidi ya mwaka sasa sijaenda,” alidai Happy.

Aliongeza kuwa tofauti na dada yake, yeye ndiye amekuwa akiteswa huku ndugu zake wakizuiwa kumuona.
Akizungumzia tukio hilo, Askari wa Dawati la Jinsia, Deborah alisema ukatili uliofanywa na dada huyo kwa mwanafunzi huyo hauelezeki na kwamba wanakamilisha mashtaka ili kumfikisha mahakamani ili liwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hiyo.
Alisema baada ya kupata taarifa hizo walifika nyumbani kwa mtuhumiwa huyo na kufanikiwa kumuokoa mtoto huyo ambaye hadi anafikishwa polisi, alikuwa bado na mnyororo mguuni kutokana na kukosekekana kwa  ufunguo wa kufungua kufuli kubwa mguuni kwake.
Kwa upande wake, mtuhumiwa huyo alisema alilazimika kumfunga mnyororo binti huyo baada ya kuchoshwa na tabia yake ya kuzurura ovyo, kwani muda mwingi anatoroka nyumbani na kwenda kusikojulikana.
Alisema mara kadhaa mtoto huyo amekuwa akitoweka nyumbani hapo wakati mwingine kwa wiki nzima bila kujulikana alikoelekea, ikiwa ni pamoja na kutoroka shuleni.

ANGALIA PICHA ZA MAAJABU YA MUNGU

$
0
0
 Hawa ni mapacha wanaoishi Tanzania
 Hawa ni mapacha wanaoishi India

ANGALIA PICHA YA UNYAMA MKE. AKATWA MKONO NA MPENZIWE.

$
0
0
Baada ya kuwa katika mapenzi na mwanaume huyo kwa zaidi ya miaka 17, wakipendana na kuitana majina yote mazuri unayoyajua yakiwamo kuambiwa ‘mpenzi wangu nakupenda, nikinywa maji nakuona kwenye glasi’…leo mapenzi yamegeuka shubiri.Kuna mikasa mbalimbali huwatokea watu katika suala zima la mapenzi, kiasi cha kusababisha baadhi yao kutopenda tena kuingia kwenye jambo hilo wakiliona kama ni kitu kisichofaa, ingawa ukweli unaweza kuwa sio huo.“Sitaki tena wanaume, ni watu wabaya, wameniumiza moyo wangu mno,” anasema Hawa Francis, mkazi wa Ubungo, Dar es Salaam. Sababu kubwa ni kero ambazo amewahi kuzipata katika suala zima la uhusiano. Vivyo hivyo wapo wanaume hawataki kuoa, kwa maelezo kuwa kuna wanawake wamewahi kuwatesa.
Kama wewe ni kati ya watu ambao umekata tamaa na suala la uhusiano, fahamu kuwa si wewe pekee.Kuna kundi kubwa la watu wameshatendewa kiasi cha kufanya wasiwe na raha tena.

Mkasa wa mwanamke kukatwa mkono

Ilikuwa Agosti 7, mwaka huu, saa mbili usiku. Ilikuwa ni siku iliyobadili historia ya maisha yake. Baada ya kuwa katika mapenzi na mwanaume huyo kwa zaidi ya miaka 17, wakipendana na kuitana majina yote mazuri unayoyajua yakiwamo kuambiwa ‘mpenzi wangu nakupenda, nikinywa maji nakuona kwenye glasi’…leo mapenzi yamegeuka shubiri.

Mwanamke huyo, Mchali Kihiyo (35), mama wa watoto sita, aliyepoteza viungo vyake kutokana na ukatili wa kijinsia uliofanywa na mwanaume ambaye wamekuwa na uhusiano nae (jina limehifadhiwa).

“Uhusiano wetu ulikuwa mzuri, hata hivyo kwa sasa naona mambo yamekuwa magumu kwangu, leo hii mimi sina mkono wa kushoto na nimeondolewa sehemu ya viungo vyangu vya upande mmoja,”anasema Mchali,akibubujikwa machozi kutokana na ulemavu alioupata.

Chanzo cha ulemavu

Anasema maisha yao ya uhusiano yalikuwa ya furaha kwa kipindi chote lakini yamegeuka shubiri baada ya mwanamume wake huyo kuonyesha dalili ya kutompenda kama awali, hali ambayo anaitafsiri kama labda alikuwa na mwanamke mwingine.

Mchali, anasema mikasa na mateso ilianza miaka mitatu iliyopita baada ya kuhisi kwamba mwanamume wake huyo amezaa na mwanamke mwingine. Ubaya zaidi ulimtokea baada ya mtoto wa huyo mwanamke mwingine, kutumbukia kwenye kisima cha maji na kisha kupoteza maisha.

 “Kifo cha mtoto huyo, ndicho kilichozaa tatizo hili la ukatili dhidi yangu na kunisababishia ulemavu, kwa kuwa huyo mwanaume wangu na huyo mwanamke aliyezaa nae, walidai kwamba mimi ndiyo nilimtupia majini marehemu mtoto wao ili afe,”anasema mama huyo.

 Vitisho kabla ya ulemavu

Mchali, anasema mara baada ya msiba wa mtoto kumalizika, mwanamume wake huyo alihamia kwa mke mdogo lakini akawa anarejea nyumbani na kumtukana huku akitishia kufanya lolote analofikiri linafaa.

Anasema baada ya mateso na vitisho kuzidi aliamua kuondoka kwa mumewe huyo toka mwezi Aprili mwaka huu na kuamua kurudi kwa wazazi wake huku akiwaacha watoto wake kwenye nyumba waliyokuwa wakiishi.

Anasema alilazimika kuwaacha watoto kutokana na agizo la mumewe, aliyekataa asiwachukue, hivyo akaanza maisha mengine ya upweke bila watoto huku akiendesha maisha yake kwa biashara ya kuuza samaki.

Anasema mwanzoni mwa mwezi huu, aliugua malaria na kukaa nyumbani bila kwenda kwenye biashara zake. Agosti saba mwaka huu, alipata nafuu na kuamua  kwenda kumsalimia kaka yake, anayeishi mbali kidogo na nyumbani kwao na ndipo yakamkuta yaliyomkuta.

Anaeleza kuwa alikaa kwa kaka yake hadi muda wa futari wakafuturu na kushangaa simu yake ikiita, kuangalia ni namba ya mpenzi wake huyo. Alipoipokea, aliulizwa aliko, yeye alimweleza yuko kwa kaka yake na kumtaka amfuate mnadani akale nyama kitendo ambacho anasema alipingana nacho.

Anasema baadaye aliamua  kurudi nyumbani na kusindikizwa na wifi yake hadi karibu na nyumba yao ikiwa ni saa mbili usiku.Walipoagana, ghafla akashangaa kusikia sauti ya mumewe ikimuita, alipogeuka alimwona, kisha akamuuliza  alikotoka na kumwambia alikuwa kwa kaka yake.

Kipigo na ulemavu

Anasema mara baada ya kumjibu mwanamume huyo alianza kumpiga na hatimaye alianguka chini na mumewe akatoa panga na kuanza kumkatakata sehemu mbalimbali za mwili wake.

Hakika hujafa hujaumbika. Mchali amecharangwa kwa mapanga kuanzia chini ya goti mguu wa kushoto hadi kwenye makalio, amekatwa sehemu zaidi ya saba mwilini.

Ni kama alitaka kumkata shingo

Anasema kwa namna anavyoona ni kama alidhamiria kumuua akisema kuwa mara nyingi akiwa na huo upanga alikuwa analenga kumtenganisha shingo. Alichofanya mama huyo ni kuweka mikono shingoni kuzuia panga, kitendo kilichosababisha  mkono wake wa kushoto kukatwa kabisa.

Hawezi kukaa

Mwandishi wa makala haya baadaye alimwomba mwanamke huyo angalau akae chini, kwani muda mwingi wa mahojiano alikuwa amelala, ndipo alipojibiwa kwamba hawezi kukaa kwa vile kuna nyama kubwa kwenye makalio ambayo imeshindikana kushonwa.

Mama huyo anasema wakati mumewe akimcharanga mapanga, mama yake mzazi aliendelea kupiga ngolo (yowe) kuomba msaada, kaka yake alikwenda lakini akashindwa kutoa msaada kwa kuwa shemeji yake huyo alikuwa akimkimbiza na panga.

Anasema kelele za mama yake zilisaidia kuokoa maisha yake, kwa kuwa majirani walijitokeza, hivyo mwanamume huyo akaanza kuwakimbiza akitaka kuwadhuru kitendo ambacho mama huyo aliona ndiyo nafasi pekee kukimbilia ndani.

Matibabu

Mchali, anasema baadaye ndugu zake, walitafuta usafiri na kufanikiwa kupata matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC ambako alilazwa kwa siku nne na kurejea nyumbani kutokana na ushauri wa daktari anayemhudumia.

Kwa mujibu wa mama huyo, daktari anayemtibu alimtaka Mchali akubali kutibiwa majeraha akiwa nyumbani ili kuepuka maambukizi ya magonjwa nyemelezi pamoja na kuepuka gharama za matibabu.

“Sina uwezo wa kukabiliana na gharama za matibabu kwa kuwa siwezi kutembea, nalazimika kukodi gari na kwa wiki naoshwa mara tatu. Nisaidieni ndugu zangu, ndoa yangu imenifikisha hapa,” anasema.

Mchali na hali ya ukatili mkoani Manyara

Kamanda wa Polisi mkoa wa Manyara, Akili Mpwapwa anasema mtuhumiwa bado hajakamatwa kwa vile hajulikani aliko, huku akiahidi kuendelea kulifanyia kazi suala hilo.

Akielezea zaidi ukatili mkoani Manyara, anasema upo, japo ni mdogo ikilinganishwa na mikoa mingine. Anaamini kuwa bado changamoto ni kubwa  kwa wanawake ambao wengi wao wamekuwa wakinyanyasika.

Sababu kubwa za kunyanyasika kwa wanawake ni mfumodume. Akasisitiza kuwa Jeshi la Polisi mkoani humo linaendelea kuelimisha jamii madhara ya ukatili na kusema jitihada hizo zinapaswa kuigwa na wananchi na asasi nyingine kuhakikisha ukatili wa kijinsia unatokomezwa.

Ban Ki-moon to push ahead with Syria peace talks

$
0
0

Ban and U.N.-Arab League mediator Lakhdar Brahimi are determined to continue, and are in contact with the U.S. and Russia on “how best to push forward.” 
Secretary-General Ban Ki-moon is determined to push ahead with peace talks between the regime of Syrian President Bashar al-Assad and the opposition delegation despite the lack of progress during two rounds of negotiations that ended Saturday.
“This is the start of an enormously complicated process after three years of conflict,” Martin Nesirky U.N. spokesman told reporters Tuesday.
“It should not really surprise anyone ... that the parties have found it difficult to find a common voice,” Nesirky added.
Ban and U.N.-Arab League mediator Lakhdar Brahimi are determined to continue the negotiations and are in contact with the U.S. and Russia on “how best to push forward,” he said.
Ban hopes the parties will “think long and hard” and come back to Geneva as soon as possible to continue the peace process, Nesirky said.
U.N. mediator Lakhdar Brahimi on Saturday apologized to the people of Syria after the first two rounds of the peace talks in Geneva have not achieved any progress.
"I apologize that these two rounds have not come out with very much," Brahimi said.
“I think it is better that every side goes back and reflects on their responsibility, (and on whether) they want this process to continue or not,” he told reporters in Geneva.
Opposition spokesman Louay Safi said new peace talks would be useless if the regime continues to refuse to discuss a political transition.
“A third round without talking about transition would be a waste of time,” Safi told reporters in Geneva, after the negotiations ended.
The talks began in Geneva with aims to find a solution for nearly three years of political violence that has claimed the lives of more than 100,000 people and displaced millions since March 2011.

Source: english.alarabiya.net

Lavrov from Iraq: U.S. policy spurs ‘terrorism’

$
0
0

Russia’s Foreign Minister Sergei Lavrov (center L) walks with Iraq’s Foreign Minister Hoshiyar Zebari (center R) at Baghdad's airport February 20, 2014. (Reuters)

America’s Syria policy encourages the financing and supply of “terrorist organizations,” Agence France-Presse reported Foreign Minister Sergei Lavrov as saying on Thursday in the Iraqi capital.


U.S. policy “encourages extremists who are financing terrorism and supplying terrorist organizations and groups with weapons,” Lavrov said in remarks translated from Russian into Arabic.

The Iraqi foreign ministry said on its website Thursday that Lavrov was in Baghdad to discuss “regional issues.”
Lavrov “arrived to the Iraqi capital Baghdad for talks and discussions with senior government officials on regional issues of mutual interest,” the statement said, without providing further details.
The visit, which follows a meeting between Russian President Vladimir Putin and Egyptian army chief Abdel Fattah al-Sisi last week, may point to increased efforts by Moscow to expand ties with Middle Eastern countries with which Washington has had close relations.
One issue that will almost certainly be on the agenda is Syria, where rebels are battling forces loyal to President Bashar al-Assad in a civil war that has claimed more than 140,000 lives since its outbreak in 2011.
The conflict has contributed to a year-long surge in violence in Iraq to levels not seen since 2008, when the country was just emerging from a brutal period of sectarian killings.
Lavrov’s visit comes after peace talks between the Syrian government and opposition cosponsored by Russia and the United States broke off last week with no date set for a third round.
Washington has accused Moscow -- a key Damascus ally -- of not doing enough to make sure the Assad regime is fully committed to the talks, a charge Russia has rejected.
Arms sales on agenda
Arms sales may also be on the agenda of Lavrov’s talks.
Iraq has purchased significant quantities of military equipment from Russia, but a $4.2 billion deal that would have made Moscow Baghdad’s biggest arms supplier after Washington was scrapped over corruption concerns.
Iraqi officials have been angered by delays in the delivery of some U.S. weapons due to concerns over potential abuses, while Egypt has also been hit by the suspension of some American aid after the military’s overthrow of the country’s democratically-elected president.
Both cases provide an opening for Russia to try to make gains in diplomatic and military ties.

World Leaders Call for De-Escalation of Violence in Ukraine

$
0
0

As bloody clashes between police and protesters kill nine in Ukraine today, both sides are rushing to form paramilitary forces to battle for country’s future.
Violence between Ukraine’s authorities and the opposition erupted again on the streets of Kyiv today, with at least 13 people killed in the clashes. Police forces armed with machine guns stormed the Madian, while both sides are maneuvering to consolidate their own paramilitary forces to wage war for the country’s future.
For their part, the Euromaidan activists, who embraced non-violence in the early days of protesting, have started to organize in the face of increasing police brutality. Recently, Polish journalist Piotr Andrusieczko investigated evidence that riot police have used live cartridges against people in the streets of Kyiv.
He writes that he discovered thousands of cartridge casings on the barricades, apparently fired from the police squads. At least four protesters died from gunshot wounds in the vicinity of the casings, activists say. The authorities have flatly denied using live cartridges, stating that their rifles have only been loaded with rubber bullets.' Read more: thedailybeast.com


President Obama Responds to the California Drought

$
0
0

President Obama visited Joe Del Bosque's farm outside of Fresno, California to view the damage caused by the California drought and discuss the administration's response and need for future collaboration to respond to disasters emerging due to climate change.


President Obama Speaks on Improving Fuel Efficiency for American Trucks

$
0
0

President Obama lays out additional details for the plan he announced in the 2014 State of the Union to improve the fuel efficiency of American trucks and bolster energy security, cut carbon pollution, and spur manufacturing innovation.


President Obama Delivers Remarks with President Peña Nieto and Prime Minister Harper

$
0
0

President Obama delivers remarks to North American business, civil society and education leaders with President Nieto of Mexico and Prime Minster Harper of Canada.


President Obama Responds to the California Drought

$
0
0

President Obama visited Joe Del Bosque's farm outside of Fresno, California to view the damage caused by the California drought and discuss the administration's response and need for future collaboration to respond to disasters emerging due to climate change.


Kenya kutoa huduma za kisheria bure kwa maskini ili kuongeza upatikanaji sawa wa haki

$
0
0

Pili Pili, mwanaume wa Kenya ambaye anamiliki nyumba kadhaa za bati katika makazi duni ya Tudor Moroto mjini Mombasa, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu hofu yake ya kufukuzwa na mamlaka ya halmashauri ya mji. 
Maurice Omondi alikuwa fundi seremala katika Mtaa wa Ayany wa Kibera hadi Novemba mwaka jana mwaka uliopita wakati mamlaka ya jiji ilipovamia ghafla biashara zake na kumlazimisha kufunga.
Alisema maofisa kutoka Halmashauri ya Jiji la Nairobi walichukua vifaa vyake vyote na samani zilizokuwa zimekamilika ambazo zilikuwa zikisubiri kuchukuliwa na wateja baada ya kushindwa kuonyesha leseni ya biashara.
"Kutoka uvamizi huo, maisha yangu hayako kama yalivyokuwa mwanzo. Nimelazimika kuchagua kazi za utumishi kupata mahitaji," alisema Omondi, mwenye umri wa miaka 35, ambaye sasa anafanya kazi kama kibarua katika maeneo ya ujenzi.
Alisema angepenga kuanza tena biashara yake ya useremala lakini hayo yote yanategemea kama atapata vifaa vyake na fidia yoyote kwa hasara aliyopata, ambayo ataitumia kama mtaji wa kuanzia.
"Nimeshafuatila suala hili mara kadhaa kwenye mamlaka za jiji lakini hakuna maendeleo yoyote, ukiunganisha na ukweli kwamba siwezi kumudu kuwa na mwanasheria ili tuweze kuishitaki mamlaka na kupata haki katika mahakama" alisema. "Nimekubali hatma yangu." Kesi ya Omondi ni mfano halisi wa kile ambacho Wakenya wengi wanapitia wakati wanapotafuta haki nchini Kenya.
Upatikanaji ulio sawa wa sheria na haki ya huduma za kisheria za bure vimewekwa katika katiba ya Kenya. Pia inaeleza kwamba raia waarifiwe haki yao ya wakili wa utetezi, na atolewe kwa mlalamikiwa na serikali kama inahitajika.
Hata hivyo, haki hizi wakati huwa hazipatikani wakati wote kwa watu wa Kenya walio masikini na waliosahaulika, alisema Getrude Angote, mkurugenzi mtendaji wa Kituo cha sheria cha Kenya (Kituo cha Uwezeshaji Sheria cha Kenya).
Angote alisema Wakenya wengi wenye uwezo wa kupiga kura wanayimwa haki zao za huduma za msingi, zinazoondolewa katika majumba, ardhi na biashara zao, na kutishiwa kupitia kwa watu matajiri na maarufu katika jamii.
"Huu ni mwelekeo unaotia hofu ambao una matokeo hasi katika maendeleo ya jumla ya nchi," aliiambia Sabahi. "Akiondoa asilimia kubwa ya idadi ya watu kutoka katika utawala wa sheria kwa kutowapa kimsingi upatikanaji ulio sawa wa haki ikimaanisha hawana nafasi sawa za kuboresha maisha yao hadi kuondokana na umasikini."
'Mamilioni wanahitaji huduma za kisheria'
Mwanasheria Mkuu Njee Muturi alikiri kwamba tatizo hilo lipo katika nchi, lakini alisema "litabadilika katika miezi inayokuja."
"Wakenya wachache sana wanaohitaji huduma za kisheria wanaweza kumudu kuzilipia, na wengi wao hawajui haki zao za kisheria," Muturi aliwaambia waandishi wa habari tarehe 20 Januari. "Watu ambao hawajui haki zao za kisheria hawawezi ama kudai wala kutekeleza haki hizo. Mamilioni wanahitaji huduma za kisheria lakini hawawezi kumudu elimu maalumu na ujuzi wa wataalamu wa sheria."
Hadi kufikia Agosti, Muturi alisema, serikali inapanga kuanzisha programu ya bure ya msaada wa kisheria ambayo italenga Wakenya masikini na watu waliosahaulika.
Alisema Ofisi ya Mwanasheria Mkuu na Wizara ya Sheria ziliunda Msaada wa Sheria Kitaifa na Programu ya Uelimishaji ambayo iliandaa rasimu ya Mswada wa Msaada wa Kisheria na rasimu ya Sera ya Msaada wa Sheria Kitaifa na Uelimishaji mwaka 2013.
Rasimu zote mbili zinapitiwa na Tume ya Usimamizi wa Katiba na zinatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi Agosti, alisema.
"Rasimu ya mswada huo inahusisha haki ya kikatiba ya mashtaka halali kwa watu wote walioshutumiwa na itasaidia katika utekelezaji wa sheria ya kikatiba kuhusu haki ya mashtaka halali mahakamani," Muturi aliiambia Sabahi. "Inafanya hivi kwa kutumia muundo wa kisheria na kiasasi kwa ajili ya kutoa msaada wa huduma za kisheria nchini Kenya na baadaye kupendekeza ugatuaji wa madaraka ya huduma za kisheria katika kaunti na kaunti ndogo kulingana na Ibara ya 6 (3) ya katiba kuhusu kupatikana kwa huduma."
Kuhamasisha utawala wa haki na utawala wa sheria na kuimaisha upatikanaji wa haki ni miongoni mwa kazi za kikatiba na vipaumbele vya ofisi ya Mwanasheria Mkuu na Wizara ya Sheria, alisema.
Dira ya mwaka 2030 ya Kenya inaeleza kwamba kukua kwa uchumi peke yake hakutoshelezi kukamilisha uinuaji mzuri katika ubora wa maisha ya maskini, watu waliosahaulika na watu wanaoishi katika mazingira magumu, alisema. Dira inabainisha kukosekana kwa upatikanaji wa haki kwani kuna uhusiano wa moja kwa moja katika umaskini na, kimsingi, inatambua uhitaji wa upatikanaji wa haki na mhimili wa maendeleo ya uchumi na kupunguza umaskini.
"Nguzo wa kisiasa uliodhamiriwa katika Dira hii kuhusu vipengele mbalimbali vya haki za binadamu na utawala wa sheria ili kuhakikisha utawala bora na uwajibikaji," alisema Muturi. "Msaada wa kisheria ni nyenzo muhimu katika kuimarisha upatikanaji wa haki, hususan kwa maskini, waliotengwa na wanaoishi kaika mazingira magumu."
Muturi alisema serikali imekuwa ikiendesha programu sita za majaribio ya msaada wa kisheria huko Nairobi, Mombasa, Kisumu na Eldoret. Alisema changamoto ya msingi inayoikabili programu ilikuwa ni kukosekana kwa maelekezo ya sera, uungaji mkono au ukaidi wa sheria wa wadau wote watakaohusishwa.
"Lakini tumejifunza somo letu na kuanza mabadiliko ya sheria pamoja na kufikia wadau wote, hivyo tunapoendelea na programu [kitaifa] mwezi Agosti vitaendeshwa kwa pamoja," alisema, akiongeza kwamba, Mahakama, wizara za serikali, Vyuo vikuu, Jumuiya ya Kisheria ya Kenya Kenya na asasi za kiraia zote zimekubaliana kushirikiana.
Roselyne Aburili, ofisa kaimu mkuu wa sheria katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu, alisema uanzishaji wa programu ya taifa ya msaada wa kisheria utawawezesha kufanya kampeni nyingi za kujenga uelewa wa haki za watu na kubadilisha mifumo ya utatuzi wa migogoro.
"Hili litafanya baadhi ya kesi kushughulikiwa katika ngazi ya jamii kupitia usuluhishi, [kuliko] kuishia mahakamani, hivyo kupunguza kesi zinazosubiri…ikifanya utoaji wa haki kwa haraka," aliiambia Sabahi.

Source: sabahionline.com

Another SA woman arrested in Kenya over drugs

$
0
0

A second South African woman has been arrested in Kenya for suspected drug smuggling. Alicia Coetzer was detained at the country's main airport allegedly carrying more than a kilogram of cocaine.

If convicted, Coetzer could be jailed for at least ten years. Originally from Cape Town, Coetzer flew into Nairobi from Brazil over the weekend.
She had hoped to fly onto Botswana but instead, police seemingly tipped off - detained and searched her intimately. They allegedly found more than a kilogram of cocaine.
Lawyer Cliff Ombeta says, “They found 80 pellets and they say she was carrying the big one in her private parts, with a further 10 pellets.”
Read more: sabc.co.za

Jamhuri ya Afrika ya Kati: Milio ya risase yautikisa mji wa Bangui

$
0
0
Wanajeshi wa kikosi cha Umoja wa Afrika (Misca) katika kata ya Boy-rabe, makao makuu ya wanamgambo wa anti-balaka, mjini Bangui, februari 19 mwaka 2014 ...Milio ya risase za rashasha na miripuko ra roketi na gruneti imesikika mapema leo asubuhi karibu na uwanja wa ndege wa mjini Bangui, ambako waandamanaji wameweka vizuizi dhidi ya vikosi vya kimataifa, ameshudia muandishi wa AFP.
Risase zimerushwa hadi karibu na kambi ya wanajeshi wa Ufaransa wanaolinda eneo moja la uwanja wa ndege, na wako tayari kujibu mashambulizi yoyote dhidi yao, milio hiyo ya risase imesababisha watu kua na hofu katika maeneo jirani ya uwanja wa ndege.
Duru za kijeshi zinafahamisha kwamba milio hio inashukiwa kwamba huenda ni ufyatulianaji risae kati ya wanajeshi wa kikosi cha Umoja wa Afrika (Misca) na wanamgambo wa kundi la wa kristo la anti-balaka wanaoishi karibu na maeneo jirani na uwanja wa ndege.
Mamia ya watu wanaoishi katika kambi kubwa ya wakimbaizi wa ndani iliyo karibu na uwanja wa ndege, wamekimbilia sehemu ndege zinaegesha baada ya kutua, lakini wanajeshi wa Ufaransa wameingilia kati na kuomba watu hao kurejea kambini.
Makundi madogo madogo ya watu, ambao wamekua wakiandamana wakipinga operesheni ya wanajeshi wa Ufaransa dhidi ya wanamgambo wa kundi la ant-balaka, wameweka vizuizi kwenye barabara inayoelekea kwenye uwanja wa ndege.
Kwenye umbali wa mita zaidi ya mia moja na ua wa uwanja wa ndege, vijana kati ya 200 na 300wamekua wakipaza sauti wakilani operesheni (Sangaris) inayoendeshwa na wanajeshi wa Ufaransa na ile ya wanajeshi wa kikosi cha Umoja wa Afrika (Misca) pamoja na siasa ya viongozi wa srikali ya mpito.
Milio ya risase imesikika pia jana usiku hadi mapema leo asubuhi katika kata ya Boy-Rabe, makao makuu ya wanamgambo wa anti-balaka, na katika eneo la kaskazini mwa mji.
Moja kati ya mpango wa rais wa mpito wa Jamhuri ya Afrika ya Kati ni kuhakikisha usalama umerejea nchini, na alahidi kuanzisha vita dhidi ya wanamgambo wa kundi la anti-balaka.
Mapigano hayo mapya yamesababisha ujumbe wa viongozi wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa wanahirisha ziara ambayo wangeifanya leo jumatano katika mji wa Bossangoa ( kilomita 250 kaskazini magharibi na mji wa Bangui).

Via kiswahili.rfi.fr

KENYA: WACHUUZI WAKAMATWA MOMBASA KWA KUKAIDI AGIZO

$
0
0

Mombasa

Askari wa serikali ya kaunti ya Mombasa akimvuta mchuuzi aliyekuwa akijaribu kukwepa kukamatwa Februari 19, 2014. Picha/LABAN WALLOGA 

WACHUUZI kadha walikamatwa Jumatano mjini Mombasa kwenye msako ulioendeshwa na askari wa Jimbo la Mombasa.

Bidhaa za mamilioni ya pesa zilinaswa kwenye msako huo kutoka kwa wachuuzi hao waliorudi kuendesha biashara zao katikati ya jiji kinyume na agizo la mahakama kuu la kuwataka kuhudumu pembeni mwa jiji.
Fujo hizo zilikwamiza shughuli kwa saa kadha huku wachuuzi hao wakifukuzana na maafisa wa polisi waliowatia mbaroni baadhi yao na kuwashtaki mahakamani.
Kaimu katibu wa jimbo Bw Hamisi Mwaguya alisema wachuuzi hao walipaswa kuelewa vyema agizo la Jaji Edward Muriithi. “Kisiwa kizima cha Mombasa ni katikati mwa jiji (CBD) na mahakama imetuagiza kuwatafutia maeneo nje ya jiji kuendesha biashara zao katika siku 14, ni lazima tuheshimu amri ya mahakama,” akaeleza.
Bw Mwaguya alisema mazungumzo yameanza kuhusu kule wachuzi watakakopelekwa na kueleza kwamba kuna mradi wa kupanua masoko ya Marikiti, Sega na Majengo. “Wachuuzi waende Likoni, Changamwe na hatutawatoza ada. Hatuwezi kuwaruhusu kufanyia biashara katikati ya jiji na kuangamiza urembo wa mji wetu,” akaeleza.
Mnamo Jumanne, mahakama iliagiza serikali ya Jimbo la Mombasa kuwaruhusu wachuuzi kuhudumu nje ya jiji la Mombasa.
Aidha Jaji Edward Muriithi aliitaka serikali kutowahujumu wachuuzi hao hadi kesi waliyowasilisha mahakamani itakaposikilizwa na kuamuliwa.

Chanzo: swahilihub.com

ANGALIA NAFASI MPYA ZA KAZI TANROADS

$
0
0
Tanzania National Roads Agency (TANROADS)SECURITY GUARD (4 POSTS)

COMPANY: TANROADS

POSITION DESCRIPTION:

KEY QUALIFICATIONS FOR SECURITY GUARD
  • Std VII or above Acceptable Certificate of Security Guards At least 3 years experience
  • Tanzania citizen Age between 35 to 40 years
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
  • Security of Luhimba and Lipokera weighbridge station.
  • Able to work under strict deadlines without supervision.
  • Performs any other duties as assigned by the Supervisor.
--------------------------------

APPLICATION INSTRUCTIONS:

All the interested and qualified Tanzanians are invited to submit their applications in writing enclosing detailed curriculum vitae and certified copies of relevant education and professional certificates, together with names of two referees and their contact addresses, telephone number (s) and e-mail addresses, so as to reach the addressee mentioned below not later than Thursday 06th March, 2014 -16:30 hrs. 

Only short listed candidates will be contacted. 
Please apply to: 
Regional Manager 
TANROADS 
P.O.Box 31 
Songea.
Source:Daily News, 7th February 2014


OFFICE ATTENDANT (2 POSTS)
COMPANY:TANROADS
POSITION DESCRIPTION:
KEY QUALIFICATIONS FOR THE OFFICE ASSISTANT;

  • Holder of a Form IV Certificate;
  • Must be fluent in Kiswahili and preferably be able to communicate in English;
  • Must be a Tanzanian Citizen; Not above 35 years of age.
DUTIES AND RESPONSIBLE OF THE OFFICE ASSISTANT
  • Carrying out activities as described in the Road Traffic (maximum Weigh of Vehicles) Regulations, 2001 which activities include the following:
  • Cleaning offices, washrooms and office premises;
  • Preparing and serving tea, coffee and refreshments;
  • Moving files and documents as directed;
  • Undertaking photocopying/ or binding of documents as directed;
  • Dispatching letters or parcels;
  • Observing good customer care, dignity and integrity;
  • Reporting all matters to the Shift In-charge;
  • Performing such other related duties as may be assigned by the senior staff.
---------------------------------------------------------------------

APPLICATION INSTRUCTIONS:

All the interested and qualified Tanzanians are invited to submit their applications in writing enclosing detailed curriculum vitae and certified copies of relevant education and professional certificates, together with names of two referees and their contact addresses, telephone number (s) and e-mail addresses, so as to reach the addressee mentioned below not later than Thursday,06th March, 2014 -16:30 hrs.

Only short listed candidates will be contacted. 
Please apply to: 
Regional Manager, 
TANROADS, 
P.O.Box 31, 
Songea.
Source:Daily News, 7th February 2014ZINAENDELEA
&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&


CASHIER (4 POSTS)
COMPANY:TANROADS
POSITION DESCRIPTION:
KEY QUALIFICATIONS FOR THE CASHIER;

  • Holder of Ordinary Secondary Education I Advanced Secondary Education and ATEC, NABE stage III or equivalent (Higher qualification will be advantageous);
  • Must be computer literate (at least Advanced Certificate in Computer Applications)
  • Must be fluent in both written and spoken Kiswahili ami English languages;
  • Must be a Tanzanian Citizen; Not above 35 years of age
DUTIES AND RESPONSIBILITIES OF THE CASHIER
  • The holder of this post who reports to Head of Accounts and Administration will be responsible for:
  • Enforcing of Road Traffic Axle Load Control by the use of Weighbridge scale devices;
  • Carrying out activities as described in the Road Traffic (maximum Weigh of Vehicles) Regulations, 2001 which include the following:
  • Collecting and banking all Weighbridge charges (fees) according to weighbridge report form;
  • Seeking current USD exchange rates issued by Bank of Tanzania for case of imposing charges that are equivalent to Tanzania Shilling;
  • Filling all records timely; Maintaining asset register;
  • Observing good customer care, dignity and integrity;
  • Reporting all matters to the Shift In-charge;
  • Performing other duties as may be assigned from time to time by the Head of Accounts and Administration / Regional Manager.
-------------------------------------------------------------------

APPLICATION INSTRUCTIONS:

All the interested and qualified Tanzanians are invited to submit their applications in writing enclosing detailed curriculum vitae and certified copies of relevant education and professional certificates, together with names of two referees and their contact addresses, telephone number (s) and e-mail addresses, so as to reach the addressee mentioned below not later than Thursday, 06th March, 2014 -16:30 hrs. 

Only short listed candidates will be contacted. 
Please apply to: 
Regional Manager, 
TANROADS, 
P.O.Box 31, 
Songea.
Source:Daily News, 7th February 2014
&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&


WEIGHBRIDGE OPERATOR (8 POSTS)
COMPANY:TANROADS
POSITION DESCRIPTION:
KEY QUALIFICATIONS FOR THE WEIGH BRIDGE OPERATOR;

  • Holder of full Technician Certificate in Civil Mechanical or Electrical Engineering (FTC) (Higher qualification will be advantageous);
  • Must be Computer literate (at least Advanced Certificate in Computer Applications);
  • Must be fluent in both written and spoken Kiswahili and English languages;
  • Must be a Tanzanian Citizen; Not above 35 years of age Duties and Responsibilities of the Weighbridge Operator
THE HOLDER OF THIS POST WHO REPORTS TO SHIFT IN-CHARGE WILL BE RESPONSIBLE FOR:
  • Enforcing Road Traffic Axle Load Control by the use of Weighbridge scale devices;
  • Carrying out activities as described in the Road Traffic (maximum Weigh of Vehicles) Regulations, 2001 which include the following:
  • Weighing Motor Vehicles Gross Vehicle Weight (GVW) > 3.500kg plying on our public Roads; Imposing road damage fees on the spot for overloaded motor vehicles;
  • Measuring physical dimensions of motor vehicle or any load being carried on the motor vehicle for determining compliance or non- compliance with vehicle dimension limits by the transporter for provision of relevant advice;
  • Recording all necessary particulars regarding the motor vehicle being weighed;
  • Observing good customer care, dignity and integrity;
  • Reporting all matters of the respective shift to the Shift In-charge; Performing other duties as may be assigned from time to time by the Shift In-charge I Regional Manager.
----------------------------------------------------------------------

APPLICATION INSTRUCTIONS:

All the interested and qualified Tanzanians are invited to submit their applications in writing enclosing detailed curriculum vitae and certified copies of relevant education and professional certificates, together with names of two referees and their contact addresses, telephone number (s) and e-mail addresses, so as to reach the addressee mentioned below not later than Thursday. 06th March, 2014 -16:30 hrs. 

Only short listed candidates will be contacted. 
Please apply to: 
Regional Manager, 
TANROADS, 
P.O.Box 31, 
Songea.
Source:Daily News, 7 February 2014
&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&


SHIFT IN-CHARGE (4 POSTS)
COMPANY:TANROADS
POSITION DESCRIPTION:
KEY QUALIFICATIONS FOR THE SHIFT IN-CHARGE:

  • Holder of 1st Degree in any profession(Higher qualification will be advantageous);
  • Must be Computer literate (at least Advanced Certificate in Computer Applications);
  • Must be fluent in both written and spoken Kiswahili and English languages;
  • Must be a Tanzanian Citizen; Between 35 to 40 years of age
DUTIES AND RESPONSIBILITIES OF SHIFT IN-CHARGE:
  • The shift In-charge who reports to the Regional Manager will be responsible for:
  • Enforcing Road Traffic Axle Load Control by the use of Weighbridge scale devices;
  • Supervising shift activities that among others including:
  • Weighing motor vehicles Gross Vehicle Weight (GVW) > 3.500kg plying on our public Roads;
  • Imposing road damage fees on the spot for overloaded vehicles;
  • Measuring physical dimensions of motor vehicle or any load being carried on the motor vehicle for providing advices to transporters incase of non compliance with vehicle dimension limit;
  • Recording all necessary particulars regarding the motor vehicle being weighed;
  • Observing good customer care, dignity and integrity;
  • Reporting all matters on Axle Load Control to the Regional manager;
  • Performing other duties as may be assiqned from time to time by the Regional Manager;
--------------------------------------------------------------------

APPLICATION INSTRUCTIONS:

All the interested and qualified Tanzanians are invited to submit their applications in writing enclosing detailed curriculum vitae and certified copies of relevant education and professional certificates, together with names of two referees and their contact addresses, telephone number (s) and e-mail addresses, so as to reach the addressee mentioned below not later than Thursday,06th March, 2014 16:30 hrs. 

Only short listed candidates will be contacted. 
Please apply to: 
Regional Manager 
TANROADS 
P.O.Box 31 
Songea.
Source:Daily News, 7th February 2014

Familia yaishi chooni ni baada ya nyumba yao kuezuliwa na upepo wilayani Hai, Kilimanjaro

$
0
0
 Aziza Mohamed(55)akiwa na mjukuu wake katika choo ambacho hivi sasa wamekigeuza kuwa makazi baada ya mvua iliyoambatana na upepo mkali kuezua nyumba yake wilayani Hai.
 Aziza Mohamed(55)akiwa na mjukuu wake katika choo ambacho hivi sasa wamekigeuza kuwa makazi baada ya mvua iliyoambatana na upepo mkali kuezua nyumba yake wilayani Hai.

 Nyumba ambayo familia ya Aziza Maohamed ilikuwa ikiishi awali kabla ya kuezuliwa na upepo mkali ulioambatana na mvua katika kitongoji cha Kijweni kijiji cha Mijongweni kata ya Machame/Weruweru.
 Sehemu ambayo analala kwa sasa mtoto wa Aziza Mahamed,Sikujua Aloyce.
 Nyumba ya familia ya Aziza Mohamed iliyoezuliwa na upepo mkali ulioambatana na mvua iliyonyesha wiki iliyopita wilayani Hai.
Misaada toka Bonite bottlers ikishishwa
Mabati yakishushwa kijijni hapo
 Mkuu wa kitengo cha mauzo na masoko wa kampuni ya Bonite Bottlers Christopher Loiruk akikabidhi msaada wa bati na chakula kwa mkuu wa wilaya ya Hai ,Novatus Makunga kwa ajili ya wahanga wa mvua iliyoambatana na upepo iliyoezua paa za nyumba huku kaya zaidi ya 1000 zikikosa makazi na chakula
 Mkuu wa kitengo cha mauzo na masoko wa kampuni ya Bonite Bottlers Christopher Loiruk akikabidhi msaada wa bati na chakula kwa mkuu wa wilaya ya Hai ,Novatus Makunga kwa ajili ya wahanga wa mvua iliyoambatana na upepo iliyoezua paa za nyumba huku kaya zaidi ya 1000 zikikosa makazi na chakula
 Choo hicho kinavyoonekana kwa nje.
 Baadhi ya majengo yaliyoezuliwa na upepo katika kitongoji cha Kijiweni wilayani Hai.
Hali mbaya
Mkuu wa wilaya ya Hai ,Novatus Makunga akiteta jambo na katibu wa mbunge wa jimbo la Hai,Richard Mtui.Kulia kwa ni mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Hai,Merikizedeck Humbe.

Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii,Moshi. 
 FAMILIA moja ya watu watatu akiwemo mtoto wa umri wa miaka saba imelazimika kuhamishia makazi chooni baada ya paa la nyumba waliyokuwa wakiishi kuezuliwa na upepo mkali ulioambatana na mvua iliyonyesha wiki iliyopita katika wilaya ya Hai. 
 Familia hiyo ya Aziza Mohamed (55) mwanae wa kiume, Sikujua Aloyce (40) na mjukuu wake wakazi wa kitongoji cha Kijiweni kijiji cha Mijongweni kata ya Machame Weruweru imekuwa ikiishi kwa zaidi ya siku 14 katika choo hicho ambacho paa lake lilisalimika wakati mvua hiyo ikinyesha. 
 Akizungumzia tukio hilo Aziza alisema wakati mvua hiyo iliyoambatana na upepo mkali ikinyesha alikuwa ametoka nyumbani kwake na kwamba baada ya kuona hali imekuwa mbaya akalazimika kukimbia kurudi nyumbani. 
 "Mvua ilivyokuja nilikuwa sipo nilivyoona hali imekuwa ni mbaya na upepo uliokuwepo ikabidi nikimbilie nyumbani ,nikaanza kumtafuta huyu mtoto na baba yake,nikawa na tangatanga nataka nipike sasa vile nashangaa shangaa kutaka kujua mtoto yuko wapi nikaona kidogo nyumba inafunuliwa bati nikiwa humo humo ndani."alisema Aziza. 
 "Kumbe mtoto na baba yake walikuwa wako chumba cha pili Nyumba kubwa ndipo baadae nikamsikia mtoto ikabidi nianze kupiga kelele tokeni huko tokeni huko,ndio wakatoka ikabidi tukimbilie huku chooni tukaja kupumzika mpaka mvua ikaisha ambako tunaishi hadi sasa."aliongeza Aziza.
 Alisema hivi sasa choo hicho wamekuwa wakikitumia nyakati za mchana kwa ajili ya kujisaidia na kwamba ifikapo usiku hulazimika kufunika shimo la choo hicho kwa gunia ,na kisha kuweka matandiko kwa ajili ya kulala. 
 Mengi,Mbowe watoa msaada wa chakula na bati. 
 Mwenyekiti mtendaji wa makampuni ya IPP, Reginald Mengi kupitia kampuni tanzu ya Bonite Bottlers ya mjini Moshi ametoa msaada wa mabati 200,kilogramu 2500 za unga pamoja na kilogaramu 100 za maharage kwa ajili ya kusaidia familia zilizo athirika na mvua hizo. 
 Akikabidhi msaada huo juzi mkuu wa kitengo cha mauzo na masoko wa kampuni ya Bonite Bottlers Christopher Loiruk alisema Mwenyekiti wa makampuni ya IPP,Mengi pamoja na uongozi wa kiwanda umeguswa na tatizo hilo kwa kuona kuwa walioathirika ni watanzania wenzetuhivyo hawana budi kupatiwa msaada. 
 "Kama Bonite Bottlers na Mwenyekiti wetu ,Reginald Mengi tumeguswa na tatizo hili kwa kuona kuwa hawa ni Watanzania wenzetu,wana Kilimanjaro wenzetu,ndugu zeti na tunafahamu matatizo hayapigi hodi, kwa hiyo yanapotokea ni lazima sote tuoneshe uzaledo ili tuweze kusaidiana"alisema Loiruk. 
 "Tumeanza kwa kutoa mabati 200,tuna vyakula unga kilo 2500,na maharage kilo 100 tunaomba muwakilishe kwa waathirika ,tunaomba makampuni mengine na hata watu binafsi waweze kuja kuwasaidia hawa watu ambao hawana mahala pa kukaa na hata chakula."aliongeza Loiruk. 

 Kwa upande wake katibu wa mbunge wa jimbo la Hai,Richard Mtui alisema Mbunge wa jimbo la Hai ,Freeman Mbowe tayari amekabidhi bati 26 kwa familia zilizofikwa na tatizo hilo huku akiahidi kutoa kiasi cha sh milioni 7 ambapo sehemu ya fedha hizo zinatoka katika mfuko wa jimbo wa Mbunge .
Viewing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>