Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Viewing all 20290 articles
Browse latest View live

PROFESA ELISANTE: MILANGO IKO WAZI KWA VIONGOZI WA VYAMA

$
0
0
PIX1Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akifafanua jambo kwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo wa Tennis Tanzania(TTA) Bw. William Kallaghe(kushoto) alipokutana naye ofisini kwake jana jijini Dar es Salaam.PIX2Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo wa Tennis Tanzania(TTA) Bw. William Kallaghe(kushoto) aakimwelezea jambo Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel alipomtembelea ofisini kwake jana jijini Dar es Salaam.PIX3Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Leonard Thadeo(kulia) akifafanua jambo wakati wa kikao cha pamoja baina ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel(katikati) na Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo wa Tennis Tanzania(TTA) Bw. William Kallaghe(kushoto) jana jijini Dar es Salaam.
PIX4Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda (kushoto) akifafanua jambo wakati wa kikao cha pamoja baina ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel(kulia) na Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo wa Tennis Tanzania(TTA) Bw. William Kallaghe(katikati) jana jijini Dar es Salaam.PIX5Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel (kulia) akiagana na Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo wa Tennis Tanzania(TTA) Bw. William Kallaghe(kushoto) mara baada ya kumaliza mazungumza yao jana jijini Dar es Salaam.PIX6
 Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda (katikati) akiteta jambo mara baada ya kikao chao kumalizika, kulia Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo nchini Bw. Leonard Thadeo na kushoto ni Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo wa Tennis Tanzania(TTA) Bw. William Kallaghe jana jijini Dar es Salaam.
PIX7
Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Leonard Thadeo, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijina, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel, Katbu Mkuu wa Chama cha Mchezo Tennis Tanzania (TTA) Bw. William Kallaghe na Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo Bi. Juliana Yassoda wakiwa katika p[icha ya pamoja mara baada ya kumaliza kikao chao jana jijini Dar es Salaam.
Picha zote na Frank Shija – Wizara ya Habari.
……………………………………………………………………………………………
Na  Frank Shija – WHVUM
Viongozi wa vyama vya michezo nchini wametakiwa kutmia fursa zilizopo kukutana na  viongozi wa Serikali ili kujadili kwa pamoja namna ya kuendeleza sekta ya michezo hapa nchini.
Rai hiyo imetolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel alipokutana Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo wa Tennis Tanzania (TTA) Bw. William Kallaghe alipomtembele ofisini kwake jana jijini Dar es Salaam.
Profesa Elisante alisema kuwa ni vyema viongozi wa vyama vya michezo kushirikiana na Serikali katika kutafuta namna ya kuendeleza michezo nchini badala ya kukaa na kulalamikia pembeni.
Aidha amesema kuwa milango iko wazi kwa viongozi wa vyama vuya michezo kufika katika ofisi za Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo na kuongeza kuwa atafarijika sana akiona kasi ya viongozi hao kutembelea Wizarani hapo ikiongezeka.
“Natao wito kwa viongozi wa vyama vya michezo nchini wajenge utamaduni wa kushirikiana na Serikali kupitia Wizara hii ili kutafuta namna na njia bora ya kuendeleza sekta ya michezo hapa nchini badala ya kukaa pembeni na kuiilaumu Serikali, kwakweli hii si sawasawa” Alisema Profesa Elisante.
Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo wa Tennis Tanzania (TTA) Bw. William Kallaghe ameipongeza Serikali kupitia Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kwa ushirikiano ambao wamekuwa wanautoa kwa vyama vya michezo hapa nchini na kusema kuwa hii inaleta faraja kuwafanya kutokuwa wapweke.
Kallaghe aliongeza kuwa ni vyema sasa viongozi wa vyama vya michezo wakatambua umuhimu wa kufanya kazi kwa karibu na Serikali ili kuleta ufanisi katika kutekeleza majukumu yao mbalimbali.
 
Aliongeza kuwa atahakikisha anahamasisha viongozi wenzake kutumia fursa za kukutana na viongozi wa Serikali ili kukaa meza moja na kujadiliana namna ya kuboresha sekta ya michezo hapa nchini.

IGP MANGU, CHAGONJA WAKEMEA UHALIFU

$
0
0
db950-3Na Frank Geofray wa Jeshi la Polisi, Moshi.
Jeshi la Polisi Nchini litaendelea kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia na vitendo vya mauaji yanayosababishwa na Imani za kishirikina kwa kuendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya madhara ya vitendo hivyo.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu katika mkutano mkuu wa maofisa wakuu waandamizi unaoendelea katika chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA) ukiwa na kauli mbiu isemayo “Zingatia Weledi katika Kutoa Huduma bora kwa jamii”.
IGP Mangu  alisema kuna baadhi ya jamii zinafanya vitendo hivyo kama tamaduni zao hivyo wao kwa kuliona hilo wataendelea kutoa elimu kwa njia mbalimbali kwa kushirikiana na Taasisi nyingine ili kuhakikisha kuwa vitendo hivyo vinakomeshwa hapa nchini.
“Tuendelee kutoa elimu kwa jamii lakini pia tutaenelea kuchukua hatua kwa wote wanaofanya makosa hayo kwa kuwa huo ni uhalifu kama ulivyo uhalifu mwingine” Alisema IGP Mangu.
Naye Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja amewataka Makamanda wa Polisi wa mikoa kushirikiana na Taasisi nyingine za Serikali katika kutatua migogoro ya Ardhi ili kuipatia ufumbuzi mapema kabla ya vurugu kutokea jambo ambalo litaendeleza usalama hapa nchini.
Alisema ni vyema Taasisi husika kushirikiana mapema katika kutatua migogoro katika jamii kabla haijaleta madhara kwa kuwa  iwapo hilo litafanyika itaepusha uharibifu na gharama ambazo hutumika katika kutatua mgogoro unapokuwa mkubwa na kusababisha vurugu.
Kwa upande wake Kamishna wa Polisi Jamii nchini Mussa Ali Mussa alisema wataendelea kutumia dhana ya Polisi Jamii katika kupambana na uhalifu kabla haujatokea kwa kuwa wananchi wameonyesha mwitikio mkubwa tangu kuanzishwa kwa dhana hiyo.
Alisema kwa Mujibu wa Utafiti uliofanywa na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa ufadhili wa COSTEC umeonyesha kuwa Asilimia 70 ya watanzania wamekubali dhana ya Polisi Jamii na wameonyesha kuikubali kwa kuwa imesaidia kupambana na uhalifu unaotokea katika maeneo yao.
Mkutano huo unaoendelea katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi una lengo la kujadili na kufanya tathmini ya mafanikio yaliyofikiwa mwaka 2013 pamoja na changamoto zilizopo katika kupambana na uhalifu na kuzipatia ufumbuzi kwa mwaka 2014.

MSAMARIA MWEMA KUTOKA UINGEREZA ATUMA MISAADA KWA MZAZI WA MAPACHA WA NNE MKOANI MBEYA

$
0
0
Misaada ya hali na mali imeanza kumiminika kwa ajili ya Aida Nakawala (25) mkaazi wa kijiji cha Chiwanda, Wilaya ya Momba, Mkoa wa Mbeya, ambaye alijifungua watoto wanne mapacha kwa mkupuo (Quadruplets) usiku wa kuamkia Mwaka mpya wa 2014 katika Hospitali ya Wazazi ya META jijini Mbeya. 
 Msamaria mwema wa Uingereza, Bi Gladness Sariah, ametuma maboksi mawili yenye nguo na vitu kadhaa vya watoto, ambavyo vimewasili salama katika ofisi za Michuzi Media Group (MMG) inayoendesha Globu ya Jamii jijini Dar es salaam baada ya kusafirishwa bure na Wazee wa Kazi, Serengeti Freight Forwarders ya huko Uingereza. 
 Hivi sasa MMG ikishirikiana na waratibu wa misaada kwa mama huyo, Mbeya Yetu Blog, wanaandaa utaratibu wa kumfikishia Mama Aida mizigo yake haraka iwezekanavyo. 
 Kwa niaba ya mzazi wa mapacha hao, Michuzi Blog na Mbeya Blog zinatoa shukrani za dhati kwa msamaria mwema Gladness Sariah kwa wema na upendo aliouelekeza kwa mzazi huyo. Huo ni mfano wa kuigwa, na tunatarajia misaada zaidi itatolewa na wasamaria wema ambao tunajua mko wengi kila kona ya dunia. 
 Kama umeguswa na hili na unataka kutoa msaada tafadhali wasiliana na issamichuzi@gmail.com ama j.mwaisango@tonemg.com nasi tutafikisha ubani wako. 
 Muhidin Issa Michuzi 


Aida Nakawala 25 mkazi wa kijiji cha Chiwanda Wilaya ya Momba Mkoa wa Mbeya, hivi karibuni alijifungua watoto wanne  mapacha kwa mkupuo(Quadliplets) katika usiku wa kuamkia Mwaka mpya anaendelea vizuri.
Mwanamke huyo ambaye kwa hivi sasa anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Wazazi ya Meta akiwa na watoto wake wote wanne alijifungua majira ya saa 10 alfajiri usiku wa kuamkia Januari Mosi Mwaka huu katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi na watoto wakiwa na uzito wa kawaida tofauti na matarajio ya Wengi.




3 wauawa katika mashambulizi Beirut

$
0
0

Majeruhi wa mashambulizi mjini Beirut
Kumetokea mashambulio mengine ya mabomu Kusini mwa mji mkuu wa Lebanon, Beirut.
Maafisa wa usalama wanasema washambulizi wawili wa kujitoa muhanga walijilipua karibu na kituo cha kitamaduni cha Iran na kuwauwa watu 3 huku wakiwajeruhi wengi.
Kituo cha televisheni cha Hezbollah al-Manar pamoja na duru za kiusalama , zimesema kuwa kilichotokea ni mashambulizi mawili ya kigaidi huku mshambuliaji wa kwanza akilipua mabomu aliyokuwa ametega ndani ya gari. Punde baada ya shambulizi hilo, lengine la pili likatokea.Ni shambulizi la hivi karibuni katika msururu wa mashambulizi katika eneo ambalo ni ngome ya kundi la dhehebu la kishia la Hezbollah.
Bomu la pili lilikuwa limetegwa juu ya pikipiki.
Milipuko hiyo imesababisha uharibifu mkubwa wa maduka na majengo katika eneo hilo.
Ubalozi wa Iran, ulisema kuwa hapakuwa na majeraha makubwa kwa wafanyakazi wake wa kituo chake cha kitamaduni ambacho huenda kililengwa kwa mashambulizi.

Mabomu hayo pia yalililipukia karibu na ofisi za ubalozi wa Kuwait, lakini umesema kuwa wafanyakazi wake hawakujeruhiwa.
Mnamo mwezi Novemba, zaidi ya watu 20 waliuawa katika mashambulizi kama haya ya kujitoa mhanga dhidi ya ubalozi wa Iran.
Tangu hapo kumeshuhudiwa mashambulizi ya mara kwa mara licha ya usalama kudhibitiwa vikali
CHANZO BBCSWAHILI

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA NA MATUKIO YA BUNGE LA KATIBA DODOMA

$
0
0
PG4A0417Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba , Saidi Mohamed Mtunda (katikati) na Subira Mgalu kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma  Februari 19,2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)PG4A0435Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na wajumbe wa  Bunge Maalum la Katika kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Februari 19, 2014. Kutoka kushoto ni Dominick Lyamchay, Rashid Mtuta, Consitantine Akitanda na  Fahmi Fovutwa.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

WATAALAMU CHUO KIKUU WATOA RIPOTI YA UZIMAJI WA MITAMBO YA ANALOJIA AWAMU YA KWANZA

$
0
0
DSC_3834
1.0  UTANGULIZI
Mamlaka ya Mawasiliano imepokea matokeo ya tathmini ya zoezi la uhamaji toka mfumo wa utangazaji wa analojia kwenda kidijiti. Zoezi hili lilifanyika kwenye miji saba kama ilivyotajwa kwenye taarifa iliyotolewa na wataalamu wa Chuo kikuu cha Dar e salaam waliofanya tathmini ya Uzimaji wa Mitambo ya Analojia katika Awamu ya Kwanza.Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilifanya kamisheni kwa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kufanya tathmini ya uzimaji wa Mitambo ya Analojia katika Awamu ya Kwanza, ikitambua kuwa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam kuna wataalamu wenye uzoefu mkubwa wa kufanya tathmini za aina mbalimbali, na kwamba uzoefu huo utasaidia sana kuhakikisha kuwa tunapata taarifa ya uhakika itakayotuwezesha kuboresha zoezi hili kwenye awamu inayofuata.Nachukua nafasi hii kuwapongeza wataalamu waliohusika katika tathmini hii kwa weledi wao kwenye kazi hii muhimu kwa taifa letu kulingana na matokeo yaliyowasilishwa kitaalamu mbele yenu waandishi wa habari leo hii.Tanzania ni nchi ya kwanza kuzima mtambo ya analojia Barani Afrika. Uamuzi wa kufanya hivyo, na matokeo yake, umeiletea sifa kubwa nchi yetu kwa jinsi ambavyo Tanzania ilijipanga na kutekeleza maazimio yaliyofikiwa kimataifa kwa wakati na weledi mkubwa. Hii imeonyesha wazi jinsi Serikali ilivyoweza kushirikiana na taasissi zake pamoja na wadau wote katika kutimiza azma hii iliyoafikiwa kimataifa tangu 2006.Zoezi la uzimaji mitambo kwa awamu ya kwanza iliyoanza taree 31 disemba 2013 halikuwa rahisi kama wengi wetu tunavyoweza kufikiria, kwani liligusa nyanja nyingi zikiwemo za kijamii, kibiashara, kiufundi na Kisiasa. Mamlaka kama mdhibiti wa sekta ya Mawasiliano, ilibidi kuzingatia matakwa ya nyanja zote na wadau mbalimbali bila kuathiri utoaji wa habari nchini. Inakadiriwa kuwa mpaka kumaliza zoezi hili, mitambo ya kurushia matangazo kwa mfumo wa analojia isiyopungua 60 itakuwa imezimwa. Hali hii imefanya Tanzania kuwa nchi ya pekee na kuifanya nchi yetu kuwa kituo cha mafunzo kwa nchi nyingi ambazo sasa zimekuwa zikifika kujifunza hapa nchini.

Uamuzi wa kufanya mkutano wa nchi za SADC na ule wa nchii za Jumuiya ya Madola kuhusu Mfumo mpya wa utangazaji wa kidijiti kwa sekta ya utangazaji hapa nchini hivi karibuni, ni matokeo ya mafanikio makubwa tuliyo yapata kwenye zoezi hili lililoendeshwa kitaalamu na Serekali yetu kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
2.0  UPELEKAJI WA MKONGO WA TAIFA KWENYE VITUO VYA KURUSHIA
MATANGAZO
Mamlaka ya Mawasiliano kwa kushirikiana na Wizara na Kampuni ya Simu ya TTCL tuko kwenye mchakato wa kuhakikisha kuwa vituo vyote vya kurushia matangazo vinafikiwa na mkongo wa Taifa (Optic fiber cable).

Madhumuni ya jitihada hizi, ni kuona kuwa mbali na huduma ya msingi ya kurusha matangazo ya televisheni, vituo vya utangazaji vinatoa huduma za ziada zipatikanazo kwenye mfumo wa kidijiti. Kwa lugha ya kitaalam ni “interactive services”. Napenda kuchukua nafasi hii kuvitaka vituo vya utangazaji vyote nchini kuwa wabunifu na kutumia fursa zilizopo kwenye teknolojia hii ya kidijiti ili wananchi waweze kuona tofauti kubwa kati ya mfumo wa zamani wa analojia na huu mpya wa kidijiti.

3.0   UZIMAJI MITAMBO YA ANALOJIA AWAMU YA PILI
Baada ya kupokea matokeo ya tathmini Awamu ya Kwanza, Mamlaka ya Mawasiliano inajipanga kuzima mitambo kwa awamu ya pili na ya mwisho. Katika awamu hii, inategemewa miji 12 itahusika na uzimaji wa mitambo ya analoja. Lakini kama maafikiano yalivyofanyika awali, uzimaji utafanyika tu pale ambapo huduma za utangazaji wa kidijiti umefika.  Vigezo vyote vitano tulivyokubaliana na wadau vitahakikishwa kuwa vinatimizwa kabla ya kuzima mitambo hiyo.
Ni matarajio ya Mamlaka kuwa wasimikaji wa mitambo ya kidijiti (Multiplex Operators) wataendelea kwa kasi ufungaji wa mitambo hiyo hasa kwenye maeneo ambayo mfumo wa analojia unatumika. Mpaka sasa miji mingine 7 inapata huduma ya matangazo ya kidijiti nayo ni Morogoro, Singida, Tabora, Musoma, Kigoma, Bukoba na Kahama. Mchakato wa kufunga mitambo ya kidijiti kwenye miji iliyobaki inaendelea vizuri. Tunatarajia kuwa vituo vya utangazaji vitatoa ushirikiano mkubwa kama ule tulioupata kwenye awamu ya kwanza.
 Mamlaka imeyachukua mapendekezo yote yaliyotolewa kwenye ripoti hii na tunaahidi kuwa tutayafanyia kazi. Yale yaliyo nje ya uwezo wetu tutayafikisha mahali panapohusika kwa utekelezaji zaidi.
Mwisho, napenda kuwafahamisha kuwa Mamlaka imependekeza rasimu ya ratiba ya uzimaji mitambo awamu ya pili na ya mwisho itakayotangazwa na Waziri mwenye dhamana ya sekta ya Mawasiliano hivi karibuni.
Katika mapendekezo ya Mamlaka, tunakusudia kuanza awamu ya pili katika miji ya Singida na Tabora mnamo mwishoni wa mwezi Machi 2014. Miji mingine katika awamu ya pili itakuwa Musoma, Bukoba, Morogoro, Kahama, Iringa, Songea na Lindi. Awamu ya pili inategemewa kukamilika mwishoni mwa mwezi Oktoba 2014.
Nia ya Mamlaka ni kuona zoezi hili la uhamaji kutoka mfumo wa utangazaji wa analojia kwenda mfumo wa kidijiti linakamilka katika nchi yetu kabla ya kufikia ukomo wa matangazo ya analojia kama ilivyoelekezwa na Shirika la Umoja wa Mataifa linalosimamia Mawasiliano Duniani (ITU) siku ya tarehe 17 Juni 2015.
Imetolewa na:
MKURUGENZI MKUU
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
19 February 2014

WANAMUZIKI WATAKAOSHIRIKI TAMASHA LA PASAKA KUPIGIWA KURA NA MASHABIKI

$
0
0
1Bw. Alex Msama Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka akizungumzia maandalizi ya tamasha hilo ambapo amesema utaratibu wa kuwapata waimbaji katika tamasha hilo mwaka huu waimbaji wote watakaoshiriki watapigiwa kura na mashabiki wa muziki wa injili ili kuleta ushindani kati ya waimbaji, lakini pia kuwaachia mashabiki wenyewe wachague ni mwimbaji gani wanamuhitaji katika tamasha hilo badala ya kutumia utaratibu wa mwanzo.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)2Bw. Alex Msama Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka akisisitiza jambo wakati alipokuwa akihojiwa na waandishi wa habari kutoka TV Tumaini ya jijini Dar es salaam.
3Tamasha la Pasaka ndiyo tamasha pekee kubwa la muziki wa inijili linalofanyika kila mwaka nchini Tanzania likishirikisha waimbaji mbalimbali kutoka ukanda wa Maziwa Makuu, Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika na limekuwa ni kivutio kikubwa kwa mashabiki na wapenzi wa muziki wa injili.

TAARIFA YA IKULU YA UFAFANUZI KUHUSU BARAZA LA MAASKOFU WA KIPENTEKOSTE TANZANIA (PENTECOSTAL COUNCIL OF TANZANIA) KUTOKUWA NA UWALIKILISHI KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA


MAMA ASHA BILALI AJIUNGA NA MFUKO WA HIFADHI YA JAMII WA PPF LEO KWENYE TAMASHA LA WANAWAKE NA AKIBA

$
0
0
 Mke wa Makamu wa Raisi Bi Asha Bilali akipata maelezo ya Kujiunga na Mfuko wa hifadhi ya Jamii wa PPF Kutoka kwa Meneja Mahusiano na Masoko wa Mfuko huo wa PPF Bi Lulu Mongere wakati alipofika katika banda la PPF kwenye Tamsha la Wanawake na Akiba katika Ukumbi wa Dar Live mapema leo
Mgeni rasmi wa tamasha la Wanawake na Akiba na ambae ni Mke wa Makamu wa Raisi Tanzania Bi Asha Bilali akijaza fomu ya Kujiunga na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa PPF wakati alipotembelea banda la PPF kwenye Tamasha la wanawake na Akiba lililofanyika leo Katika Ukumbi wa Dar Live, Wanaoshuhudia ni Maafisa wa Mfuko wa PPF.
Mgeni rasmi ambae pia ni Mke wa Makamu wa raisi wa Tanzania Bi Asha Bilali akipigwa picha kwaajili ya kupata kitambulisho cha PPF mara baada ya kujaza fomu ya kujiunga na mfuko wa PPF mapema leo katika Tamasha la Wanawake na Akiba lililofanyika katika Ukumbi wa Dar Live mapema leo, Wanaoshuhudia pembeni ni Maafisa wa Mfuko wa PPF.
Mgeni rasmi ambae pia ni Mke wa Makamu wa Raisi wa Tanzania, Bi Asha Bilali akiwa katika picha ya pamoja na maafisa wa mfuko wa hifadhi ya Jamii wa PPF wakati alipotembelea Banda la PPF leo katika tamasha la Wanawake na Akiba lililofanyika katika Ukumbi wa Dar Live mapema leo asubuhi.
Meneja Mahusiano na Masoko wa Mfuko wa hifadhi ya Jamii wa PPF Bi Lulu Mongere (Wa kwanza kulia) akitoa Maelezo Kwa wakazi wa jiji la Dar waliofika katika Banda lao Kwaajili ya Kujiunga na Mfuko wa Hiari kutoka PPF.
 Mkazi wa Jiji la Dar ambaye jina lake halikupatikana mara moja akifurahia kuchukua fomu ya kujiunga na Fao la Hiari kutoka Mfuko wa hifadhi ya Jamii  wa PPF mara baada ya kufika katika banda lao kwenye Tamasha la Wanawake na Akiba lililofunguliwa leo Katika Ukumbi wa Dar Live.Anayempatia Fomu ni Meneja Masoko na Mahusiano wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa PPF Bi Lulu Mongere
Meneja Mahusiano na Masoko wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa PPF Bi Lulu Mongere akitoa maelekezo ya ujazaji wa fomu za kujiunga na Fao la Hiyari kwa wakazi wa jiji la Dar Waliofika katika banda lao lililopo kwenye Tamasha la Wanawake na Akiba lililofanyika Katika Ukumbi wa Dar Live.
 Wakazi wa Jiji la Dar Wakipata maelezo juu ya kujiunga na fao la hiyari kutoka kwenye mfuko wa hifadhi wa jamii wa PPF kutoka kwa Maafisa wa Mfuko huo wa PPF katika banda lao lililopo katika Tamasha la Wanawake na Akiba lililofanyika leo katika Ukumbi wa Dar Live.
Wakazi wa Jiji la Dar Wakifurahi pamoja na Maafisa wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Wa PPF mara baada ya Kujiunga na Mfuko huo wakati walipofika katika Banda la PPF kwenye Tamasha la Wanawake na Akiba lililofanyika katika Ukumbi wa Dar Live Mapema leo asubuhi.

Prisons yaigagadua JKT Ruvu 6-0

$
0
0

Prisons
MABINGWA wa zamani wa Tanzania, Prisons ya Mbeya jioni ya leo imetoa kisago cha aina yake kwa maafande wenzao wa JKT Ruvu kwa kuitandika mabao 6-0 katika pambano pekee la Ligi Kuu Tanzania Bara lililochezwa nchini leo.
Pambano hilo limechjezwa kwenye uwanja wa Sokoine, Mbeya ambapo mechi hiyo ya 'kiporo' ilishuhudia wenyeji wakipata mabo yao kupitia kwa Peter Michael aliyefunga mabao mawili, Omega Seme, Nurdin Chona, Lugano Mwangama na Frank William na kuiwezesha timu hiyo kuchupa hadi nafasi ya 9 ikiwa na pointi 19 sawa na JKT wanaoshuka hadi nafasi ya 10 kuipisha Prisons kwa tofauti na mabao ya kufunga na kufungwa.

Kipigo hicho kinaweza kuwa mwanzo mbaya kwa JKT inayojiandaa kushuka dimbani Jumapili dhidi ya Simba, kwani katika mechi nne zilizopita timu hiyo imeambulia pointi moja tu.

Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2013-2014                                        P    W     D     L      F     A    GD  PTS
01.Azam                    16  10    06     00   29   10   19   36
02.Yanga                   16  10    05     01   34   12   22  35
03.Mbeya City           18   09    08   01   24   14   10  35
04.Simba                   18   08    08   02   33   16   17  32
05.Ruvu Shooting      18   06    07    05  20  19   01  25
06.Kagera Sugar        18   05    08   05   15  15   00  23
07.Coastal Union       18   04    10    04  12  09   03  22
08.Mtibwa Sugar        18   05    07    06   21  22  -01 22
09.Prisons                  17   04    07    05   15  16  -01 19
10. JKT Ruvu             18   06    01    11   13   27  -14 19
11.Mgambo                18   04    05    09    10  26 -16  17
12.Oljoro                    19   02    09    08    14  28 -14  15
13.Ashanti                  17   03    05    09   14  28 -16  14
14.Rhino Rangers      18   02    07    09   12  22 -10  13

Wafungaji:14- Tambwe Amisi (Simba)
09- Elias Maguri (Ruvu Shooting), Kipre Tchetche (Azam)
08- Hamis Kiiza (Yanga), Juma Luizio (Mtibwa Sugar)
06- Themi Felix (Kagera Sugar), Mrisho Ngassa, Didier Kavumbagu (Yanga), Peter Michael (Prisons)
05- Tumba Sued (Ashanti Utd), Jerry Santo (Coastal Union), Jerome Lambele (Ruvu Shooting)
04- Jerry Tegete (Yanga), Jonas Mkude, Betram Mombeki (Simba), Bakar Kondo, Salum Machaku (JKT Ruvu), 
03- Haruna Chanongo, Ramadhani Singano (Simba), Paul Nonga (Mbeya City), Salum Machaku (JKT Ruvu), Humphrey Mieno, Mcha Khamis (Azam), Amir Omary (Oljoro), Jeremia John (Mbeya City), Said Dilunga (Ruvu Shooting)

Matukio zaidi mbalimbali mjini Dodoma linakoendelea Bunge Maalum la Katiba

$
0
0
WMK

Waziri Mkuu  ambaye pia ni Mjumbe wa Mkutano Maalum wa Bunge la Katiba Mizengo Peter Pinda (kushoto) akibadilishana mawazo na wajumbe mwenzake (kulia) wa Mkutano wa Bunge Maalum la Katiba jana mjini Dodoma wakati wa mapumziko.
2B
Mjumbe wa Mkutano wa Bunge Maalum  la Katiba  Joshua Nasari(kushoto) akibadilishana mawazo na Mjumbe mwenzie ambaye pia ni Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Jenista Mhagama(kulia) jana mjini Dodoma wakati wa mapumziko.

mtanda
 Waziri Mkuu  ambaye pia ni Mjumbe wa Mkutano Maalum wa Bunge la Katiba Mizengo Peter Pinda (kushoto) akibadilishana mawazo na mjumbe mwenzake Said Mtanda (kulia) jana mjini Dodoma wakati wa mapumziko.
1B
 Mjumbe wa Mkutano wa Bunge Maalum  la Katiba ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha Mwingulu Nchemba (kushoto) akibadilishana mawazo na wajumbe mwenzie  Zitto Kabwe(kulia) na Albert mjini Dodoma wakati wa mapumziko.
WAJUMBE

Wajumbe wa Mkutano wa Bunge Maalum la Katiba wakibadilishana mawazo na jana mjini Dodoma wakati wa mapumziko.Picha na MAELEZO-Dodoma.

Matukio zaidi mbalimbali mjini Dodoma linakoendelea Bunge Maalum la Katiba

$
0
0
WMK

Waziri Mkuu  ambaye pia ni Mjumbe wa Mkutano Maalum wa Bunge la Katiba Mizengo Peter Pinda (kushoto) akibadilishana mawazo na wajumbe mwenzake (kulia) wa Mkutano wa Bunge Maalum la Katiba jana mjini Dodoma wakati wa mapumziko.
2B
Mjumbe wa Mkutano wa Bunge Maalum  la Katiba  Joshua Nasari(kushoto) akibadilishana mawazo na Mjumbe mwenzie ambaye pia ni Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Jenista Mhagama(kulia) jana mjini Dodoma wakati wa mapumziko.

mtanda
 Waziri Mkuu  ambaye pia ni Mjumbe wa Mkutano Maalum wa Bunge la Katiba Mizengo Peter Pinda (kushoto) akibadilishana mawazo na mjumbe mwenzake Said Mtanda (kulia) jana mjini Dodoma wakati wa mapumziko.
1B
 Mjumbe wa Mkutano wa Bunge Maalum  la Katiba ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha Mwingulu Nchemba (kushoto) akibadilishana mawazo na wajumbe mwenzie  Zitto Kabwe(kulia) na Albert mjini Dodoma wakati wa mapumziko.
WAJUMBE

Wajumbe wa Mkutano wa Bunge Maalum la Katiba wakibadilishana mawazo na jana mjini Dodoma wakati wa mapumziko.Picha na MAELEZO-Dodoma.

ANGALIA NAFASI MPYA ZA KAZI

$
0
0
GRAPHIC DESIGNER, TANZANIA     
Qualifications: National Diploma or degree in Design
 Details:Daily News 10 Feb 2014
Deadline: 21  February , 2014

SCIENCE EDITOR, TANZANIA     
Qualifications: Bachelor’s degree in Science with Education (majors Chemistry and Biology)
Apply: oxfordtz@oup.com
Details:Daily News 10 Feb 2014
Deadline: 21  February , 2014
SALES  EXECUTIVE, TANZANIA     
Qualifications: A relevant degree or Diploma in Sales & Marketing
Apply: oxfordtz@oup.com
Details:Daily News 10 Feb 2014
Deadline: 21  February , 2014
CLIENT OPERATIONS MANAGER     
Qualifications: Degree in Business  Administration or equivalent, at least 5 years experience in clearing and forwarding
Apply: carees.tanzania@bollore.com
Details:The Guardian 14 Feb 2014
Deadline: 21  February , 2014

CUSTOMS RISK MANAGER     
Qualifications: Degree in Business Administration or equivalent ITA Certificate or similar certificates
Apply: carees.tanzania@bollore.com
Details:The Guardian 14 Feb 2014
Deadline: 21  February , 2014

SALES REPRESENTATIVE - 4 POSTS     
Qualifications: University degree or Diploma from a reputable higher learning institution
Apply:Head of Human Resources Total Tanzania Limited
Box 1503, Dar es Salaam
Details:Mwananchi 14 Febr 2014
Deadline: 28  February , 2014

DRIVERS     
Qualifications: Education level shall be minimum Form IV level (Ordinary Certificate of Seconadary Education
Apply: Human Resources Department Box 95068, Dar es Salaam
Details:Mwananchi 14
February 2014
Deadline: 24  February , 2014

SENIOR  LECTURER     
Qualifications: Holder of a PhD in a specialised functional area with at least nine years of work experience related to teaching and/or research
Apply: The Deputy Vice Chancellor (Administration and Finace)Box 1, Mzumbe
Details:Mwananchi 14 Febr 2014
Deadline: 06  March, 2014

SENIOR  RECORDS MANAGEMENT  ASSISTANT  II   
Qualifications: Holder of a Diploma in Records management from a recognised institution with working experience of at least six years
Apply: The Deputy Vice Chancellor (Administration and Finace)Box 1, Mzumbe
Details:Mwananchi 14 Febr 2014
Deadline: 06  March, 2014

SENIOR  LIBRARY  ASSISTANT     
Qualifications: Holder of a Diploma in Library and Information studies from any recognised institution with working experience of at least six years
Apply: The Deputy Vice Chancellor (Administration and Finace)Box 1, Mzumbe
Details:Mwananchi 14 Febr 2014
Deadline: 06  March, 2014

SENIOR  WEB OFFICER    
Qualifications: Bachelor’s degree in Science,Communication,Public Relations,Technical writing or related field
Apply: Director of Human
Resources CRDB Bank
Box 268, Dar es Salaam
Details:The Guardian 10
Febuary 2014
Deadline: 01  March, 2014

SALES MANAGER     
Qualifications: Bachelor’s degree or its equivalent in Business Administration with biases in Marketing and sales,Possesion of postgraduate or  Master’s degree will be an added advantage
Apply: Director of Human
Resources CRDB Bank
Box 268, Dar es Salaam
Details:The Guardian  10
February 2014
Deadline: 01  March, 2014

HEALTH ADVOCACY AND ENGAGEMENT DIRECTOR   
Qualifications: Master’s degree
 in Public Health,Health Economics,Health Policy or a related field PhD,MD or Dr Ph preferred  
Apply:Country Human Resources Manager Plan International Tanzania
Box 3517, Dar es Salaam
Details:The Guardian 13Feb 2014
Deadline: 28 February, 2014

MANAGER CALL  CENTRE    
Qualifications: Degree/Advanced Diploma or its equivalent in Business Administration from
 a recognised training institution,
Possesion of a Master’s degree
 will be an added advantage
Apply: Director of Human
Resources CRDB Bank
Box 268, Dar es Salaam
Details:The Guardian 10 Feb 2014
Deadline: 01  March, 2014

GEOGRAPHICAL  INFORMATION SYSTEM (GIS) EXPERT
Qualifications: A Holder of degree or Advanced Diploma in Land surveying/Planning/Information Technology/Geography with emphasis in GIS or should have pursued a Certificate or Diploma program in GIS
Apply: The Managing Director Arusha Urban Water Supply and Sewerage Authority
Box 13600, Arusha
Details:The Guardian 11 Febr2014
Deadline: 28  February, 2014

PROJECT  ENGINEER    
Qualifications: A Holder of Bachelor Science degree/Advanced Diploma in Civil/Sanitary/Environmental Engineering from a recognised higher learning Institution
Apply: The Managing Director Arusha Urban Water Supply and Sewerage Authority
Box 13600, Arusha
Details:The Guardian 11 Febr2014
Deadline: 28  February, 2014

CHIEF  MANAGER - HUMAN
RESOURCES  &  ADMINISTRATION    
Qualifications: Holder of Master’s degree in Public Administration, Human Resource Management or Business Administration
Apply: The Managing Director DCB Commercial Bank Ltd
Box 19798, Dar es Salaam
Details:The Guardian 13Febr2014
Deadline: 25  February, 2014

ACCOUNTANT GRADE II    
Qualifications: Holder of a Full professional qualification i.e. CPA,(T),ACCA,ACA,ICMA and has been registered with NBAA
Apply: The Deputy Vice Chancellor (Administration and Finace)Box 1, Mzumbe
Details:Mwananchi 14 Febr 2014
Deadline: 06  March, 2014

FINANCE AND ADMINISTRATION DIRECTOR  
Qualifications: Master’s degree
 in finance or financial Management and/or a professional qualification in Accountancy
Apply:Country Human Resources Manager Plan International Tanzania
Box 3517, Dar es Salaam
Details:The Guardian 13Febr2014
Deadline: 28 February, 2014

CHIEF OF PARTY
Qualifications: Master’s degree
 in Public Health,Health Economics,Health Policy or a related field PhD,MD or Dr Ph preferred
Apply:Country Human Resources Manager Plan International Tanzania
Box 3517, Dar es Salaam
Details:The Guardian 13
Febr2014
Deadline: 28 February, 2014

FUNDRAISING OFFICER
Qualifications: Degree in Business Management,Project Management,Public relations Mass Communication,Business Law,or a related field preferred
Apply: The Executive Director PASADA
Box 70225, Dar es Salaam
Details:Daily News 13
Febr, 2014
Deadline: 15 March, 2014

DIVERS - 2 POSITIONS
Qualifications: Secondary School and know how to read,write and count; must posses a valid Tanzania driver’s licence class ‘C’
Apply: The Executive Director PASADA
Box 70225, Dar es Salaam
Details:Daily News 13
Febr, 2014
Deadline: 15 March, 2014

ASSISTANT  MEDICAL  OFFICER - 2 POSITIONS
Qualifications: Advanced Diploma in clinical Medicine and registered as a qualified medical practitioner
Apply: The Executive Director PASADA
Box 70225, Dar es Salaam
Details:Daily News 13
Febr, 2014
Deadline: 15 March, 2014

MEDICAL DOCTORS - 2 POSITIONS
Qualifications: A Medical degree (MBBS),MB,or MD) and registered as a qualified medical practitioner  in Tanzania
Apply: The Executive Director PASADA
Box 70225, Dar es Salaam
Details:Daily News 13
Febr, 2014
Deadline: 15 March, 2014

SENIOR WATER ENGINEER    
Qualifications: A Holder of Bachelor Science degree/Advanced Diploma in Civil/Sanitary/Environmental Engineering from a recognised higher Learning Institution
Apply: The Managing Director Arusha Urban Water Supply and Sewerage Authority
Box 13600, Arusha
Details:The Guardian 11 Feb 2014
Deadline: 28  February, 2014

HUMAN RESOURCES AND ADMINISTRATIVE OFFICER
Qualifications: Bachelor’s degree in Human Resource Management or equivalent
Apply: Human Resources and Administrative Manager
Box 10160, Dar es Salaam
Details:The Guardian 13Febr2014
Deadline: 28 February, 2014

COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER II - 4  POSITIONS
Qualifications: Holder of a degree in Sociology,Social work and Community Development from a recognised institution with 1st class or upper 2nd class or Master’s degree in a relevant field
Apply: Tanzania Petroleum
Development  Corporation
Benjamin W. Mkapa Tower
Box 2774, Dar es Salaam
Details:Daily News 3 Febr, 2014
Deadline:  February, 2014

ADMINISTRATIVE OFFICER II - 2  POSITIONS
Qualifications: Holder of a degree in Public Administration from a recognised institution with 1st or upper 2nd class Master’s degree in a relevant field
Apply: Tanzania Petroleum
Development  Corporation
Benjamin W. Mkapa Tower
Box 2774, Dar es Salaam
Details:Daily News 3 Febr, 2014
Deadline:  February, 2014

LABORATORY TECHNICIAN II - 4  POSITIONS
Qualifications: Holder of a Diploma in Laboratory Technology from a recognised institution followed by at least 2 years post
 -qualification experience
Apply: Tanzania Petroleum     
Development  Corporation
Benjamin W. Mkapa Tower
Box 2774, Dar es Salaam
Details:Daily News 3 Febr, 2014
Deadline:  February, 2014

INSTRUMENTATION ENGINEER II - 8  POSITIONS
Qualifications: BSc. in Instrumentation Engineering or related field with 1st class or upper 2nd class or Master’s degree in Economics
Apply: Tanzania Petroleum
Development  Corporation
Benjamin W. Mkapa Tower
Box 2774, Dar es Salaam
Details:Daily News 3 Febr, 2014
Deadline:  February, 2014

MARKETING OFFICER II -2  POSTS
Qualifications: Holder of a Bachelor’s degree in Marketing with 1st class or upper 2nd class Apply: TPDC
Benjamin W. Mkapa Tower
Box 2774, Dar es Salaam
Details:Daily News 3 Febr, 2014
Deadline:  February, 2014
MONITORING AND EVALUATION OFFICER
Qualifications: Master’s degree in Public Health,Epidemiology,Demograhpics or a related field
Apply: Director of Human Resource and Admistration Pathfinder International
Box 77991, Dar es Salaam
Details:Daily News 14 Febr, 2014
Deadline: 21 February, 2014

COMMUNITY HEALTH PROGRAM OFFICER
Qualifications: Bachelor’s degree /Diploma in Medicine,Public Health,Nursing or equivalent
Apply: Director of Human Resource and Admistration Pathfinder International
Box 77991, Dar es Salaam
Details:Daily News 14 Febr, 2014
Deadline: 21 February, 2014

PROJECT MANAGER
Qualifications: Advanced degree in Public Health,Social Sciences or related field
Apply: Director of Human Resource and Admistration Pathfinder International
Box 77991, Dar es Salaam
Details:Daily News 14 Febr, 2014
Deadline: 21 February, 2014

ASSISTANT INTERNAL AUDITOR
Qualifications: Holder of a degree in Accounting or equivalent qualification from a recognised institution, knowledge in Accounting software will have an advantage
Apply: Director General gaming Board of Tanzania
Box 1717, Dar es Salaam
Details:Daily News 14 Febr, 2014
Deadline: 28 February, 2014

LICENSING OFFICER
Qualifications: Holder of first degree in Law (LLB),Bachelor of Business Administration, B. Com Accounting,B.Com Finance or equivalent qualification from a recognised institution. Holders of LLB degree who are registered as advocates of the High Court will have added advantage
Apply: Director General Gaming Board of Tanzania
Box 1717, Dar es Salaam
Details:Daily News 14 Febr, 2014
Deadline: 28 February, 2014

PRINCIPAL  PROCUREMENT -
OFFICERS - 4 POSITIONS
Qualifications: Bachelor’s degree in Procurement and Materials Management from recognised higher institutions, Master’s degree in a relevant field will be an added advantage
Apply: Senior Manager, Human Resources Tanesco Umeme Park
Box 9024, Dar es Salaam
Details:Daily News 14 Feb, 2014
Deadline: 28 February, 2014
 
MANAGER PROCUREMENT -TENDE-
RING
Qualifications: Bachelor’s degree in Procurement and Materials Management from recognised higher institutions,Master’s degree in a relevant field will be an added advantage
Apply: Senior Manager Human Resources Tanesco Umeme Park
Box 9024, Dar es Salaam
Details:Daily News 14 Febr, 2014
Deadline: 28 February, 2014

MANAGER PROCUREMENT -CONTRACTS AND COMPLIANCE
Qualifications: Bachelor’s degree in Procurement and Materials Management from recognised higher institution, mMaster’s degree in a relevant field will be an added advantage
Apply: Senior Manager Human Resources Tanesco Umeme Park
Box 9024, Dar es Salaam
Details:Daily News 14 Febr, 2014
Deadline: 28 February, 2014

SENIOR MANAGER PROCUREMENT
Qualifications: University
degree in Business Admini
stration,Procurement and
Commerce
Apply: Senior Manager Human Resources Tanesco Umeme Park
Box 9024, Dar es Salaam
Details:Daily News 14 Febr, 2014
Deadline: 28 February, 2014

SECURITY GUARD - 7 POSITIONS Qualifications: Holder of Form IV with National Service training as an added advantage
Apply: Human Resource
Department of the State
University of Zanzibar
Box 146, Zanzibar
Details: Daily News 30
January, 2014
Deadline: 19 February, 2014

OFFICE ATTENDANT III
Qualifications: Holder of Form IV Certificate or equivalent
Apply: Human Resource
Department of the State
University of Zanzibar
Box 146, Zanzibar
Details: Daily News 30
January, 2014
Deadline: 19 February, 2014

TUTORIAL  ASSISTANT - 2 POSTS
Qualifications: Possession of a first degree from a recognised higher learning institution and must have obtained an upper second class having a minimum GPA of 3.8
Apply: The Chairpeson Search Team,C/oMoshi University College of Co-operatives and Business studies
Box 474, Moshi
Details: Daily News 30
January, 2014
Deadline:  February, 2014
 
LOAN DESK OFFICER
Qualifications: Holder of Bachelor’s degree in Accounting/Finance/Economic/Business Administration/Entrepreneurship or equivalent
Apply: Human Resource
Department of the State
University of Zanzibar
Box 146, Zanzibar
Details: Daily News 30
Jan, 2014
Deadline: 19 February, 2014

OFFICE SUPERINTENDENT  
Qualifications: Holders of Diploma of Human Resource Management /Diploma in Public Administration
Apply: Human Resource
Department of the State
University of Zanzibar
Box 146, Zanzibar
Details: Daily News 30
Jan, 2014
Deadline: 19 February, 2014

ASSISTANT LECTUERS FOR SOCIAL WORK/ARCHAEOLOGY AND HERITAGE/TOURISM/PORTUGUESE
Qualifications: Holder of Master’s degree in relevant areas of study with a GPA of not less than 3.5 or equivalent at undergraduate level
Apply: Human Resource
Department of the State
University of Zanzibar
Box 146, Zanzibar
Details: Daily News 30
Jan, 2014
Deadline: 19 February, 2014

COMPUTER  PROGRAMMER
Qualifications: Holder of first degree in Computer Science, Information systems Telecommunication/Electrical Engineering/Information Technology/GIS or any related Computer studies with at least three years relevant working experience in a similar position
Apply: The Deputy Vice - Chancellor(Academics) Open University of Tanzania
Box 23409, Dar es Salaam
Details: Daily News 27
January, 2014
Deadline:  February, 2014

RECORDS  MANAGEMENT  
ASSISTANT III   
Qualifications: Holder of Form IV/VI Certificate with two Principal Passes in Arts subjects and must have a credit pass in English at “O” level plus a Certificate in Records Management from a recognised institution
Apply: The Deputy Vice - Chancellor(Academics) Open University of Tanzania
Box 23409, Dar es Salaam
Details: Daily News 27
January, 2014
Deadline:  February, 2014

PERSONAL SECRETARY II - 2 POSITIONS
Qualifications: Holder of National Form IV/VI Certificate with credit passes in English and Kiswahili or Foundation Course Certificate plus Diploma in Secretarial studies from TPSC or any recognised institution
Apply: The Deputy Vice - Chancellor(Academics) Open University of Tanzania
Box 23409, Dar es Salaam
Details: Daily News 27
January, 2014
Deadline:  February, 2014

ACCOUNTS ASSISTANT  II
Qualifications: Holder of Form VI Certificate with NABE III/ATECII/Diploma in Accountacy /Module A and plus ICT skills
Apply: The Deputy Vice - Chancellor(Academics) Open University of Tanzania
Box 23409, Dar es Salaam
Details: Daily News 27
January, 2014
Deadline:  February, 2014

ASSISTANT DEAN OF STUDENTS  
Qualifications: Holder of Master’s degree in Education majoring in Guidance and Counselling/social work
Apply: Human Resource
Department of the State
University of Zanzibar
Box 146, Zanzibar
Details: Daily News 30
January, 2014

Deadline: 19 February, 2014

UKRAINE INAWAKA MOTOOO..

$
0
0
Upinzani huko Ukrain umeapa kutotoka uwanja wa uhuru wanakoendeleza maandamano hayo.

 Wakuu kutoka umoja wa Ulaya wameshtumu vikali rais wa Ukrain Viktor Yanukovych, kwa makabiliano makali baina ya polisi na waandamanaji yanayoingia siku ya pili sasa .
 Waziiri Mkuu wa Poland , Donald Tusk, amesema atapendekeza Ukrain iwekewe vikwazo vya kiuchumi huku yule wa Sweden Carl Bildt akiongeza kuwa damu ya watu 25 waliokufa katika maandamano hayo iko mikononi mwa Yanukovych.

 Vile vile wameutaka upinzani kuzuia machafuko zaidi ambayo yanasambaa kwengineko nchini humo.

MAMA BILALI: WANAWAKE TUJIWEKEE AKIBA

$
0
0
DSC01499Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Angels Moment, Bi Naima Malima akisoma hotuba ya ufunguzi wa Tamasha.DSC01538Bila kusahau burudani kutoka THT, ambao waliigiza mahudhui ya Tamasha.DSC01581Mgeni Rasmi wa Tamasha hilo, Mke wa Makamu wa Rais, Mama Asha Bilali akisoma hotuba yake wakati akifungua Tamasha hilo la kwanza la kipekee kwa ajili ya wanawake na vijana.DSC01593Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akitoa ushuhuda wake juu ya kutumia fursa katika ujasiriamali. Mama Tunu alishiriki katika Tamasha hilo akiwa mjasiriamali aliyekuwa akiuza mazao yatokanayo na nyuki.
DSC01606Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Angels Moment, Bi Naima Malima akimkabidhi zawadi Mgeni Rasmi wa Tamasha hilo, Mke wa Makamu wa Rais, Mama Asha Bilali.DSC01614Kulikuwa na utaoji wa tuzo kwa washiriki katika Tamasha hilo. Bila kusahau burudani kutoka THT, ambao waliigiza mahudhui ya Tamasha.DSC01640Wake wa Viongozi (New Millenium Women Group) wakiwa katika picha ya pamoja na Mgeni Rasmi wa Tamasha hilo, Mke wa Makamu wa Rais, Mama Asha Bilali.DSC01691Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akimuonesha bidhaa zilizomo bandani kwake alipotembelewa na Mgeni Rasmi wa Tamasha hilo, Mke wa Makamu wa Rais, Mama Asha Bilali.
DSC01458Baadhi ya kina mama waliojitokeza kuhudhuria Tamasha hilo.
Na Mwandishi wetu
Wanawake nchini wameaswa kujenga tabia ya kutunza akiba ili kufikia malengo wanayojiwekea na kwa maendeleo ya familia zao.
Wito huo umetolewa na Mke wa Makamu wa Rais, Mama Asha Bilali wakati akifungua Tamasha la kwanza la kipekee kwa ajili ya wanawake na vijana lililopewa jina la Mwanamke na Akiba na linalofanyika kwa muda wa siku tatu jijini, Dar es Salaam.
Mama Asha alisema kuletwa kwa Tamasha hilo ni fursa mojawapo na adimu sana kwa wanawake kujipatia utaalamu na kupanua wigo wao kibiashara. 
Alisema kuwa maendeleo ya Tanzania yanaanza kwa kina mama kwa wao wenyewe kujijengea tabia ya kujiwekea akiba japo kidogo ni kwani ni furaha na mkombozi wa siku za baadae. 
“Akiba ni msingi wa maendeleo ya kila mwananchi. Kwa kila biashara, na kila ajira tuliyonayo, bila kuwa na elimu na utaratibu wa kujiwekea akiba tutazidi kuwa na kipato kidogo hivyo kushindwa kuendelea kiuchumi na kijamii,” aliasa Mama Asha.
“Nachukua nafasi hii pia kuwaomba wanawake wote watakaohudhuria kutilia maanani mafunzo yote watakaopewa katika siku mbili zijazo ili kuweza kujenga uwezo wao katika uwekaji wa akiba,” aliongeza. 
Mama Asha aliipongeza kampuni ya Angels Moment pamoja na timu yake kwa kuwaza kuandaa tamasha hilo la elimu kwa akina mama hususani walio katika sekta isiyo rasmi kwani linatoa fursa ya kuwatoa wanawake katika utegemezi na umaskini kwa kuongeza kipato chao.
Nae, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Angels Moment, Bi Naima Malima alisema lengo kuu la Tamasha hilo ni Kuboresha kasumba ya kujiwekea akiba, hususan ikwa akina mama, na mbinu mbalimbali za kujiongezea kipato miongoni mwao.
“Tamasha hili limeandaliwa ili kuwaonesha wanawake na vijana umuhimu wa kuweka akiba, aina tofauti za kuweka akiba na njia mbalimbali za kuweka akiba pamoja na fursa za kuweka akiba kimkakati kupitia uwasilishaji wa mada na maonesho,” alisema Bi Naima. 
Aliongeza kuwa washiriki watapata fursa ya kupata elimu juu ya kukabiliana na hatari katika uhifadhi wa fedha na masuala mbalimbali yahusikanayo na usimamizi wa fedha. 
“Tamasha linatoa fursa za maonyesho na semina ambazo zitawaelimisha wanawake namna tofauti za kuweka akiba, na mbinu mbalimbali za kujikimu,” alisema Bi Naima.
Aliongeza kuwa Tamasha hili pia linakusudia kuwaelimisha wanawake umuhimu wa kuweka akiba, mbinu tofauti za kuweka akiba na jinsi ya kukabiliana na changamoto mbalimbali katika kujiwekea akiba.
Tamasha hilo linalofanyika katika Ukumbi wa  Dar Live – Mbagala, jijini Dar es Salaam limehudhuriwa na mamia ya kina mama na vijana ikiwemo wake wa viongozi waliongozwa na Mama Tunu Pinda ambaye ameshiriki kama mjasiriamali wa kuuza mazao ya nyuki.

MAHAKAMA KUU KANDA YA IRINGA YATOA ONYO KALI KWA POLISI IRINGA

$
0
0

Jaji Mary Shangali akikagua gwaride la askari Polisi siku ya sheria nchini
JAJI wa Mahakama Kuu Kanda ya Iringa, Mary Shangali amelaani vikali vitendo vya unyanyasaji vinavyofanywa na jeshi la Polisi kwa wanahabari wa mjini Iringa.
Pamoja na laana hiyo amewataka askari Polisi wawapo katika mahakama yake wazingatie taratibu za mahakama.
Aliyasema hayo mara baada ya kupokea taarifa ya kusikitisha inayowahusisha baadhi ya askari Polisi bila ridhaa yake kumtoa nje ya mahakama na kumfikisha katika kituo cha Polisi mmoja wa wanahabari wanaofanya kazi zao mjini Iringa.
Mwanahabari huyo Frank Leonard, alifanyiwa hayo kwa kile kilichoelezwa na akari hao kwamba alikuwa akipiga picha wakati mahakama hiyo ikiendelea.
Ilikuwa wakati jaji huyo akisikiliza kesi ya mauaji ya mwandishi wa Channel Ten, Daudi Mwangosi inayomkabili aliyekuwa askari wa jeshi hilo, Pasificus Cleophace Simoni.
Kesi hiyo ilianza kusikilizwa kwa mara ya kwanza mahakamani hapo, Februari 13 kwa kile kilicholezwa na upande wa mashtaka kwamba uchunguzi wake umakamilika.
“Wameitendea kosa mahakama hii na wamtendea kosa mwanahabari huyo; kazi waliyofanya siyo yao , inakiuka taratibu za mahakama,” alisema.

Alisema kama kweli mwandishi huyo alikuwa akipiga picha na kuhatarisha mwenendo wa shughuli za mahakama, askari hao walichopaswa kufanya nikuandika memo kwake ili achukue hatua.

“Hawatakiwi na hawastahili kuingilia kazi nazotakiwa kufanya mimi au viongozi wengine wa mahakama wakati mahakama ikiendelea” alisema.

Alisema mahakama inafanya kazi na wanahabari na itaendelea kufanya nao kazi huku akiwasihi Polisi kuacha kuwabugudhi.

“Siku nyingine mkija na mkaona kuna dalili ya kufanyiwa kama haya aliyofanyiwa mwenzenu tunaomba mtoe taarifa kwangu au kwa msajili wa mahakama ili tuchukua hatua,” alisema.

KIJANA AUA MAMA YAKE KWA JEMBE HUKO KAHAMA,TUNAOMBA RADHI KWA PICHA

$
0
0
Katika hali ya kusikitisha ,kuhuzunisha na isiyokuwa ya kawaida kijana mmoja mkazi wa kijiji cha Mwakuhenga wilayani Kahama mkoani Shinyanga amemuua mama yake kwa kumkata na jembe kichwani na kusababisha kifo chake.
SOMA ZAIDI
Habari kutoka Kahama zinasema tukio hilo limetokea jana majira ya saa mbili usiku na chanzo halisi cha tukio hilo bado hakijajulikana.

Habari kamili kuhusu tukio hili tutakuletea kupitia kwenye blog hii

CHANZO: MALUNDE BLOG

ANGALIA NAFASI MPYA ZA KAZI KUTOKA SEKRETARIETI YA AJIRA 517 ZA KAZI SERIKALINI

ANGALIA PICHA LORI LA MAFUTA LADONDOKA MLIMA SEKENKE LALIPUKA NA KUUWA WATU WA NNE

$
0
0
 Haya ni mabaki ya mwili wa mmoja ya watu walikuwam kwenye Lori hilo
Lori la mafuta limeanguka jioni hii katika eneo la milima ya sekenke mkoani singida na kuua watu wanne hapohapo.Chanz cha ajali hiyo ni breki kufeli kukamata wakati lori hilo lilipokuwa linashuka mlima huo

Moto ukimalizikia kwa mbaliii kama inavyoonekana
 Wanainchi wakiangalia Lori baada ya kuungua
 Mabaki ya Lori hilo bada ya kuteketea kabisa na moto jioni hii
 Baadhi ya wasafiri wakitazama lori lililongua jioni hii


 Bonde la mlima sekenke linavyoonekana na baadhi ya miti imeunguaa
 Hii ni njia ya mlima sekenke

.Shuhda wa ajali hiyo bwana Julius chacha alipoongea na mtandao wetu wa Dj sek blog amesema kwamba Lori hilo lilipoacha njia lilipinduka na kuingia bondeni na kushika moto.Akiendelea kuongea shuhda huyo alisema walishindwa kutoa msaada wowote kwa kwa moto uliposhika ulikuwa mkubwa na hawakuwa na vifaa vya kuokolea.Watu wanne wamekuufa papo hapo kutokana na ajali hiyo.Polisi walikuwa bado hawajafika eneoo la tukio mpaka tunaondoka eneo la tukio.
PICHA NA HABARI NA DJ SEK 

JAJI WEREMA AWATAKA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUTOCHEZEA TUNU ZA TAIFA NA MUUNGANO

$
0
0
habariMwanasheria mkuu wa Serikali Jaji Fredrick  Werema akizungumza na wajumbe wenzake  wa bunge maalum la katiba katikaka viwanja vya bunge mjini Dodoma kushoto ni Dr. Fenella Mukangara Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.
NA  MAGRETH KINABO –MAELEZO
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji  Fredrick  Werema amewataka wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba  kuijadili Rasimu ya Katiba Mpya  kwa jinsi wanavyotaka,lakini wasiondoe misingi mikuu ya kitaifa(tunu za taifa) na maadili ya jamii ya kuhifadhi na kudumisha mambo ya misingi hiyo.
Kauli hiyo imetolewa leo na Jaji Werema wakati akitoa semina kwa wajumbe hao leo mjini Dodoma kuhusu Sheria ya Mabadiliko ya Bunge la Katiba Sura ya 83 toleo la mwaka 2014.
“ Ifanyieni  Rasimu ya Katiba Mpya mnavyotaka, lakini , yana mipaka yake.  Fanyeni mnachotaka ila msifanye jambo lolote litakaloondoa uwepo wa Jamhuri ya Muungano ,” alisema  Jaji Werema.

 Jaji Werema aliyataja mambo hayo ambayo yapo katika  kifungu cha 9(2) katika sheria hiyo ambayo ni  kuwepo kwa Jamhuri ya Muungano, uwepo wa Serikali ,Bunge na Mahakama, mfumo wa kiutawala wa kijamhuri, uwepo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, umoja wa kitaifa,amani na utulivu, uchaguzi wa kidemokrasia wa mara kwa mara katika vipindi maalum kwa kuzingatia haki ya watu wote wenye sifa ya kupiga kura.
Mambo mengine ni , ukuzaji na uhifadhi wa haki za binadamu, utu,usawa mbele ya sheria na mwenendo wa sheria, uwepo wa Jamhuri ya Muungano isiyofungamana na dini yoyote na inayoheshimu uhuru wa kuabudu .
Alisema Jaji  Werema huku aelezea kuwa itakuwa si sahihi misingi hiyo , ambayo tume imeongozwa  nayo  itofautiane na Bunge Maalum la Katiba.
Jaji Werema  alitoa ufafanuzi kuhusu kifungu cha 25(1) kufuatia baadhi ya wajumbe kutaka ufafanuzi ambao ni Tundu Lissu  kuhoji kuwa hakina uhusiano na bunge hilo na Zitto Kabwe kutaka ufafanuzi  na kudai kuwa kumekuwepo na vikundi vya vyama vina rasimu mbadala je Bunge hilo lina mamlaka ya kuweka pembeni maoni ya wananchi.
  Aliongeza kuwa Bunge Maalum litakuwa na mamlaka ya kujadili na kupitisha masharti ya katiba inayopendekezwa, kutunga masharti ya mpito na masharti yaokanayokama Bunge Maalum litakavyoona inafaa.
 Jaji Werema alisema kifungu hicho(20) Mamlaka ya Bunge Maalum ya kupitisha masharti ya Katiba inayopendekezwa baada ya Rasimu ya Katiba kuwasilishwa na Mwenyekiti wa Tume na Kupitishwa na Bunge Maalum.
Hivyo wajumbe hao ni wawakilishi wa wananchi watafanya kazi ya kuiboresha na baade itarudi kwa wananchi kwa ajili ya kura ya maoni.
Kuhusu suala kuwa mitaani kuna rasimu katiba mbadala alisema suala hilo ni upotoshaji.
Aidha  Jaji Werema aliwataka wajumbe hao kuwasilisha hoja kwa stahaa na kupeana uhuru wa kutoa maoni.
Viewing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>