Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

CHANNEL TEN SASA KUONEKANA DSTV

$
0
0
0001Meneja wa vipindi  wa Africa Media Group,Nicky Ngonyani (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam (hawapo pichani) wakati walipoingia makubaliano ya kuonesha vipindi  vya Channel Ten kupitia DSTV,mkataba huo utawawezesha watanzania wote nchini kupata nafasi ya kuona vipindi vya channeli ten kupitia mfumo wa digitaliwa DStv (kulia) Meneja Ufundi wa Africa Media Group, Augustino Maganga (kushoto) Meneja Uhusiano wa Multchoice, Barbara Kambogi.0002Meneja Uhusiano wa Multchoice, Barbara Kambogi, akifafanua kuhusiana na  vipindi vya DStv wakati wa hafla hiyo.SONY DSCMeneja Ufundi wa Africa Media Group, Augustino Maganga (kulia) Meneja wa vipindi  wa Africa Media Group,Nicky Ngonyani (katikati)  Meneja Uhusiano wa Multchoice, Barbara Kambogi.wakiwa wameshikana mikono kwa pamoja mara baada ya kusaini makubaliano yatakayowezesha vipindi  vya televisheni ya Channel Ten kuonekana kupitia  DStv,
0004Wadau wa habari wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada kumalizika kwa hafla hiyo.
PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE DAR ES SALAAM

Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>