Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA UDAKU LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI TAREHE 12.12.2013

View Article


BASI LA BURUDANI LILILOKUWA LINATOKA WILAYANI KOROGWE LIKIELEKEA DAR ES...

Habari zilizotufikia hivi punde, basi la Burudani likiwa limejaza watu wengi kutoka wilayani Korogwe kuelekea Dar es Salaam, limepata ajali maeneo ya Michungwani, wilayani Handeni mkoani Tanga. Idadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII SAIDI WA NGAMBA A.K.A MZEE SMALL BADO YU HAI, AMLAANI ALIYEMZUSHIA MAUTI

Courtesy of Bongo5Mzee Small akiwa na familia yake

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA NAFASI ZA KAZI KUTOKA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA

 Institute of Accountancy Arusha P.O. Box 2798, Njiro Hill, Arusha, Tanzania Telephone: 255 27 254 9605 / 254 9606 / 250 1416 / 250 6096 Fax: 255 027 254 9421 Telex: 50009 IAA TZ: Email: iaa@iaa.ac.tz...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tido afiwa na mama yake mzazi

Mama mzazi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Tido Mhando, Jessie (85), amefariki dunia  Chang'ombe jijini Dar es Salaam kwa ugonjwa wa moyo.Akizungumza jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZEE WA MATUKIODAIMA AWEKA REKODI KUPANDA MLIMA KILIMANJARO ,WANAHABARI...

Mmiliki wa  mtandao wa  matukiodaima kulia akipunga mkono sanjari na mwandishi wa Mjengwa Blog na Kwanzajamii baada ya kuweka rekodi ya aina yake kwa  wanahabari Iringa kwa  kupanda mlima Kilimanjaro...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE. NDUGAI AKERWA NA UNYANYASAJI WA WAKULIMA UNAOFANYWA NA WATENDAJI KUTOKA...

Mbunge wa jimbo la Kongwa mkoani Dodoma, ambaye pia ni Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, akihutubia mamia ya wakulima huko Kibaigwa mkoani humo Jumatano Desemba 11, 2013. Ndugai akiwakilisha wabunge...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKALIMANI WA LUGHA YA ALAMA KWENYE IBADA YA MANDELA UTATA MTUPU.

Mkalimani wa lugha ya alama aliekuwa akitafsiri maelezo mbalimbali  pia hutuba ya Rais Obama kwenye Ibada maalumu ya hayati Mandela inadaiwa kwamba  hakutumia alama zinazo tambulika mahala popote...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANC WALAANI ZUMA KUZOMEWA, WANANCHI WADAI ALISTAHILI HILO

Na Neville Meena, MwananchiJohannesburg.Chama Tawala cha Afrika Kusini, Africa National Congress (ANC) kimekasirishwa na kuzomewa kwa Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma wakati wa Ibada ya kitaifa ya heshima...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZIMIO LA KUWATAKA GHASIA, MWANRI NA MAJALIWA KUJIPIMA LAPITISHWA

.Bunge limepitisha azimio la kuwataka mawaziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), kujipima iwapo wanatosha kuendelea kuongoza wizara hiyo nyeti.Azimio hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI, TUME YA UCHAGUZI WAVUTANA

Na Raymond Kaminyoge, MwananchiWakati Serikali ikisema Daftari la Kudumu la Wapigakura litaboreshwa kwa ajili ya kura za maoni ya Katiba Mpya, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imesema haina mpango huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA SALMA KIKWETE AZINDUA RASMI MAKTABA YA SHULE YA MSINGI MZIMUNI ILIYOKO...

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwahutubia wanafunzi na walimu wa shule ya Msingi Mzimuni pamoja na wananchi wa eneo hili wakati wa sherehe za uzinduzi wa Maktaba ya shule hiyo tarehe 11.12.2013.PICHA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMASALMA AMPOKEA MALKIA MAXIMA WA UHOLANZI NA BAADAYE AHUDHURIA DHIFA YA...

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimpokea Malkia Maxima wa Uholanzi mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere tarehe 11.12.2013.Malkia Maxima wa Uholanzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHANNEL TEN SASA KUONEKANA DSTV

Meneja wa vipindi  wa Africa Media Group,Nicky Ngonyani (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam (hawapo pichani) wakati walipoingia makubaliano ya kuonesha vipindi  vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SOLLY MAHLANGU ‘OBRIGADO’ KUOMBELEZA KIFO CHA MANDELA UWANJA WA TAIFA

Na Makuburi AllyWAKATI siku za Tamasha la Krismasi zikikaribia, Muimbaji mahiri  anayeshika kasi katika anga la muziki wa Injili barani Afrika, Solly Mahlangu anatarajia kuombeleza   kifo cha aliyekuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI TENA MORO : LORI LAACHA NJIA NA KUTUMBUKIA MTARONI

   Lori la mafuta aina ya Scania lenye namba za usajiri T772 BAZ limetumbukiakwenye mtaro eneo la Kihonda barabara kuu ya Morogoro Dodoma baada ya dereva wa Lori hilo kushuka na kuliacha gari hilo bila...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA ANUSURIKA KATIKA AJALI YA NDEGE YA UWANJANI ARUSHA LEO

Habari zimetujia sasa hivi zinasema abiria kadhaa akiwemo Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli  Mh Edward Lowassa wamenusurika kifo, baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupasuka matairi yote...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS JAKAYA KIKWETE AWAJULIA HALI WAZIRI WA FEDHA WILLIAM MGIMWA NA OFISA...

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemtembelea Waziri wa Fedha, Mheshimiwa William...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YAMALIZANA NA IVO MAPUNDA NA BEKI DONALD MOSOTI OMWANWA

Simba pia imemsainisha beki wa kati wa Gor Mahia Donald Mosoti Omwanwa,amesaini mkataba wa miaka miwili mbele ya katibu mkuu wa Simba Evodius Mtawala.Donald Mosoti Omwanwa..... Ivo Mapunda akisaini...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live