$ 0 0 Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdurahman Kinana ukiwasili mpakani mwa mikoa ya Njombe na Iringa katika kijiji cha Idofi ambapo alipokelewa na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Njombe akitokea mkoani Iringa ambako aliwasili leo asubuhi akitokea jijini Dar es salaam akiongozana na Katibu wa Itikadi Siasa na Uenezi ndugu Nape Mosses Nnauye, Ndugu Kinana na ujumbe wake watakuwa ni ziara ya siku saba mkoani Njombe ambapo watatembelea wilaya za Njombe, Makete ,Ludewa na Wanging’ombe wakiimarisha chama na kusikiliza matatizo ya wananchi, huku wakikagua miradi ya maendeleo katika kuisimiamia serikali ili kwenye utekeleza wa ilani ya uchaguzi ya CCMKatibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdurahman Kinana akiwasili mpakani mwa mikoa ya Iringa na Njombe akitokea mjini IringaKatibu Mkuu wa CCM akivishwa skafu na chipukizi wa mkoa wa NjombeKatibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdurahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Ludewa Ndugu Deo FilikunjombeNdugu Abdurahman Kinana akifurahia jambo na Deo Sanga Jah People Mbunge wa Njombe Kaskazini kulia ni Mbunge wa Mwibara Kange Rugora.Mjumbe wa Kamati Kuu na mbunge wa viti Maalum Mkoa wa Njombe Pindi Chana akicheza na akina mama wakati wa mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdurahman KinanaAbdurahman Kinana akifurahia ngoma iliyokuwa ikitumbuizwa na kikundi cha ngoma cha mkoani Njombe huku Nape Nnauye akipiga ngomaKatibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdurahman Kinana akizungumza na wananchi wa mkoa wa Njombe mara baada ya kuwasili mpakani mwa mikoa hiyo katika kijiji cha Idofi.Kikundi cha ngoma kikitumbuiza katika mapokeizi hayoKatibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdurahman Kinana akiwa katika kikao cha kamati ya siasa mkoani Njombe kulia ni Deo Sanga Jah People Mbunge wa Njombe Kaskazini na kushoto ni Nape Nnauye Katibu wa Itikadi Siasa na UeneziBaadhi ya wajumbe wa kamati ya siasa mkoa wa njombe wakiwa katika mkutano huo.Baadhi ya wajumbe wa kamati ya siasa mkoa wa njombe wakiwa katika mkutano huo.