Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Fezza Kessy Awa Mtanzania wa Pili Kuingia Nyumba ya Big Brother Africa

Baada ya Kuwa na Tetesi kuwa Fezza Kessy Atakuwa ni mmoja wa wakilishi wa Tanzania Big Brother Africa ...leo hii Amekuwa ni Mmoja kati ya Watanzania Wawili Wanao Iwakilisha Tanzania katika Jengo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kichanga cha siku nne chaokotwa shimoni alikokaa kwa siku 6

UKISHANGAA ya Mussa basi utayaona ya Firauni, usemi huu umethibitika Songea baada ya Mtoto Bahati Upendo mwenye siku 3 toka azaliwe aliyekuwa amewekwa kwenye mfuko wa mbolea kisha kutupwa kwenye shimo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi wakiangalia ajali Michenzani

 Wananchi wakiangalia Vespa iliyosababisha ajali ya kumgonga mtembea kwa miguu katika barabara ya michenzani jirani na kituo cha daladala michenzani.Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo iliosababishwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ujenzi wa Bandari ya Boti ukiwa Hatua za Mwisho ya Ujenzi wake.

 Jengo la Abiria wanaosafiri kupitia katika bandari hiyo daraja la kwanza kama linavyoonekana pichani likiwa katika hatua ya umaliziaji wake unaoendelea kufanyika katika majengo hayo.  Eneo la kupitia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIKONGWE WATATU WACHOMWA MOTO BUNDA KWA USHIRIKINA.

 Kwa mujibu wa wa taarifa ya mwandishi Masau Bwire aliyepo Bunda kwa sasa, tukio hilo limetokea usiku wa kumakia leo baada ya watu hao wenye hasira kuwasaka ajuza hao baada ya kuwepo tuhuma kwamba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSIMU WA NANE WA SHINDANO LA BIG BROTHER AFRICA WAZINDULIWA LEO, MAMBO YANOGA...

 Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa masoko wa kampuni ya MultiChoice Tanzania, Furaha Samalu, (katikati) meneja rasilimali watu wa Multi Choice Tike Mwakitwange, wa kwanza kulia ni Meneja uhusiano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA UKONGA ATEMBELEA MIRADI YA MFUKO WA JIMBO.

Mwenyekiti wa Mfuko wa Maendeleo ya Jimbo la Ukonga ambaye ni Mbunge wa jimbo hilo Eugene Mwaiposa (wapili kulia) akimsikiliza kwa makini Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mzambarauni ya Ukonga Magnus...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FREEMAN MBOWE AFUNIKA KATIKA MKUTANO WA HADHARA KANDA SONGEA. .... ONA...

Mwenyekiti wa Chana cha Chadema - CDM - Taifa na Kiongozi wa kambi ya Upinzani Bungeni, Mhe Freeman Mbowe, (Mb.) akihutubia umati wa watu katika viwanja vya Shule ya Msingi Matarawe manispaa ya Songea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LADY J DEE NA LWAKATARE MAHAKAMANI LEO

  WAKATI kesi ya Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare ikitarajiwa kusikilizwa lEo Mei 27 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Kesi ya msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Judith...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TETESI KUHUSU MATOKEO MAPY KIDATO CHA NNE KUTANGAZWA LEO JUMATATU

Habari za kuaminika kutoka kwa ndugu wa karibu wa mh naibu wazir anayeshughulikia maswala ya elimu hapa nchini kwa sasa kuwa national examination results kwa matokeo yaliyofutwa yanatarajia kutangazwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NCHI 22 ZA AFRIKA ZAPATA DARASA JUU YA AMANI YA MTU BINAFSI JANA

Mtaalam na mkufunzi wa masuala ya amani ya mtu binafsi kwa njia ya kutafakari kutoka taasisi ya Art of Living, Chandrika Magaraja akitoa maelezo juu ya amani ya mtu binafsi inavyoweza kupatikana kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRENI YAUA UKONGA- MOSHI BAR MUDA HUU

Muda mfupi auliopita treni imegongana na gari aina ya RAV4 na dereva (mwanaume)amekufa muda huu na abiria(mwanamke) yu mahututi.  

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA UDAKU LEO

...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMATATU TAREHE 27.05.2013

......................NA MILLADA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARCLAYS YATANGAZA WADHAMINI WA MATEMBEZI YA HISANI YA ‘STEP AHEAD’

Meneja wa Mawasiliano na Huduma za Jamii wa Benki ya Barclays, Tunu Kavishe(kushoto) akizungumza na waandishi wakati wa kutangaza wadhamini waMatembezi ya Hisani ya ‘Step Ahead’ ambayo yamelenga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA NAY WA MITEGO & DIAMOND WALIVYOWEKA HISTORIA NDANI YA MAISHA...

Napenda kumshukuru Mungu  muda na wakati kama huu...Mimibinafsi ni mzima wa afya kabisa....!!Usiku wa Jana,Ulikuwa usiku wa kipekee sana kwangu lakini zaidi ya yote ulikuwa usiku wa Brother wangu Nay...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONGAMANO LA MAAFISA UNUNUZI NA UGAVI SERIKALINI LAFANYIKA MJINI MOROGORO...

Kutoka kushoto ni Kamishna Msaidizi Idara ya Sera ya Ununuzi wa Umma Bw. Bunare Daniel, Mkurugenzi Kitengo cha Ununuzi na Ugavi Wizara ya Elimu Bw. Jacob Kibona, Mkurugenzi wa Rasilimaliwatu na Utawala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WA CCM ABDURAHMAN KINANA AWASILI MKOANI NJOMBE TAYARI KWA ZIARA YAKE

Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdurahman Kinana ukiwasili mpakani mwa mikoa ya Njombe na Iringa katika kijiji cha Idofi ambapo alipokelewa na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Njombe akitokea mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI YA GARI LILILOKUWA LIMEBEBA MAZAO YA KITUNGUU NYANZWA HAKUNA...

Gari aina ya Dyana likiwa nimelele barababi mwishoni mwa wiki muda mfupi tu baada ya kupinduka.Wananchi wa kijiji cha Igunda waliwa katika harakati za kushusha magunia ya vitunguu katika gari...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>