Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

WOLPER NA RAY KUIGIZA KAMA MKE NA MME KWENYE FILAMU MPYA

$
0
0


Waigizaji waliopo orodha A kwenye kiwanda cha filamu nchini, Vincent Kigosi aka Ray na Jacqueline Wolper aka Gambe, wapo location kushoot movie mpya.
Kutokana na maelezo ya picha hizo walizoziweka kwenye akaunti zao za Instagram, inaonekana wanaigiza kama mke na mume.
Siye tena kazini new movie, mke wa mtu me hapa nacheza.me en broo ray mwenyezi mungu kua nasi mwanzo hadi tumalize inshaalah ,”
ameandika Wolper kwenye moja picha hizo.
Wolper akipitia 
Hata hivyo jina la filamu hiyo inayoandaliwa chini ya kampuni ya Ray, RJ Company haijajulikana inaitwaje.
 



Viewing all articles
Browse latest Browse all 20290

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>