Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA NA VIDEO YA NDEGE YA RAIS WA MAREKANI

OBAMA NA FAMILIA YAKE WAKISHUKA KUTOKA KWENYE AIRFORCE ONEVC-25A SAM 28000 Air Force OneAir Force OneAir Force One is the designation of any airplane that serves the President of theUnited States...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) KANDA YA MASHARIKI WATOA SEMINA YA...

Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Ahamed Kibozi akihutubia wakati wa uzinduzi rasmi wa semina ya wadau wa huduma za Mawasiliano iliyowalenga wawakilishi wa jumuiya mbalimbali za vijiji na vitongoji vya Wilaya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU AWAMU YA TATU FEDRICK SUMAYE AMPONDA MWENZAKE WA AWAMU YA NNE...

WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye amesema anashangazwa na baadhi ya viongozi wa dini kutoa sifa nzuri kwa watu wanaochanga fedha na si kuzingatia uadilifu na wema walionao.Kiongozi huyo alitoa kauli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waumini wa kishia wauawa Misri

Umati wa washambuliaji walijaribu kuiteketeza nyumba walimokuwa viongozi wa kishiaKiongozi wa madhehebu ya kishia nchini Misri ametoa wito wa kimataifa kuwa waumini wa kishia walindwe , siku moja baada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni za fedha taabani Somalia

Kampuni zinayofanya biashara ya utumaji wa fedhwa nchini Somalia kwa kushirikiana na Benki ya Barclays zimeiomba benki hiyo kutofunga akaunti zao kwani hatua hiyo itafanya maisha kuwa magumu kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA HARUSI YA WASIWASI MWABULAMBO MTANGAZAJI WA JAHAZI LA CLOUDS...

Harusi ya Wasiwasi Mwabulambo na Janeth ilifungwa kwenye Kanisa La Kilutheri Boko Dar Es Salaam Na Baadae kwenye tafrija iliyofanyika Mbezi Beach siku ya Jumamosi 22/6/2013. Mtandao huu unakutakia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WOLPER NA RAY KUIGIZA KAMA MKE NA MME KWENYE FILAMU MPYA

Waigizaji waliopo orodha A kwenye kiwanda cha filamu nchini, Vincent Kigosi aka Ray na Jacqueline Wolper aka Gambe, wapo location kushoot movie mpya.Kutokana na maelezo ya picha hizo walizoziweka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS:- SUGU AMEKAMATWA KWA KUMTUSI WAZIRI MKUU

Habari zilizotufikia hivi punde zinadai kuwa Mbunge wa Mbeya mjini Mh Joseph Mbilinyi amekamatwa kwa kile kinachodaiwa ni uchochezi na kumkashifu Waziri Mkuu Mzengo Pinda.  Hivi  karibuni, Mh. Sugu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANDELA BADO YUPO MAHUTUTI

NELSON Mandela amekaa kwa siku ya pili hospitalini akiwa mahututi, huku hofu ikizidi kuwa shujaa huyo wa mapambano dhidi ya utawala wa ubaguzi wa rangu huenda akapoteza mapambano yake ya mwisho.Licha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mo awa Mtanzania wa Kwanza kutambulika na Jarida la kimataifa la Forbes Afrika.

 -Mo mjasirimali kijana mwenye mafanikio ya kipekee katika bara la Afrika.Na Mwandishi WetuMjasirimali mchapakazi na Mbunge Kijana nchini Tanzania, Mohammed Dewji (MO) ametajwa katika jarida la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OPERSHENI SAFISHA JIJI ENEO LA MANZESE LEO CHINI YA ULINZI WA FFU

ASKARI WA JESHI LA POLISI KIKOSI CHA KUZUIA GHASIA AKIWA KATIKA DORIA LEO ENEO LA MANZESHALI HALISI KATIKA ENEO LA WAFANYABIASHARA ULINZIBAADHI YA WAFANYABIASHARA WAKIWA HAWAJUI LA KUFANYAENEO LA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANDRE SCHURRLE - MCHEZAJI WA KWANZA KUSAJILIWA NA MOURINHO CHELSEA MSIMU HUU...

Jose Mourinho amefungua rasmi akaunti ya Chelsea na kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa kijerumani ANDRE SCHURRLE - ambaye leo hii amefaulu vipimo vya afya na kujiunga rasmi na Chelsea akitokea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MH. SUGU AMEACHIWA KWA DHAMANA BAADA YA KUKAMATWA NA POLISI

MBUNGE wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (SUGU) amekamatwa na Jeshi la Polisi Mjini Dodoma na kuachiwa kwa dhamana.Mwandishi wetu akiwa Mjini Dodoma anasema kwamba Mbunge huyo alikamatwa muda mfupi baada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZECO wakiwa kazini soko la Chakechake

 MAFUNDI wa shirika la Umeme Tawi la Pemba, wakiwa katika harakati za kuunyoosha waya mkubwa wa umeme kwa ajili ya kubadilishwa laini katika tasfoma inayotakiwa kuhamishwa, iliyopo kwenye soko la chake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya Watu wa Zanzibar Yatimiza Miaka 47

     Benki ya Watu wa Zanzibar Limited Inasherehekea Miaka 47 tokea kuanzishwa kwake  Zanzibar   tarehe 30-6-1966.Bodi ya Wakurugenzi ,Uongozi na Wafanyakazi wake wote wanapenda kuchukua fursa hii...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHELSEA YAFIKA BEI KWA CAVANNI, YALIPA PAUNI 49M KWA NAPOLI

Mshambuliaji wa Uruguay na Napoli, Edinson CavanniKITUO cha Redio cha Napoli, Marte kimetangaza kwamba dau la Pauni Milioni 49.3 limetolewa na Chelsea kwa ajili ya mshambuliaji  Edinson Cavani ambaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE NDIYE ALIYENIFANYA NIINGIE KUVUTA MADAWA YA KULEVYA "UNGA"-IBRA DA...

 Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Kenya Ibra Da Hustler akiwa katika pozi WAKATI kesho dunia inaadhimisha siku ya matuizi ya dawa za kulevya Rapper Ibra Da Hustler amefunguka kuwa sasa anampango...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAKATA LA WAVULANA WALIOOTA MATITI NA JINSI JAMII ILIVYOWATENG

VIJANA watatu wa familia moja ya  Felipe Ramirez, wamepata balaa kubwa baada ya kuota matiti yaliyosababisha kuchekwa na vijana wenzao waliokuwa wakiwaona kuwa ni mashoga.Vijana hao kutoka katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA MAMBO YA WALIMWENGU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATOTO YATIMA WA NGEZE EDUCATION CENTER KUJUMUIKA NA WATOTO WENZAO KATIKA...

  Watoto yatima wa kituo cha Ngeze education center kilichopo maeneo ya kinondoni kwa  msisiri watajumuika na watoto wenzao katika tamasha la Raha za jana na leo linalojumuisha burudani ya bendi za...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>