Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IKULU YAKANUSHA KUHUSU RAIS KIKWETE KUONGEZEWA MUDA WA KUKAA MADARAKANI

Mwenyekiti wa Chama cha CUF, Mheshimiwa Profesa Ibrahim Lipumba amekaririwa na Gazeti la Mwananchi la leo, Jumatano, Mei 15, 2013 akisema kuwa “amenasa taarifa za siri za kuwepo kwa mipango ya kuongeza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SISTER WA BANDIA, MTUMISHI WA MAHAKAMA WAKAMATWA KWA MATUKIO TOFAUTI

Mwanamke - anayejiita Sister Phylis Wanjiru Kamau, raia wa Kitui nchini Kenya akiwa ofisi za kamanda wa jeshi la Polisi mkoa wa Iringa, baada ya kukamatwaTaarifa za kipolisi, za kukamatwa kwa Sister...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI WARIOBA: JUKWAA LA KATIBA RUKSA KWENDA MAHAKAMANI

Tume ya Mabadiliko ya Katiba imesema haimzuii mwananchi, asasi au taasisi yoyote kufungua kesiMahakamani kupinga au kuzuia mchakato unaoendelea wa Katiba Mpya.Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Joseph...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TWEET MBILI ZA MWANADADA LADY JAY DEE AKIKANUSHA UVUMI WA YEYE KUHAMA...

 Staa wa bongo kupitia bongo fleva amekanusha uvumi kuwa yeye atahama nchi yake na hichi ndicho alicho kiandika kupitia ukurasa wake wa twitter Lady JayDee @JideJaydee ''Hivi watu huwa hawajui...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKOFU MKUU NORBERT MTEGA AKUBALIWA KUSTAAFU

BABA Mtakatifu Francis, amekubali ombi la Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Songea, Norbert Mtega (68),pichani, kustaafu katika utume wa kuongoza jimbo hilo.Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA LEO

 Waziri wa Viwanda na Biashara,Dr. Abdallah Kigoda akiwasilisha bajeti ya Wizara yake Bungeni Mjini Dodonoma May 15,2013. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema , Godbless...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA MAMBO YA WALIMWENGU

Yo

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA:JIMAMA ZIMA LIMEVAA NUSU UCHI,AIBU TUPU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA MAMBO YA WALIMWENGU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, Asha Balozi na Wake wa Wabunge...

MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akimkabidhi mifuko ya saraju na fedha tasilim Katibu wa Halmashauri ya Tawi hilo Mussa Nyange, kwa ajili ya kumalizia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAJALA KUIGIZA FILAMU YA MAISHA YAKE HALISI SEGEREA, APONGEZWA NA KUPONDWA.

News is that actress Kajala Masanja anatarajia kucheza katika filamu ambayo itaelezea maisha yake halisi ya kesi yake iliyokuwa ikimkabili. filamu hiyo itaelezea tangu mwazo wa issue hilo, mahakamani,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UN YATAHADHARISHA AFRIKA KUWA KITOVU CHA UGAIDI

Mwakilishi wa Kudumu wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi (kulia) akizungumza wakati wa majadiliano ya wazi ya Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jumuiya za CCM kuwajengea uwezo vijana kujinasua na hali ngumu ya kimaisha

 Baadhi ya Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali walioshiriki katika Mkutano wa Jumuiya za UVCCM, UWT na Wazee. Mkutano huo uliofanyika Makao Makuu ya CCM Zanzibar Kisiwandui. Mwandishi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PSPF YANG'ARA KATIKA WIKI YA HIFADHI YA JAMII DODOMA‏

 Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudentia Kabaka akifungua rasmi semina ya waandishi wa habari iliyoandaliwa na SSRA na Mifuko ya Hifadhi ya jamii   Mkurugenzi Mkuu wa SSRA BI Irene Isaka akijibu baadhi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jaji Warioba: Jukwaa la Katiba Ruksa kwenda Mahakamani

 Na Mwandishi WetuTume ya Mabadiliko ya Katiba imesema haimzuii mwananchi, asasi au taasisi yoyote kufungua kesi Mahakamani kupinga au kuzuia mchakato unaoendelea wa Katiba Mpya.Mwenyekiti wa Tume...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIYEJERUHIWA NA BOMU KANISANI ARUSHA APOTEZA JICHO!!

Mfanyabiashara Apolnary Malamsha (33)  wa Arusha ambaye jicho lake limepata hitilafu baada ya kutobolewa na chuma cha bomu wiki mbili zilizopita akiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili jana( Picha na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Fatma Ferej, Waziri Juma Duni na Waziri Teresiya Wafika Bandarini...

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Fatma Ferej (kushoto)Waziri waNchi Ofisi ya Rais inayoshughulikia Mazingira Tanzania Bara Mhe Teresiya Havisa, waiwasili katika viwanja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE ATEMBELEA VIWANDA VYA BIDCO OIL NA AZAM BUGURUNI

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na wadau wa lishe bora kutoka mashirika mbalimbali ya kimataifa  wakizindua mpango wa kuweka virutubisho vya lishe bora katika bidhaa za unga na mafuta nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA UBINGWA WA CHELSEA

RESPECT to ChelseaIvanovic Benfica 1-2 CHELSEAHit LIKE for Fernando TorresTORRESSSSS!!!!! Benfica 0-1 CHELSEAHow many likes? Ivanovic ♥Eusebio, Platini and Cruyff at Amsterdam Arena. #LEGENDS

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI TAREHE 16.05.2013

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>