Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI MKUU WA TANZANIA AELEZA MIKAKATI YA KUBORESHA MAHAKAMA KUU NCHINI .....

Jaji  mku wa Tanzania Mhe.Mohamed Chande............................................... Na Elizabeth NtambalaSumbawangaJAJI mkuu wa Tanzania Mohamed Chande  amesema kuwa mahakama  kuu Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNA HABARI?: Manumba kesharejea kazini

Hatimaye hali ya afya ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Nchini, Robert Manumba(Pichani juu), imeimarika na amerejea kazini, limeandika Mwananchi Akizungumza kwa njia ya simu, Msemaji wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchungaji Msingwa alia upendeleo TBC

MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), amehoji ni lini serikali itarekebisha mwonekano ulioanza kujitokeza kwa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) kwa kutoa habari kwa kukipendelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO IJUMAA TAREHE 17.05.2013

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA GENGE LA MATAPELI WANAOJIFANYA MAAFISA WA TAKUKURU ANASWA JIJINI...

Mtuhumiwa Simon Jumbe anayetajwa kujifanya afisa wa Takukuru.TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mwanza imefanikiwa kumnasa mtu mmoja ambaye anasadikika kuwa mkuu wa genge la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA YA JANUARI MAKAMBA AKIWA NA BIBI YAKE

"Nikizungumza na bibi yangu mzaa baba wikiendi iliyopita."

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA CHADEMA AJIANDAA KULIPA KISASI CHA MWAKA JANA KUAMBIWA ANAPOKEA...

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini Zitto (Chadema) Kabwe ameonyesha nia ya kupinga ama kuikwamisha hotuba ya bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kutokana na hatua ya Serikali kugawa vitalu vipya kabla ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete aongoza Sherehe za maadhimisho ya mifuko ya jamii

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wadau na viongozi wa mifuko ya hifadhi ya jamii wakati wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya Mifuko hifadhi ya ya jamii iliyofanyika mjini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUGU, PROPESA JAY, ROMA MKATOLIKI WAPIGIWA DEBE KUALIKWA KATIKA SHOW YA LADY...

 Joseph Mbilinyi aka "Sugu" Joseph Haule aka Proffessor Jay" R.O.M.A Mkatoliki Lady Jay Dee mwenyewe K na D wa Maujanja Saplayaz (Kulwa na Dotto)WAKATI wapenzi wa muziki wa kizazi kipya nchini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA TUKIO ZIMA LA MLINZI ALIYEUAWAWA NA MAJAMBAZI O MOROGORO

MWILI WA MAREHEMU MICHAEL ATHMAN UKIWA KATIKA MEZA ENEO LA TUKIO BAR YA DAJARANI STOP OVER ILIYOPO KANDO YA MTO MOROGORO MZAMBARAUNI BAADA YA KUPIGWA NA KITU KIZITO NA KUSABABUSHA KUVUJA DAMU NA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE ATEMBELEA KIWANDA CHA EAST COASTS OILS AND...

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Sophia Mjema akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiq pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya MeTL Mh. Mohammed Dewji (Mb) wakati wakisubiri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJINA YA WANAFUNZI WA CBE NA UDSM WALIONASWA WAKIJIUZA ( MAKAHABA)

Wanafunzi wa kike wa chuo kikuu cha Dar es salaam [UDSM],Chuo cha elimu ya biashara [CBE]na chuo cha mamlaka ya Elimu na ufundi  stadi [VETA],Dar es salaam ,wamefikishwa katika mahakama ya jiji samora...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA KUSHANGAZA ZA WASANII WA ZE KOMEDI ZAZUA GUMZO AIBU TUPU

  MASANII WA KUNDI LA ZE KOMEDY MASTER FACE AKIWA NA MMOJA WA WASICHANA HAO. HAPA  MSANII KIWEWE AKIWA AMEWAKUMBATIA WABINT HAO KABLA YA KUINGIA NAO KWENYE MAJI MMOJA WA WASICHANA HAO ALIYEJITAMBULISHA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA MAMBO YA WALIMWENGU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAKABIDHI MSAADA WA MIPIRA NA JEZI KWA BINGWA WA MKOA WA KILIMANJARO...

Mdau wa mpira wa miguu, Mwihava Hezron( aliyevalia Jezi ya bluu) akimkabidhi mipira mitano, Makamu Mwenyekiti wa Machava FC, Abuu Masoud (aliyevaa suti). mipira hiyo ni moja ya misaada iliyotolewa leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HABARI NJEMA KWA WAKAZI WA MKOA WA IRINGA , ILE KAMPUNI MAARUFU YA UCHIMBAJI...

BUSIGER DRILLING COMPANY   ni  jibu lako  sasa  kwa  huduma ya uchimbaji  visiwa nchini Tanzania Iwapo  wewe ni taasisi ,kampuni ama mtu  binafsi wahitaji kumiliki  kisima cha maji cha kisasa kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Teknolojia ya kisasa ya mawasiliano ndiyo mkombozi wa uchumi mataifa machanga...

 Makamu wa Rais wa Kampuni ya Kimataifa ya Vifaa vya Mtandao wa Teknolojia ya Kisasa ya Zhong Xing Telecommunication Equipment { ZTE }ya Nchini China Bwana Chen Jinsong akizungumza na Makamu wa Pili wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI 15 WAKAMATWA NA POLISI MBEYA

RPC  Mbeya Diwani AthumanNa Esther Macha, MbeyaWANAFUNZI kumi na tano(15) katika shule ya sekondari ya Wazazi ya Lupata Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kuchoma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Unga mbovu bandarini kuondoshwa mwezi ujao

 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na mjumbe wa kamati ya kudumu ya Baraza la Wawakilishi inayosimamia ofisi wa Viongozi wakuu wa Serikali, Ali Mzee Ali, wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIWANI WA CCM KATA YA TITU KILOLO AFARIKI DUNIA

Chama  cha mapinduzi (CCM) wilaya ya  Kilolo  mkani Iringa  kimpata  pigo  kubwa  kufuatia  kifo cha  diwani  wake wa kata ya Mtitu Marehemu  Checo Ngimba.Taarifa  ambazo mtandao  huu  wa...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>