Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAULI YA ZITTO KABWE BAADA YA MAHAKAMA KUMPA USHINDI DHIDI YA CHADEMA

Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe jana alitinga  mahakama kuu  kupinga kujadiliwa kwenye kikao cha kamati kuu ya Chadema,Kikao ambacho kilikuwa kikutane leo.Hii  ni  kauli  yake  baada  ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA ZA THELUJI KATIKA JIJI LA NEW YORK

Bill de Blasio, Mayor mpya wa New York siku ya pili toka aapishwe kuanza kulitumikia jiji la wasilo lala New York, Sasa ana kumbana na storm ya theluji mtihani wake wa kwanza kuhakikisha jiji linakuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MHE. PINDA AKIWA MAPUMZIKONI JIMBONI KWAKE

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akikagua shmaba la mahindi katika  kijiji cha Mamba wilayani Mlele akiwa katika mapumziko, jimboni kwake Katavi Januari 2, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK.SHEIN AFUNGUA MAONESHO YA MIKA 50 YA MAPINDUZI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akikata utepe kuyafungua Maonesho ya Miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar,yaliyofanyika jana viwanja vya Beit el Ras,katika shamra...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILICHOMUUA MGIMWA KUWEKWA HADHARANI JUMAPILI

Mwili wa Dk Mgimwa aliyekuwa Waziri wa Fedha, unatarajiwa kuletwa nchini kesho ukitokea Pretoria, Afrika Kusini. Mgimwa alifariki dunia katika Hospitali ya Kloof Medi-Clinic iliyoko Pretoria...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHG. MSIGWA AMBEZA JK KUHUSU UJANGILI

Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) amesema kama Rais Jakaya Kikwete anadhamira ya kweli kutokomeza ujangili nchini ni vyema akasafisha kwanza Serikali na chama chake. Akihutubia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZOZO WA MAPENZI WAUA MKE SINGIDA, MWINGINE AJIUA BAADA YA KUMTIA UJAUZITO...

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Geofrey KamwelaMKAZI wa Kijiji cha Mwasutianga, Kata ya Irisya, wilayani  Ikungi, Singida, Mwanahamisi Mwangu (72), amekufa baada ya kupigwa mateke na ngumi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mata aonyeshwa mlango wa kutoka darajani

Mourinho akiwa na Mata KOCHA Jose Mourinho amemwambia Juan Mata anaweza 'kuchapa mwendo' (kuondoka) Chelsea baada ya kukasirika alipofanyiwa 'sabu' dakika ya 53 katika mechi ya kwanza ya mwaka mpya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKWELI KUHUSU WACHINA KUKAMATWA NA PEMBE ZA NDOVU DAR

TAARIFA KWA UMMAMamlaka ya Bandari Tanzania kwa kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na vyombo vingine vya Dola, tarehe 2 Januari 2014 majira ya saa tatu asubuhi kwenye Bandari ya Dar...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WARIOBA:SERIKALI TATU SI MZIGO

MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini,Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, ametetea muundowa serikali tatu kuwa hauna gharama, tofauti nainavyotafsiriwa na wengi. Mbali na kutetea gharama za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ikiwa ni mwaka mmoja toka Sajuki afariki dunia,hiki ndicho alichokiandika...

Jana Januari 02 ni kumbukumbu cha kifo cha Sajuki star aliyekuwa akitokea kiwanda cha filamu Bongo yaani Bongomovie,kumbukumbu zimefanyika nyumbani kwao Sajuki huko Songea,hiki ndicho alichokiandika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madagascar yapata Rais mpya

Rais mpya wa Madagascar Hery RajaonarimampianinaMaafisa nchini Madagascar wanasema kuwa matokeo ya mwanzo mwanzo ya duru ya pili ya uchaguzi wa Rais uliofanyika mwezi Disemba, yanaonyesha mshindi kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Angalia hapa picha hii ndio Sehemu atakapozikwa marehemu dk William Mgimwa...

Katibu wa mbunge Dr Wiliam Mgimwa Bw Martine Simangwa akiwaonyesha viongozi  wa  CCM eneo ambalo waziri Mgimwa atazikwa  katika  kijiji  cha Magunga kata  ya Maboga  jimbo la Kalenga. 

View Article


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA TFF

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS AAMURU MJOMBA WAKE AULIWE NA KULIWA NA MBWA 120 WAKALI WENYE NJAA KALI

Rodong Sinmun / Yonhap via Reuters, fileKim Jone Un's uncle Jang Song Thaek is dragged into court by uniformed personnel prior to last month's execution.By Eric Baculinao and Alexander Smith, NBC...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA WAFANYA KIKAO CHA KAMATI KUU LEO JIJINI DAR

 Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (katikati), akiwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk. Wilbroad Slaa (kushoto) na Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Said Issa Mohamed wakati wa Kikao cha Kamati Kuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIYEJIFUNGUA MAPACHA WANNE KWA MKUPUO AENDELEA VIZURI AOMBA MSAADA KWA...

Aida Nakawala mkazi wa kijiji cha Chiwanda Wilaya ya Momba Mkoa wa Mbeya, hivi karibuni alijifungua watoto wanne  mapacha kwa mkupuo(Quadliplets) katika usiku wa kuamkia Mwaka mpya anaendelea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA YANGA YAANZA KUJIFUA CHINI YA MKWASA

Mkwasa (mwenye rangi za Bluu) akiongoza mazoezi leo asubuhi katika uwanja wa Bora Mabatini KjitonyamaMabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara timu ya Young Africans leo imeeanza kujifua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUNAOMBA RADHI KWA PICHA::MFANYABIASHARA WA KIKE APIGWA RISASI USONI NA...

Mfanyabiashara mmoja (Jina Halikufahamika) Mwenye asili ya Asia ameshambuliwa na majabazi (majira ya saa 12 Kasoro jioni )kwa kupigwa risasi katika paji la uso wake na kisha majambazi hao kutoweka na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIBU KUBWA...PICHAZ..AKUTWA UCHI AMEANGUKA MBELE YA FREMU ZA MADUKA ILALA...

Mzee mmoja ambaye hakuweza kufahamika jina mnamo alfajiri ya siku ya Jumamosi alikutwa uchi wa mnama akiwa ameanguka mbele ya nyumba moja iliyopo eneo la Ilala, Sharif Shamba kwa kile kinachoaminika...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>