Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LORI LA MAFUTA LAKAMATWA LIKISAFIRISHA VIPODOZI HATARI

Baadhi  ya  vipodozi vilivyokamatwa Mifuniko ya  tenki la mafuta  ikiwa imefunguliwa baada ya kutolewa vipodozi Ndani ya  lori  hilo  baada  ya  kutolewa  vipodozi  hivyo Kamanda wa  polisi  mkoa  wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BRANDTS AWAGOMEA YANGA DAR!!

Brandts ambaye yupo katika kuitumikia notisi ya siku 30 aliyopewa na uongozi wa Yanga ikiwa ni mpango wa kumuondoa katika cheo chake hicho. KOCHA Mkuu wa Yanga Ernie Brandts, amegoma kuendelea na kazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MARUFUKU KULIPUA FATAKI MKESHA WA MWAKA MPYA..

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limepiga marufuku ulipuaji wa fataki wakati wa sherehe za mkesha wa Mwaka Mpya, kutokana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA WAENDESHA BODABODA NA MHE JANUARY MAKAMBA WAFANA JIJINI MWANZA

Naibu wa Waziri wa Wizara ya Sayansi na Teknolojia January Makamba.Kabla ya kongamano hilo madereva hao wa bodaboda walifanya maandamano toka makao makuu ya ofisi zao yaliyopo mtaa wa malango mmoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTENDAJI KAZI WA MBUNGE FILIKUNJOMBE WAWAVUTIA WAPIGA KURA WAAMUA KUMBEBA...

Wananchi  wa kata  ya Manda  Ludewa wakimfuta  jasho  mbunge  wao  Deo Filikunjombe kama  kumpongeza kwa utekelezaji  mzuri wa ahadi  na uwakilishi  uliotukuka bungeni Mbunge wa  jimbo la Ludewa Deo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASHANTI UNITED YATOA KADI ZA UANACHAMA, WAPENZI WA KANDANDA WAOMBWA KUJIUNGA !!

Na Baraka Mpenja wa Fullshangwe, Dar es salaamTel: 0712461976 au 0764302956WAPENZI wa soka nchini wameombwa kujitokeza kwa wingi kuomba kadi za uanachama katika klabu ya Ashanti United yenye makazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JANUARY MAKAMBA AJIPIGIA DEBE LA URAISI KIAINA ..........SOMA HAPA ALICHOKISEMA!

Mwanza. Katika kile kinachoonekana kama kujipigia debe katika kinyang’anyiro cha urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba amewaambia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU NI UGONJWA HATARI!!~ TAZAMA HAPA AKIFANYIWA OPESHENI BAADA YA NYAMA KUBWA...

Bwana mmoja aliefahamika kwa jina la Huan Chuncai mwenye umri wa miaka 37 mkazi wa jimbo la Hunan anasumbuliwa na tatizo la nyama kukua kwa kasi katikakichwa chake hususan maeneo ya uso,ugonjwaambao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU NDIO UJUMBE MZITO ALIOACHA JACKIE CLIFF KABLA YA KUDAIWA KUKAMATWA NA...

Yaelekea mwanadada Jackie alikuwa amejipanga kisawa sawa na alijitoa muhanga na kujua lolote lingeweza kumpata kutokana na kazi aliyo kuwa akifanya ya kubeba sembe. Jackie alijipanga na  kuamua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIGI KUU ENGLAND MAN CITY WASHINDA WAPANDA KILELENI

Man City 1 Crystal Palace 0Easy does it: Manchester City striker Edin Dzeko sweeps the ball past Julian Speroni to give his side the lead against Crystal PalaceMan of the moment: Dzeko (right)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANCHESTER UNITED WAENDELEZA WIMBI LA USHINDI ,WAICHAPA NORWICH

Norwich 0 Man United 1:Goal! Danny Welbeck scored soon after coming on to win the game for Manchester UnitedDelight: Welbeck's goal gave David Moyes' side the lead in the second halfAhead: The United...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maggid Mjengwa azindua kitabu cha Simulizi za Mzee Mandela leo

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Ikolo Investment,Maggid Mjengwa akizungumza na wadau mbalimbali waliohudhulia kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa Kitabu cha "Simulizi za Mzee Mandela" kilichoandikwa na Maggid...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMAYE TV IMAAN YAPEWA KIBALI CHA KUANZA UJENZI,TAARIFA KAMILI HII HAPA

Picha chini ni CEO wa Tv Imaan Br Ally Ally Ajiraan akionesha bahasha ya barua waliopewa na Tume ya mawasiliano Tanzania (TCRA) yenye maelezo kuhusu Tv Imaan.Na chini ni barua yenyewe. Hii ni ishara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mh. Lowassa audhuria mazishi ya kada wa ccm monduli

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu David Pelo Kivuyo aliekuwa Diwani wa zamani wa Makuyuni.Pelo ambaye pia aliwahi kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tumsilaumu Jackie Cliff, tumlaumu aliyemfundisha kuvua samaki, fahamu...

Jackie Cliff… mrembo wa haja niliyeanza kumfahamu kwenye video ya She Got A Gwan ya Ngwair. Ni msichana aliyeenda hewani na Mungu kampelea haswaa. Ukikutana naye huwezi kumwangalia mara moja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKWASA, PONDAMALI, WATAMBULISHWA RASMI KWA WACHEZAJI KUANZA KUINOA YANGA LEO

Uongozi wa Young Africans SC umepata warithi wa nafasi tatu za benchi la ufundi (Charles Boniface Mkwasa, Juma Pondamali na Dr. Suphian Juma), huku wakiendelea na mchakato kumpata kocha mkuu ambaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CARDIFF CITY YATEUA OLE GUNNER SOLSKJAER KUWA MENEJA WAO MPYA

KLABU ya Cardiff City imethibitisha kumteua Ole Gunner Solskjaer kuwa meneja mpya wa klabu hiyo. Solskjaer anachukua nafasi ya mikoba ya Malky Mackay ambaye alitimuliwa na mmiliki wa klabu hiyo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA YATOA MAELEZO KUHUSU PINGAMIZI ALILOWEKA ZITTO KABWE MAHAKAMANI

Mmoja wa wanachama watatu wa CHADEMA waliovuliwa nafasi zao za uongozi ndani ya chama, Zitto Kabwe kupitia kwa Wakili wake, Alberto Msando, leo ameanza kufanya ‘FORUM SHOPPING’ kwa kupeleka maombi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA HOFU YA KUONEKANA KITU KINACHODHANIWANI KUWA NI BOMU...

 Vikosi Maalum Vya Ulinzi na Usalama Wakiangalia kwa makini na kuondoa kitu kilichodhaniwa kuwa ni bomu kwenye kituo cha mabasi Shekilango jijini Dar es Salaam,  kwenye makutano ya Barabara za Morogoro...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZANZIBZR YENYE NEEMA YAJA BALOZI SEIF ALI IDDI AKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA NJE.

Makamu wa Pili mwa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Ujumbe wa Kampuni ya Kimataifa inayojishughulisha na uwekezaji katika sekta ya Viwanda, Bandari na Viwanja vya Ndege ya ALTEC...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>