Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT. CHARLES KIMEI ACHAGULIWA KUWANIA TUZO YA KIONGOZI BORA WA MABENKI AFRIKA...

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei (pichani) amechaguliwa kwenye mchakato wa kumtafuta “kinara wa Benki wa Afrika” kwa mwaka 2013 unaoendeshwa na African Banker Awards chini ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DUCE YAPOKEA MSAADA WA KOPYUTA 20 TOKA VODACOM

.Mkuu wa Kitivo cha Elimu wa Shule ya Ualimu ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk Kitila Mkumbo (kulia) akifafanua jambo mbele ya Maofisa mbalimbali wa Vodacom Foundation muda mfupi baada ya Kampuni ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AUDHURIA MAZISHI YA KADA MAARUFU MAKUYUNI

Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa Akitoa heshima za mwisho kwa alie kuwa  kada maarufu wa CCM kata ya Makuyuni wilaya Monduli James Olekipoon aliyefariki Jumatatu na kuzikwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAVID MOYES ATHIBITISHWA RASMI KUMRITHI FERGUSON KWA MKATABA WA MIAKA 6

Hatimaye Manchester United imethibitisha DAVID MOYES ndio atakuwa kocha mpya wa kumrithi Sir Alex Ferguson kwa mkataba wa miaka 6.Alex Ferguson jana alitangaza kustaafu kuifundisha timu hiyo aliyodumu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI DODOMA LEO

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera , Utaribu na Bunge  William Lukuvi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ismani, Iringa (kushoto) akizungumza jambo na  baadhi ya wabunge wa CHADEMA ambao ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA NA MATUKIO KATIKA PICHA MKUTANO WA (ALAT) ARUSHA

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mbunge wa Singida  Mashariki, Tundu Lisu kwenye uwanaj wa ndege wa Kilimanjaro alikowasili  May 8,2013 ili kufungua mkutano Mkuu wa ALAT jijini Arusha, May...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKIN NEWZZ:! RUAHA KIMENUKA

RUAHA WILAYANI KILOSA KUNA VURUGU KUBWA SANA BAINA YA WANANCHI NA POLISI INAENDELEA SASA HIVITaarifa nilizozipata muda na watu ambao wapo kwenye tukio, wanasema hali si shwari katika mji wa ruaha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA MADADA HAWA BAADA YA KUPIGA TUNG KUPITA KIASI

HIVI KWANI LAZIMA MTU UNYWE MPAKA UJIAIBISHE HIVI JAMANI?HAWA NI WANAFUNZI WAKIFURAHIA USIKU WAO WA ULEVI - U.K

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PIVCHA YA DADA ALIYEAMUA KUVUA NGUO BAADA YA KUNYWA POMBE BILA KULA

KITUKO cha aina yake kimejiri Jumamosi iliyopita ndani ya Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar wakati Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’ ilipokuwa ikitumbuizaKatika onesho hilo, mwanamke mmoja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKUENDA AFRIKA KUSINI KUJIUZA....PICHJA ZANGU ZILISAMBAA NIKIWA...

Anaweza kuwa ndo video queen hot&sexy zaidi Bongo na ingawa ameshiriki on two videos pekee anabaki kuwa Video queen mwenye jina kubwa zaidi. Siku za karibuni amekuwa akimake headlines on social...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA KANUMBA: CHONDECHONDE, KABURI LA MWANANGU LISIGEUZWE MTAJI

Mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa.Na Gladness MallyaBAADA ya siku za hivi karibuni kubainika kuwa baadhi ya vijana wanaolinda makaburi ya Kinondoni wamegeuza mtaji kaburi la aliyekuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND PLATZNUM ANAPOMKANA MDOGO WAKE WA DAMU!!

Katika pita pita zetu tukutana na kijana aitwaye Saleh Abdul anayedai kuwa ni mdogo wake na Diamond Platnumz. Saleh anadai yeye na Diamond wanachangia baba lakini jitihada zake za kuwa karibu na kaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI WAUA TARIME MTOTO WA MIAKA 9 KWA RISASI; TUNAOMBA RADHI KWA PICHA

Haya ndiyo yaliyofanyika Tarime Jana mtoto wa miaka 9 kuuuwa na jeshi la polisi kwa uzembe eti wanawakamata majambazi ambao si wale wanaoiba na kuuwa watu mpaka mwa Tanzania na Kenya.na dj blog

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOMO WA DALADALA UMEANZA KWA KASI ASUBUHI HII MKOANI IRINGA.

Yawezekana ikawa sawa kutimia usafiri huu kutokana na mgomo wa daladala mtu kuwa ofisini  Boda boda zinachekelea kwa kupiga kazi leo.MGOMO  wa  daladala  umeanza  kwa  kasi katika mji  wa Iringa baada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAAJABU. KUTOKA KENYA ALIYE JIBADILISH JINSIA NA MWANAMKE ASHITAKI BARAZA LA...

Afisa Mkuu Mtendaji wa Baraza la Kitaifa la Mitihani (KNEC) Paul Wasanga.BAADA YA KUJIBADILISHABAADA YA KUJIBADILISHAMWANAUME aliyegeuza jinsia yake, amelishtaki baraza la mitihani nchini, Kenya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMKO LA CCM MKOA WA MOROGORO KUHUSU VURUGU ZILIZOTOKEA RUAHA JANA JIONI

   Ndugu wananchi Tarehe 24/4/2013  ulifanyika uchaguzi wa mwenyekiti wa Serikali ya kijiji cha Ruaha. Vyama vilivyoweka wagombea vilikuwa CCM na CHADEMA. Hata hivyo mgombea wa Chadema alienguliwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA MWANADADA NISHA KUTOKA BONGO MOVIE AKIWAFANYIA WAFANYA KAZI...

Mwanadada ''Nisha'' Msanii maahiri kutoka swahili wood Anaekuja kwa kasi ya juu katika tasnia ya filamu hapa nchini Leo Amefanya mahojiano na masainyotambofu.blogspot.com kuhusu Shoping aliowafanyia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA DIAMOND NA PENNY MDA MCHACHE TU BAADA YA DIAMOND KUTUA BONGO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA YA MSICHA MREMBO ALIYE JICHOMA SINDANO YA MAFUTA NA KUHARIBIKA...

Mwathirika wa utengenezaji upya viungo amejidunga sindano ya mafuta ya kupikia kwenye uso wake baada ya madaktari kugoma kumpatia silikoni zaidi.Mrembo wa zamani Hang Mioku ameharibika kabisa sura yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU CHACHE BAADA YA UGOMVI NA CLOUDS FM LADY JAYDEE AFUNGULIWA KESI MAHAKAMANI

Bado joto ya show ya mika 13 ya Lady JayDee inazidi kupanda kutokana na mengi yanayohofiwa kutokea siku hiyo. Kwanza kulikuwa na tetesi kuwa huenda Clouds Fm wakafanya show nyingine siku hiyo, kitu...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>