Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BHARTI AIRTEL YASAIDIA KUONDOA UMASKINI KUPITIA MRADI WA MILLENIUM VILLAGE

Meneja huduma kwa jamii wa Airtel Hawa Bayumi akiongea wafanyakazi wa afya wa mradi wa millenium village wakati akikabithi simcards 240 zitakazowasaidia wafanya kazi hao kuwasiliana kwa bei nafuu na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKATI MWILI WA MWANGEA UKITARAJIWA KUWASILI MORO WAKATI WOWOTE KUANZIA SASA...

Mama mzazi wa marehemu Albet Mangwea Bi.Denisia Mangwea akiwa kitandani nyumbani kwake kihonda muda mfupi baada ya kutoka hospital ya mkoa wa Morogoro alikokuwa amelazwa baada ya kuanguka ghafla baada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA YA MDADA AFARIKI BAADA YA KUPIGWA KISS KWA MARA KWANZA TANGU...

Jemma BenjaminYapo matukio mengi yaliyotokea na yanaendelea kutokea katika karne ya 21 ambayo husikikitisha na yapo ya kushangaza kwa jinsi yalivyotokea, lakini hili pia ni moja kati ya yaliyowahi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICGA ZA RAIS MASIKINI KULIKO MARAIS WOTE DUNIANI,

Leo katika Makala ya siasa namleta kwenu Raisi masikini kuliko wote duniani anaitwa José MujicaKwamajina Kamili naitwa José Alberto "Pepe" Mujica Cordano ni raisi wa Uruguay Tokea mwaka 2010..Alizaliwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA, YANGA ZAKABIDHIWA VIFAA NA TBL TAYARI KUSHIRIKI KOMBE LA KAGAME

 Meneja wa bia ya Kilimanjaro George Kavishe akimkabidhi jezi Makamu Mwenyekiti wa Simba Joseph Itang'are 'Kinesi' jezi katika hafla ya kuikabidhi timu hiyo vifaa itakavyotumia kwenye michuano ya kombe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKE WA RAIS MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA PERAKANAS NCHINI...

Mama Salma akiangalia kazi mbalimbali za mikono ziizokuwa zikifanywa na wanawake Waperakanas wa Singapore zilizohifadhiwa kwenye makumbusho hayoMama Salma akiangalia kazi mbalimbali za mikono ziizokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA ZIFF KUANZA JUNI 29 ZANZIBAR

Mkurugenzi wa Wananchi Progamming,  Bi. Hannelie   Bekker (katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maonesho ya filamu, utamaduni, kazi za mikono na burudani yajulikanayo kama Zanzibar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREKING NEWZZZZ::- SAFARI YA NWAIR MOROGORO WANANCHI WAZIBA NJIA KUAGA MWILI!!

Tuko njiani kwenda Morogoro, kwenye eneo la Mikese baadhi ya mashabiki wamefunga barabara na kuruhusiwa kuuaga mwili wa Marehemu Ngwea.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAONI YA VIGOGO NA VIONGOZI MBALIMBALI JUU YA RASIMU YA KATIBA MPYA HAYA HAPA

Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Maua DaftariMapendekezo yaliyowasilishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, kuhusu muundo wa serikali tatu, umeibua kauli za kukinzana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA IRAN NCHINI AMKUBALI KIONGOZI WA KIDINI MAREHEMU IMAM KHOMAIN KUWA...

BALOZI wa Jamhuri ya Iran nchini Mehdi Aghajafari, amesema kiongozi wa kidini Imam Khomain aliyefariki miaka 24 iliyopita alikuwa kiongozi wa kweli kutokana na kuitawala nchi hiyo kwa kufuata misingi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHABIKI NJIANI WAJITOKEZA KUUAGA MWILI WA MAREHEMU ALBERT MANGWEA

Hapa ni Miembe 7 karibu na Mlandizi Pwani, hawa ni baadhi ya mashabiki wa Marehemu NGwea waliojitokeza barabarani kuuaga mwili unaopita kwenda kuzikwa Morogoro.(Millardayo)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADAWA YA KULEVYA MPYA KUHUSU HUYU DADA ANAYEDAIWA KUNYONGWA IJUMAA...

Hii ndio picha ambayo imesambaa kwenye mitandao mingi ya msichana anesemekana ni Fatma aka Brown Berry wa Ilala Dar es Salaam ambae amehukumiwa kunyongwa huko egypt baada ya kukamatwa na unga.Hii ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA KAMATI YA MAZISHI YA MAREHEMU MANGWEA

Hii ni kamati ya msiba wa marehemu Albert Mangweha ikiongozwa na mwenyekiti wake Adam Juma akitoa maneno ya shukrani kwa watu wote waliojitokeza katika viwanja vya Leaders Leo Jumatano kuuaga mwili wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI WA CHUO CHA KIJESHI CHA MAWASILIANO WATEMBELEA MAKAO MAKUU YA...

Mkuu wa kitengo cha uendeshaji  wa mtandao wa Vodacom Tanzania,Bw.Andrew Lupembe,akiwaonyesha mitungi ya gesi ya kisasa ambayo inatumika kuzima moto  wanafunzi wa chuo cha kijeshi cha mawasiliano cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MR NICE APIGWA CHINI NA LABEL ALIYOKUA AKIFANYA NAYO KAZI KENYA, KISA NI MVIVU.

GrandPa Records Ya Kenya Imevunja Mkataba Wake Wa kazi na Msanii Mr Nice kutoka Tanzania Baada ya miezi michache ya kufanya nae kazi. Fahamu Mr Nice alipewa mkataba na GrandPa Records huku akijua kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA M2 THE P AKIMUAGA RAFIKI YAKE ALBERT MANGWEA MJINI MOROGORO

M2  THE P amefanikiwa  kutoa  salamu zake  za  mwisho  kwa  rafiki yake  kipenzi  ambaye  alikuwa  naye  huko  Afrika  kusini  tena  walikuwa  ndani  ya  chumba  kimoja  kabla ya  mauti  kumkuta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu wa Zimbabwe ataka uchaguzi kucheleweshwa ili kufanyike madadiliko...

 Waziri Mkuu wa Zimbabwe Bw. Morgan Tsvangirai amesema muda uliobaki ni mfupi mno kuweza kutimiza siku iliowekwa kwa ajili ya uchaguzi wa kitaifa nchini humo.Ameongeza kusema kuwa mabadiliko ya msingi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA UMATI ULIOJITOKEZA KUMWAGA MAREHEMU MANGWEA MOROGORO

Hii ni kwenye mlango wa kuingia uwanja wa Jamuhuri kuuaga mwili wa Marehemu Ngwea Morogoro.Foleni ya kwenda kumuaga marehemu Albert Mangwea kwenye uwanja wa Jamuhuri Morogoro.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZAIDI KUTOKA MOROGORO TUKIO LA KUAGWA KWA MANGWEA

 Wananchi waliojitoka uwanjani                                     Huyu nimmoja kati ya walipoteza fahamu uwanjanizoezi la uuagaji wa mwili ukiendeleaRafiki wa wa karibu wa marehemu Albert Mangwea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA KUTOKA MSIBANI KWA MAMA MZAZI WA JAFFARI ALLY (MUME WA KHADIJA KOPA)

Mama Mzazi wa marehemu Jaffari Ally, Bi. Rehema Tuwa, akilia kwa uchungu nyumbani kwake Tandale jijini Dar.Simanzi na majonzi vilitawala msiabani…Mama Mzazi wa marehemu Jaffari Ally, Bi. Rehema Tuwa,...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>