Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA BUNGENI DODOMA LEO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge waBunda na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Utatibu, Mhe. Stephen Wasira. Bngeni Mjini Dodoma Juni 12, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

USIKOSE IJUMAA HII NYUMBANI LOUNGE MIAKA 13 YA LADY JAYDEE KATIKA MUSIC

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YATUNUKUIWA CHETI NA SHIRIKA LA VIWANGO LA...

Mkurugenzi wa uzalishaji na usambazaji wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Mark Taylor pamoja na Meneja viwango wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Paul Kitambi wakionesha cheti walichotunukiwa na Shirika la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASTARA ATOKEWA NA SAJUKI KITANDANI

          Wastara Juma akiwa na mumewe Sadick Juma Kiwoloko ‘Sajuki’ enzi za uhai wake.SIKU chache baada ya staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma kumaliza eda na kurejea Bongo akitokea Uarubuni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDALIZI YA MTANANGE WA KUKATA NA SHOKA KATI YA NMB NA WABUNGE UWANJA WA...

 Mheshimiwa Kassim Majaliwa akipokea jezi kwa ajili ya mechi hiyo kati ya Wabunge na NMB  kutoka kwa Nahodha msaidizi wa timu ya NMB, Hezbon Mpate. Makabidhiano haya ya Jezi zenye thamani ya shilingi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI MSTAAFU MARCK BOMANI AZUNGUMZIA RASIMU YA KATIBA

Jaji mstaafu Marck Bomani akisisitiza jambo wakati akiongea na wandishi wa habari kuhusu rasimu ya katiba mpya kushoto ni Naibu mkurugenzi Idara ya  habari  Maelezo Vicent TiganyaMsajili wa Baraza la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAAJABU YA DUNIA ! MTOTO WA MIAKA 5 ALIYEBEBA UJAUZITO NA KUJIFUNGUA MTOTO WA...

LINA akiwa amelezwa mara baada ya kujifungua kwa njia ya upasuaji.LINA MEDINA LINA AKIWA MJAMZITO.  LINA AKIWA NA MTOTO NA MMOJA WA MADAKTARI WALIOMFANYIA UPASUAJI NA KUJIFUNGUA MTOTO HUYO KATIKA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

.CHATU AKIWA AMEMMEZA MWANAMKE SIKU MBILI ZILIZO PITA

Linda Laina Nyatoro, a South African reporter witnessed the incident and sent this picture. The giant snake swallowed a woman two days ago, near Durban North, South Africa.Y

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Apata dili lingine

Wanasema hela huenda kwa wenye hela na mwenye nacho huongezewa zaidi. Sina uhakika, lakini kwa mujibu wa picha nilizoziona kwenye akaunti ya Instagram ya Diamond Platnumz, inaonekana kama the lad is...

View Article


Mama aliyelala kwenye paa la nyumba ili isiuzwe mbezi

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANA FA AFUNGUKA KUHUSU BIFU LAKE NA LADY JAYDEE

Baada  ya  kutibuana  na  Lady  Jaydee, Mwana  FA  ameamua  kuvunja  ukimya  na kuwataka  mashabiki  wachukulie  poa  maana  ni hali  ya  kawaida  tu  katika  maisha  ya  kibinadamu.....Ugomvi  wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNAIFAHAMU ADHA/AIBU YA KUFUMANIWA......ACHA UZINZI TULIA NA WAKO

Hii Tabia ya Kutembea  na Waume au Wake za Watu  iishe jamani? Mbona Wanaume au wanawake Ma-Bachelor Wapo Kibao? Ukimwi nao hatuuogopi? Kuna Nini Huko Katika Ndoa? Uchunguzi uliofanywa  na mtandao huu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwili wa marehemu Perpetua aliyechinjwa na kutupwa kwenye shimo la taka...

                                   Mwili wa marehemu ukiingia nyumbani kwa jaji Kileo                                          Waombolezaji wakitoa heshima zao za mwisho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA WA MBEYA MH. KANDORO AMALIZA MGOGORO KATI YA MADIWANI NA...

Serikali Mkoani Mbeya imeumaliza mgogoro uliokuwepo baina ya Madiwani na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbaralali, Abdallah Mfaume, uliodumu kwa miezi kadhaa. Mgogoro huo ulitokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imemfukuza kazi askari wake wa...

 WP AmisaJeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imemfukuza kazi askari wake wa kike, WP Amisa, aliyekuwa akifanya kazi kituo cha Polisi Magomeni kutokana na utovu wa nidhamu. Kamanda wa Kanda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MR. NICE ATOSWA, CHAMELEONE ANG'ARA MAREKANI

NAIROBI, KenyaKAMPUNI ya Grandpa Records ya Kenya imevunja mkataba wake na mwanamuziki Lucas Nkenda 'Mr. Nice'.Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Refigah Slams amelieleza gazeti la Daily Nation la Kenya wiki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOURINHO AAMUA KUMSAINI LEWANDOWSKI,TORRES NA BA

LewandowskiKLABU ya Chelsea imehamishia mawindo yake kwa mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Robert Lewandowski katika harakati za kocha Jose Mourinho kusaka kiongozi wa safu ya ushambuliaji.Mourinho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIMEWASAMEHE WALIONIPIGA NA KUNIVUNJIA KAMERA UWANJANI

NAPENDA KUTOA SHUKRANI ZA DHATI KWA WADAU WOTE WALIOGUSWA JUU YA MKASA ULIONIKUTA WA KUPIGWA NA KUVUNJIWA KAMERA YANGU WAKATI WA MECHI YA LIGI YA MABINGWA WA MIKOA KATI YA TIMU YA NJOMBE MJI NA KIMONDO...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUJISHUGULISHA NI MUHIMU

Mwajuma Mohamedi akitayarisha samaki katika eneo la njiapanda Mjimpya Manispaa ya Morogoro muda mfupi kabla ya kuwakaanga na kuwauzia wateja wake kiasi cha sh 400 hadi sh 1000 kulingana na ukubwa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUELEKEA MECHI YA STARS V IVORY COAST:KILIMANJARO LAGER YATAKA WATANZANIA...

Na Mwandishi wetuWadhamini wa Timu ya Taifa (Taifa Stars), Kilimanjaro Premium Lager wamewaomba watanzania washikane na kuungana pamoja wakati wa mechi dhidi ya Ivory Coast kutafuta tiketi ya kucheza...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>