Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamke aliyetengana na mumewe, avamiwa, akatwa mkono

Mwanamke mmoja Sumayi Girandi mkazi wa kijiji cha Kunzugu wilayani Bunda amepoteza vidole vitatu vya mkono wa kulia na kiganja cha mkono wa kushoto kukatwa baada kushambuliwa kwa mapanga na watu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kesi dhidi ya Kilewo na watuhumiwa wengine CHADEMA yahamishiwa Mahakama Kuu

Wakielekea na kutoka chumba cha mahakama (picha: Tumaini Makene)Wakili, Kibarala akizungumza na waandishi wa habari, baada ya shauri kortini. HATIMA ya kesi ya ugaidi inayowakabili makada watano wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKOMBOZI KAFIKA: VING'AMUZI VYA AZAM KUANZA KUSAMBAA KARIBUNI

‎KAMPUNI YA SSB KUPITIA AZAM WANATARAJIA KULETA KING'AMUZI KIPYA NA CHA BEI POA AMBACHO KITAUZWA TSHS 30,000 NA MALIPO YAKE KWA MWEZI NI TSHS 2000. Kwasasa nasikia kipo kwenye majaribio kwa baadhi.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA YA MWANAMKE MZEE KULIKO WOTE DUNIANI ALIZALIWA MWAKA 1885 ANA...

Oldest woman of worldA chinese woman born in 1885 and still alive! -127 year old.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMATANO TAREHE 10.07.2013

.NA MILLAD

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUNAWATAKIA MFUNGO MWEMA KATIKA MWEZI HUU WA RAMADHANI

Audifacejackson.blogspot.com inawatakia waislamu wote Duniani Mfungo Mwema katika Mwezi huu wa Ramadhani.Na Pia Inatoa nafasi kwa wewe Muislamu kutumia Blog hii kutoa ujumbe kila siku kwa waislamu wote...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Uchukuzi azindua Mpango wa Ufatiliaji Ufanisi wa Uchukuzi katika...

  Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe akihutubia katika uzinduzi wa mpango wa ufatiliaji ufanisi wa uchukuzi kanda ya kati na nchi jirani za Burundi, Rwanda, Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO KABWE AWATAKA WANANCHI WAGOME KUILIPA KODI YA SIMU YA SH....

Sakata  la  kodi  ya  line  ya  simu  limeendelea  kuwakuna wanasiasa  wetu  ambao  wamekuwa  wakifunguka  kwa  nyakati  mbalimbali  kupitia mitandao  ya  kijamii.Baada  ya  January  Makamba, Zitto...

View Article


ANGALIA VIDEO KALI KUTOKA KWA MACHALII WA ARUSHA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NITAENDELEA KUPAMBANA NA WABISHI WASIOTAKA KUHAMA ILI KUPISHA MIRADI YA...

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli ameapa kupambana kwa kuwabomolea au kuwakomesha kwa njia nyingine, watu waliogoma kuhama kwa ajili ya kupisha miradi mbalimbali ya ujenzi inayotekelezwa na wizara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WA KIJIJI CHA WENJE HUKO TUNDURU WAUA SIMBA WAWILI KWA SUMU YA PANYA

Na Steven Augustino, TunduruWAKAZI wa Kijiji cha Wenje katika Kata ya Nalasi Mashariki WilayaniTunduru Mkoani Ruvuma wamefanikiwa kuwaua Simba wa wili Kati ya SimbaWatatu waliokuwa wanatishia maisha ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FAHAMU MAISHA YA WASANII WA KIBONGO NA UVUTAJI WA "UNGA"

Diouf ambaye alikiri kutumia madawa hayo toka mwaka 1996 alisema alikata shauri mwenyewe na kwenda kutibiwa kwenye hospitali ya Lutindi iliyopo Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga.“Nilianza kubwia unga toka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHEZO WA NGUMI ZA KULIPWA WASITISHWA MPAKA MWISHO WA MFUNGO WA RAMADHANI

YASSIN ABDALLAH MWAIPAYA -USTAADH.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI -MICHEZONDG ZANGU WAPENDWA KTK MICHEZO, UONGOZI WA ORGANAIZESHENI YA NGUMI ZA KULIPWA TANZANIA (TPBO-LIMITED)UNAPENDA KUWAJULISHA WADAU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA WAZIRI MKUU WA TANZANIA MHE. MIZENGO PINDA -WILAYANI MAKETE

Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda akizindua mradi wa maji wa kijiji cha  Mbela wilayani Makete akiwa katika ziara ya mkoa wa Njombe Julai 9,2013.  Wapili kulia ni mkewe Tunu. (Picha na Ofisi ya Waziri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUELEKEA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI LOWASSA AZUA GUMZO

 Na Mwandishi WetuZIKIWA zimebaki siku chache kabla ya kuanza Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, picha za Mbunge wa Monduli kwa tiketi ya CCM, Edward Lowassa akiwa amevaa mavazi ya Kiislam ya joho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chidy Benz azuia kutoka kwa video ya ngoma aliyoshirikishwa

Hivi karibuni  msanii Baghdad ambaye alikuwa na umbo kubwa sana na kupungua ghafla, alitoa ngoma yake mpya akishirikiana na wasanii wawili ambao inasemekana kwamba hawana mahusiano mazuri. Wasanii hao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAKATA LA WEMA SEPETU POLISI WAVAMIA NYUMBANI KWAKE

Na Mwaija SalumPOLISI wapatao sita Jumamosi iliyopita walivamia nyumbani kwa staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu maeneo ya Kijitonyama kwa lengo la kumkamata kufuatia kesi iliyofunguliwa katika Kituo cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHEMBA YA MADINI NA NISHATI INAUNGA MKONO MRADI WA MATOKEO MAKUBWA SASA

Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter MuhongoDar es SalaamChemba ya Madini na Nishati Tanzania, inaipongeza serikali kwa kuanzisha Mradi wa Matokeo Makubwa Sasa. Baada ya kushuhudia uzinduzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHELSEA WASAJILI GOLIKIPA BABU

Mlinda Mlango mkongwe: Mark Schwarzer amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea klabu ya  Chelsea Dili limekamilika: Schwarzer akisaini mkataba wake wakiwa na mkurugenzi wa timu David BarnardSchwarzer...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAOFISA NA ASKARI WA JESHI LA MAGEREZA WALIOSHIRIKI MAONESHO YA 37 YA...

Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Jeshi la Magereza, Dkt. Juma Ally Malewa akitoa hotuba kwa niaba ya Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini, John Casmir Minja katika hafla ya kuwapongeza Maofisa na...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>