Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Angalia Video Mahojiano na Nonini kuhusu rangi ya ngozi na ubaguzi kwa zeruzeru

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTOAJI WA MIMBA NI HATARI SANA KWA WANAWAKE

Utafiti mpya uliofanywa na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii umeonyesha kuwa kutoboka kwa kibofu cha mkojo, kushamiri kwa kansa ya shingo ya uzazi, utasa na matatizo ya kisaikolojia kwa wanawake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI WAWILI WAFA MAJI WAKIWINDA BATA MZINGA.

WANAFUNZI wawili wa shule ya msingi Itobo wilaya ya Nzega mkoani wa Tabora wamekufa maji katika bwawa wakati wakiwinda bata mzinga. Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi mkoani Tabora,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya sms kusambaa ikisema muigizaji Batuli anaumwa sana anahitaji msaada,...

 Siku chache zilizopita kulikuwa na ujumbe wa sms ukisambaa kwa njia ya ku-forward ukisema kwamba muigazaji Zaytun Kibwana a.k.a Batuly anaumwa sana anahitaji msaada. Kama ilivyokawaida kwa wasanii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Angalia Picha za party ya Annabel mshiriki kutoka Kenya baada ya kutolewa...

Annabel katikati na wadauAnnabel akiwa na DJ HypnotiqKushoto anaitwa Shose Oyalo, Brands & PR Manager wa Multichoice Kenya na kulia ni Fridah Ndinda kutoka MNET AfricaParty is on na Annabel ndani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kenya yapata channel mpya ya TV ambayo wasanii watafaidika nayo kimapato.

Kampuni ya ving’amuzi ya StartTimes Kenya imeanzisha channel mpya inaitwa Triple P ambayo itakuwa inahusika na kurusha material ya entertainment tu kutoka Kenya kwa masaa 24. Triple P itapewa leseni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA YA JENGO REFU KULIKO YOTE DUNIANI

jengo refu kuliko yote duniani na kulitaja Sky City One ambalo bado linajengwa nchini China kama ndio jengo refu kuliko yote duniani. Baadhi ya watu wangu wa nguvu hawakukubaliana na habari ile na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sherehe ya National Night Out iliyofanyika Hyattsville's maryland

Ndugu jamaa na marafiki waliokusanyika kwenye sherehe ya National Night Out Iliofanyika Jana Aug 6, 2013 miitaa ya Hamilton  kati ya barabara ya Queens Chapel na Road Ager Mjini Hyattsvilla...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Juhudi za kimataifa zagonga mwamba Misri

Wajumbe wa kimataifa wakifanya mazungumzo na rais wa mpito Adly MansourRais wa mpito nchini Misri, anasema kuwa juhudi za kimataifa kutuliza mgogoro wa kisiasa nchini humo ambao ulitokana na kuondolewa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Safari za ndege za kimataifa zaanza tena kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa...

Sehemu ya uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta mjini Nairobi iliyoungua hapo janaSafari za ndege za Kimataifa hatimaye zimeanza tena katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta nchini Kenya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MDAU WETU WA ARUSHA PATRIK SILVESTER AWAKILISHA NA ANACONDA USIKU HUU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAY C ASIMULIA KILICHOMFANYA AANZE KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA..LAWAMA ZOTE...

  Muimbaji wa ‘Niwe Nawe Milele’ Rehema Chalamila aka Ray C jana alifanya interview ya kwanza ya TV tangu takriban miezi 10 iliyopita baada ya kujichimbia kupata matibabu ya madhara aliyokuwa amepata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GERVINHO AMEKAMILISHA UHAMISHO WAKE WA PAUNI MILIONI 7 KUJIUNGA NA ROMA...

Furaha ya mwisho: Msimu mgumu kwa Gervinho katika klabu ya  Arsenal umefika tamati baada ya kukamilisha uhamisho kuelekea Roma.Mapema katika majira haya ya kiangazi, mchezaji mwenye rekodi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA TEMEKE, MTEMVU AFUTURISHA DAR

 Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu (kushoto) akizungumza na Mbunge wa Jimbo la Segerea, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga, wakati wa kula  futari iliyoandaliwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA YA BIBI KIZEE ABEBESHWA MADAWA MWILI MZIMA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu kuanza kuimba na hii ni baadhi ya mistari ambayo kashaandika

Wema Sepetu miss Tanzania aliyegeuka kuwa muigizaji, ameweka wazi kwamba anataka kuimba na katika kuthibitisha hilo ameshaandika mistari kadhaa ya anachotaka kuimba. Wema alishawahi kuimba kwenye wimbo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Extra Bongo ilivyowatambulisha wanenguaji wao wapya Leaders

Wanenguaji wapya wa Extra Bongo, Jolie na Grace wakionyesha makeke yaoTunatomboka namuna hii ...ayaa ayaaa Mkurugenzi wa Extra Bongo, Ally Choki (mwenye kofia) akiwatambulisha wanenguaji wao wao huku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA MALI YA WATANZANIA INAYOWANUFAISHA WAZUNGU

WAPENDWA HII NDO MIJISU(DINAZOR) YETU ILIYOPO HUKO UJERUMANI KTK JUMBA LA MAKUMBUSHO KTK NCHI HIYO..ILIGUNDULIWA MKOA WA LINDI MIAKA HIYO..NAKAMA UNAVYOONA JAMAA WAMEKUWA WAKIFAIDIKA SANA KWA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII AZIKWA KAMA MBWA HUKO RORYA

Huyu msanii mauti yalimkuta katikati ya Uwanja akifanya Vitu vyake katika Uwanja wa shule ya msingi Radienya iliyopo huko Rorya Mkoa wa Mara.Kwa kweli ni kifo cha kuhuzunisha sana na cha ghafla,na kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SOMO MAALUM KWA WANAWAKE WANAO TAKA KUOLEWA

Hata kama utapingana na mimi, lakini ukweli utabaki pale pale; Kila jinsia inahitaji sana kuungana na jinsia nyingine katika tendo muhimu na la kihistoria katika maisha liitwalo ndoa! Yes, huu ni...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>