Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA YA KIONGOZI WA CHADEMA ALIYEPIGWA RISASI MBEYA.

 Katibu mwenezi wa chadema wilaya ya mbeya vijijini Jackson Mwasenga ambaye pia ni mwenyekiti wa Kitongoji cha mzalendo kijiji cha Ndola mjini Mbalizi akiwa katika Hospitali ya Mbalizi Ifisi akipata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA YA MTUHUMIWA WA ULIPUAJI WA BOMU KATIKA KANISA OLASITE,...

Mtuhumiwa Bomu Kanisani Arusha, Victor Ambrose Calist (20).MTUHUMIWA mmoja kati ya tisa waliotiwa mbaroni na jeshi la polisi baada ya kutokea mlipuko wa bomu katika Kanisa la Mtakatifu Joseph...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI YA COASTER NA LORI YAUA ABIRIA MMOJA AFARIKI DUNIA WENGINE 17...

GARI YA AINA YA COSTA T 399 AUD ILIYOGONGWA KWA NYUMA NA KISHA KUPINDUKA ENEO LA KANYEGELE UWANJA WA NDEGE WILAYANI RUNGWEHUU NI UPANDE WA NYUMA WA COSTA HIYO HILI NDILO ROLI LILILO IGONGA COSTA KWA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LADY J DEE APIGWA STOP NA MAHAKAMA KUIONGELEA CLOUDS IN THE PUBLIC.

Jide na Mumewe wakiwasili mahakamani leo.Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Judith Wambura Mbibo a.k.a Lady Jaydee(Pichani) muda si mrefu amepokea hati yake ya mashtaka kutoka katika mahakama ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NATAFUTA MWANAUME WA KUNIZALISHA...." AISHA BUI WA BONGO MOVIE

Baada ya kuadimika kwa muda mrefu, mwigizaji wa filamu za Kibongo, Aisha Bui ameibuka na kusema kuwa anatafuta mwanaume ambaye atamzalia mtoto na hatimaye waoane ila akadai wa kumuoa kwa sasa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA VIJANA WAKIMWAGA RADHI HADHARANI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SITAISAHAU SIKU NILIYOLISHWA KINYESI CHANGU NA MAKAMASI BAADA YA KUFUMANIWA...

Ilikua ni mwaka 2011  nilipomaliza shahada yangu ya kwanza chuo kikuu cha Dar es Salaam na katika harakati za kutafuta ajira nikajikuta nimejiingiza kwenye mahusiano na mke wa mtu ambaye nilikutana nae...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WADAU WA MAENDELEO WA MIKOA YA KANDA YA ZIWA TANGANYIKA WAWATOLEA UVIVU TBS

Viongozi wa mikoa ya ukanda wa ziwa tanganyika waliokutana kujadili maendeleo ya fursa za kiuchumi kikao cha ushirikiano katika kuibua ubunifu wa kuleta maendeleo kwenye mikoa hiyo,majadiliano na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA MULTCHOICE (T) LTD YAZINDUA TAWI JIPYA KARIAKOO MSIMBAZI JIJINI...

Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akihutubia wakati wa ufungzi wa Tawi jipya la kampuni yaMultichoice Tanzania lililoko barabara ya msimbazi kariakoo jijini Dar es salaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YANG’ARA MAONESHO YA INDABA

Balozi wa tanzania afrika kusini na akiwa katika picha ya pamoja na washirikiMuonekano wa Banda la Tanzania katika maonesho hayo ya kimataifaMishemishe za Biashara zikiendelea katika maonesho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DADA ZETU ANGALIENI NIDHAMU HII YA HUYU MBUNGE NDANI YA BUNGE,NI PICHA NZURI...

 Waziri wa Uchukuzi Harrison Mwakyembe (kulia) akizungumza na mbunge wa viti maalum (CCM), Mary Mwanjelwa Bungeni mjini Dodoma jana. Picha na Edwin Mjwahuzi

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete awasili Dodoma kuendesha Kikao cha Kamati Kuu ya CCM

Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma kwa ajili ya Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Mei 14, 2013. Katikati ni Makamu Mwenyekiti wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWIZI WA BODA BODA AUAWA KIKATILI MWENGE

 KIJANA mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja anayedaiwa ni mzoefu wa wizi kwa kutumia usafiri wa pikipiki ‘bodaboda’, ameuawa baada ya kumliza mwanamke aliyetambulika kwa jina la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI HII MBAYA IMETOKEA MBEYA LEO NA KUUA WATU 3,WIKI HII MBEYA KUNA BALAA...

BAADHI YA WACHINA WANAOTENGENEZA BARABARA YA CHUNYA WAKIWASIKILIZA WANANCHI WALIOSHUHUDIA AJALI HIYO IKITOKEABAADHI YA MAJERUHI WAKISUBIRI KUPATA HUDUMA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA MBEYA  MPAKA TUNA TOKA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA NCHI(KIKWETE) AFUNGUA MKUTANO WA SACAU BARANI AFRICA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisisitiza jambo wakati akifungua Mkutano wa kuzungumzia Mustakabali wa maendeleo ya Wakulima Barani Afrika uliofanyika katika hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI KUU YA CCM YAMTEUA MATTR SAID KUWANIA KITI CHA UBUNGE JIMBO LA...

MWENYEKITI wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM (CC) leo katika ukumbi wa White House mjini Dodoma. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar), Rais wa Zanzibar Dk....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAOFISA WA JESHI KUTOKA CHUO CHA KIJESHI GHANA WATEMBELEA TBL DAR

Maofisa wa Jeshi kutoka Chuo cha Ukamanda na Unadhimu cha Ghana, wakitembelea Kiwanda cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dar es Salaam, kwa lengo la kujenga ushirikiano katika nyanja za Sayansi,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FAMILIA YANUSURIKA KUFA KWA KUGONGWA NA GARI CHUMBANI USIKU WA MANANE

FAMILIA ya mme, mke na mtoto wamenusurika mkoani hapa, baada ya gari aina ya Noah, kuacha njia na kuwafuata chumbani wakiwa wamelala usiku wa manane.Tukio  hilo la aina yake, limetokea saa nane usiku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barua kwa Mh. Dkt. Abdallah Kigoda : Pendezo kuhusu kuzuia Unyonyaji Dhidi ya...

Mh. Zitto Kabwe.PENDEKEZO BINAFSI LA MBUNGE KUHUSU KUZUIA UNYONYAJI DHIDI YA WASANII WA TANZANIA KATIKA BIASHARA YA MIITO (RING BACK TONES)Kwenda kwa: DR ABDALLAH KIGODA, Waziri wa Viwanda na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIVA WA CLOUDS AFUNGUKA,AMVAA CHAHALI..ASEMA ZITTO KABWE NDIYE RAIS...

 Diva ‏@Divamimi 5h@Chahali Mwanaume Mzima unafatilia maisha ya Mwanaume Mwenzako.blog about Wabunge waliozalisha wabunge wa viti maalum pia. leave Zitto alone Diva ‏@Divamimi Be careful wit your...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>