Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KEITA ASHINDA UCHAGUZI WA URAIS MALI

Ibrahim Boubacar Keita ana jazi ngumu ya kukarabati nchi ya MaliIbrahim Boubacar Keita ameibuka mshindi wa uchaguzi mkuu nchini Mali huku mpinzani wake akikubali kushindwa katika duru ya pili ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA BUNGE YA KILIMO, MIFUGO NA MAJI YAJADILI MUSWADA WA SHERIA YA TAIFA...

Na Lorietha LaurenceKamati ya  Bunge ya Kilimo,Mifugo na Maji imejadili pendekezo la  Muswada wa Sheria ya Taifa ya Umwagiliaji  ya mwaka 2013  ambao utatatua changamoto zinazokabili kilimo cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

44 WAUAWA KINYAMA MSIKITINI, NIGERIA

 Maiduguri ni moja ya majimbo yaliyowekewa sheria ya hali ya hatariTakriban waumini 44 wameuawa kwa kupigwa risasi wakiwa msikitini Kaskazini Mashariki mwa Nigeria, kwa mujibu wa maafisa wa jimbo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UHAI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI SASA UPO MASHAKANI.

NIANZE kwa kumshukuru Mungu kwa kuweza kutupa uhai na tumuombe atuzidishie moyo wa upendo ili tuwe na amani katika nchi zote hasa za  Afrika Mashariki.Hakuna shaka yoyote nikisema kwamba uhai na ustawi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAOTUHUMIWA KUMPIGA SHEKHE WATINGA KORTINI.

VIJANA sita waumini wa dini ya Kiislamu wilayani Kyela mkoani Mbeya wamefikishwa Mahakama ya Wilaya ya Kyela kujibu mashtaka manne wanayokabiliana kutokana na vurugu walizozifanya msikitini, ambapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA YA FOLENI YA KWENDA KUMUONA SHEKH PONDA HOSPITAL YA MUHIMBILI

  Waumini wakisubiri zamu yao kwenda kumjulia hali Sheikh Ponda hospital ya muhimbili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kagera kwachafuka ... yawafukuza Madiwani 8 wa manispaa ya Mji wa Bukoba ......

Habari zilizotufikia punde toka Bukoba zinasema Chama cha Mapinduzi-CCM Mkoani Kagera kimewafukuza madiwani wanane wa chama hicho na kuwavua nyadhifa zote walizokuwa nazo. Katibu wa CCM mkoa amemaliza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKABIDHIWA KATIBA NA VIONGOZI WA SHIMUTA IKULU DAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia ni Mlezi wa Shirikisho la Michezo la Mashirika ya Umma na Makampuni Binafsi Tanzania, (SHIMUTA) Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ATAKA TIBA KWA WABWIA UNGA, ATAKA JAMII IPIGE VITA BWIMBWI

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSTelephone: 255-22-2114512, 2116898E-mail:  ikulumawasiliano@yahoo.com              press@ikulu.go.tz             Fax:...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBOWE AWATAKA WANANCHI KUCHANGIA RASIMU YA KATIBA MPYA

Wananchi wa mkoa wa Mara wametakiwa kuchangia kikamilifu katika rasimu ya Katiba mpya ili wamuenzi Baba wa Taifa Mwl JULIUS KAMBARAGE NYERERE kupitia michango yao itakayoiwezesha Tanzania kupata Katiba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA UDAKU LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMATANO TAREHE 14.08.2013

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kaunti za Kenya kuwaondoa wafanyakazi hewa zaidi ya 10,000

Mamia ya wauguzi kutoka hospitali za umma na kliniki za afya waliandamana jijini Nairobi tarehe 9 Machj, 2012, katika kudai malipo mazuri siku moja baada ya serikali ya Kenya kuwafukuza watu 25,000...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu kadhaa mjini Konduga nchini Nigeria wakimbia makazi yao kutokana na...

 Wakazi wa mji wa Konduga kaskazini mwa Nigeria wametoroka baada ya wapiganaji waliovalia sare za jeshi kuwapiga risasi na kuwaua karibu watu 50 katika msikiti mmoja wa eneo hilo, muda mfupi kabla ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Misri yatangaza amri ya dharura

Serikali ya Misr imetangaza amri ya dharura kote nchini kuanzia hii leo, kwa muda wa mwezi moja kufuatana na taarifa ya rais iliyotangaza na televisheni ya taifa.Taarifa hiyo ina liamrisha pia jeshi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANYARWANDA WALIOTIMULIWA TANZANIA WAKIMBILIA UGANDA AMBAKO NAKO WAMEKATALIWA

Wengi wa wahamiaji haramu waliokuwa mkoani Kagera ambao wengi wao ni wanyarwanda wamekimbilia Uganda kama wakimbizi lakini makambi ya wakimbizi huko Uganda yamekataa kuwapokea.Pamoja na serikali ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK MWAKYEMBE ATANGAZA KUWAMATA VIGOGO WALIOPO KWENYE MTANDAO WA USAFIRISHAJI...

DK MWAKYEMBE.AINA MBALIMBALI ZA DAWA ZA KULEVYA.HUKU Tanzania ikigeuka dhihaka duniani kutokana na vyombo vyenye mamlaka ya kukomesha biashara ya dawa za kulevya kukwama, Waziri wa Uchukuzi, Dk....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA JINSI WANYAMA PORI WANAVYOTEKETEA KWA UJANGII

Tembo akiwa amekufa katika moja ya Mbuga za wanyama nchini, huku meno yake yakiwa yameondolewa  Wakati Taifa likididimia katika umaskini wa kutisha, wanyama ambao ni kitega uchumi cha nchi wanauawa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI LEO

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>