Quantcast
Channel: MATUKIO NA VIJANA
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA NYATI AZAA MTOTO ANAEFANANA NA BINADAMU.

Nchini Thailand, Nyati  amezaaa mtoto anayefanana sana na mwanadamu. Hizi ni picha ya nyati zikionyesha uso  na wa binadamu hasa yake ambayo ni sawa . Hata hivyo, mikono yake na miguu inafanana  zaidi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFALME WA POP DUNIANI MAREHEMU MICHAEL JACKSON ADAIWA ALITUMIA DOLA MILIONI...

MICHAEL Jackson 'Wacko Jacko' alilipa Dola za Marekani milioni 35 (Sawa na Shilingi za Tanzania zaidi ya bilioni 56) kama pesa za kunyamazisha wavulana wadogo zaidi ya 20 ambao aliwadhalilisha kijinsia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

USIKU WA MATUMAINI J’PILI HII: SAA 16 ZA MAAJABU

Diamond.Na Mwandishi WetuSIYO siri, Julai 7, mwaka huu (Siku ya Sabasaba), anga lote la Jiji la Dar es Salaam litasimama kwa muda wa saa 16. Burudani mfululizo pamoja na matukio ambayo hayajawahi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTANA NA SARAKASI ZA PREZZO KWA WAREMBO! JAMAA KATISHA SANA: SOMA HAPA:

CMB Prezzo.Makala: Sifael PaulJACKSON Ngechu Makini ‘CMB Prezzo’ alizaliwa siku ya Jumatano ya Januari 09, mwaka 1980. Ni rapa lejendari wa Kenya ambaye alikuwa mmoja wa mastaa waliowakilisha nchi zao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PREZZO & DIAMOND NDANI YA JUKWAA MOJA:TAMASHA LA USIKU WA MATUMANI:

Jackson Makini ‘Prezzo’.Na Lucy MginaMMOJA lazima akae! Julai 7, mwaka huu katika Uwanja wa Taifa kutakuwa na mpambano mkali wa stejini kati ya wasanii, Nassib Abdul ‘Diamond’ na Mkenya, Jackson Makini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LATOA MASWAA 48 KWA WANASIASA KUTAFUTA SULUHU YA MGOGORO VINGINEVYO...

HALI inazidi kutokota nchini Misri huku jeshi la nchi hiyo likitoa muda wa masaa 48 kwa wanasiasa kutafuta suluhu ya mgogoro unaoendelea nchini humo vinginevyo liingilie kati.Katika taarifa yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI MBAYA YATOKEA ARUSHA LEO NI NJIA YA KUELEKEA NJIRO,MLIMA WA ESAMI...

 HAYO MAGARI YANAYOONEKANA HAPO NI MSAFARA ULIOKUWA PAMOJA NA GARI ILIYOPATA AJALI WALIKUWA WAKIELEKEA MAKABURI YA NJIRO KUZIKA HUU NI UKINGO WA BARABARA YA ESAMI UKIWA UMETOKA BAADA YA AJALI HIYO GARI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZAMANI WA CHAD AKAMATWA NCHINI SENEGAL

Rais wa zamani wa Chad, Hissene Habre Rais wa zamani wa Chad, Hissene Habre akitafakari jambo.POLISI nchini Senegal , wamemkamata rais wa zamani wa Chad, Hissene Habre, aliyekuwa anatafutwa kwa madai...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA WATOTO WALIOTEMBELEA MAKABURI YA BABA ZAO MAKABURI YA WACHINA

 Balozi wa China nchini Tanzania Lu Youqing,  akitoa hotuba ya kuwakaribisha  watoto sita ambao baba zao walifariki dunia  wakati wa ujenzi wa Reli ya Tazara kwenye hoteli ya  Great Wall Restaurant...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA MSAFARA WA WA RAIS OBAMA UBUNGO LEO

 Gari lililokuwa limembeba Rais wa Marekani Barrak Obama likikatiza Ubungo  jijini Dar es salaam leo mara baada ya kutembelea  na Kukagua Mitambo ya kuzalisha umeme ya Symbion Leo Asubuhi.Rais obama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA ZIARA YA OBAMA DAR LEO

Msafara wa Rais Barrak Obama Ukiwa Eneo la Mwenge Kuingia Barabara ya Sam Mujoma ukiwa njaini kuelekea Ubungo kukagua mitambo ya kuzalisha umeme ya symbion Leo asubuhiMsafara uliombeba rais wa Marekani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA ZA GEORGE BUSH ALIPOKUTANA NA RAIS OBAMA TANZANIA KABLA HAJAONDOKA

 Rais Obama pamoja na Bush walikutana leo Asubuhi katika Ubalozi wa Marekani uliopo jijini Dar es Salaam na kufanya tendo la kutoa heshima zao kwa Walipoteza Maisha pamoja na wale wote walioathirika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA PICHA RAIS OBAMA AKIWA UBUNGO LEO

Rais Kikwete Akimtambulisha Katibu mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mh Elakim Maswi kwa Rais Barrack Obama wa Marekani  wakati alipotembela mitambo ya kufua umeme ya symbion leo asubuhiRais Barrack...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS OBAMA AMALIZA ZIARA YAKE LEO

Ndege ya Iliyombeba  Rais wa Marekani Air Force One Ikiondoka uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere leo mchana mara baada ya kumaliza ziara yake leo

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOT NEWS: MCHUNGAJI wa Kanisa la Evangelical Assemblies of God of...

 MCHUNGAJI wa Kanisa la Evangelical Assemblies of God of Tanzania(EAGT) la Iwambi Jijini Mbeya Daniel Mwasumbi akiwa mahakamani kungojea kesi yake.Wananchi Mbalimbali wakisubiri Kusikiliza Kesi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Angalia Picha Obama na Bush walipokutana katika Ubalozi wa Marekani jijini...

Rais Obama pamoja na Bush walikutana leo Asubuhi katika Ubalozi wa Marekani uliopo jijini Dar es Salaam na kufanya tendo la kutoa heshima zao kwa Walipoteza Maisha pamoja na wale wote walioathirika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JACOB STEVEN 'JB' AJIFUA KUMCHACHAFYA IDD AZZAN KATIKA USIKU WA MATUMAINI...

Jacob Steven 'JB' akijifua kwa ajili ya mpambano wake na Idd Azzan utakaofanyika katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2013.Jb akipiga pushapu kadhaa wakati wa maandalizi hayo.…Jacob Steven 'JB'...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFUNGWA MIAKA 20 JELA KWA KOSA LA KUGHUSHI NA KUIIBIA BENKI

 Mtuhumiwa wa Kuiba na kugushi Deogratius Mpembe akiwa anatoka mahakamani baada ya kufungwa kifungo cha Miaka 20  Mtuhumiwa  wa Kesi ya Kuiba na Kughushi  Benki akiondoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU NI UJUMBE WA RAY C AKIWASHUKURU MASHABIKI WAKE KWA KUMUOMBEA MPAKA...

Mwanadada Ray C leo hii kupitia ukurasa wake wa instagram ameachia ujumbe huu kwaajili ya mashabiki zake na kuwashukuru kwa support yao.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAYA NDO MAMILIONI YA PESA ALIYOINGIZA DIAMOND KWENYE SHOW ZA MWEZI ULIOPI

Staa wa Kesho, Diamond ameendelea kupiga hela kwa show nyingi zinazomfuata kila kukicha. Wingi wa show hizi unazidi kumfanya kuwa miongoni mwa wasanii wachache wa Tanzania wenye pesa nyingi...

View Article
Browsing all 20290 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>